tag:blogger.com,1999:blog-79285937158320111632024-03-18T21:39:06.896-07:00simulizi za AkilimiaNimekuwa nikiandika machombezo yangu magazetini kwa siku nyingi sasa, najua kuna wengine wapo nje ya nchi, sehemu ambayo siyo rahisi kupata magazeti yetu. Sasa nakufuata huko huko, nikiendelea kukupa burudani kama kawaida.
Karibuni sana na nawaahidi kuwawekea mambo mapya na makali kila siku.Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.comBlogger10125tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-63531641816335967862008-04-11T02:07:00.000-07:002008-04-11T02:11:06.387-07:00HOMA YA AKINA DADA KATIKA MAPENZI!!!<p class="MsoBodyText3"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans"; color: maroon;" lang="AF"><span style="font-size:130%;"><span style="font-weight: bold;">Mwanamke kumkubali mwanaume haraka ni dalili ya umalaya?</span></span><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style=""><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans"; color: maroon;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style=""><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans"; color: maroon;" lang="AF"><span style=""> <span style="color: rgb(102, 102, 204);"> </span></span><span style="color: rgb(102, 102, 204);">Namshukuru Mungu kunifanikisha hadi kuona jua la leo, na namshirikisha kila jambo nifanyalo. Karibuni tukumbushane machache juu ya mapenzi ambayo kila siku tumekuwa tukikumbana nayo, iwe asubuhi, mchana, jioni na usiku. Katika sekunde, dakika ama saa yeyote popote pale duniani. </span><o:p style="color: rgb(102, 102, 204);"></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Naweza kutafsiri mapenzi kama hisia nzito<span style=""> </span>zimuingiazo mtu pale moyo wake unapozama<span style=""> </span>katika ulimwengu wa huba kwa yule ampendae, akajikuta kwa lazima isiyoweza kuvumilika ama kukwepeka akampenda mwenzake. <o:p></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Nadhani hakuna mtu asiyejua kupenda, ni wazi hata wewe unajua kupenda na ulishawahi kupenda na kupendwa, kama bado ipo siku mungu atakujaalia utampata umpendaye na akupendaye. Usikate tamaa mwombe mungu atakusaidi yeye ndiye anayejua mume gani au mke gani atakupa. <o:p></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Na kama yupo asiyeweza kupenda basi huenda ana matatizo kisaikolojia na namshauri aende kwa wataamu wa mambo ya saikolojia waliopo karibu nae waweze kumshauri cha kufanya juu ya tatizo lake. <o:p></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Wiki iliyopita nilizungumzia jinsi mtu anapojikuta akiwa mtumwa wa mapenzi kwa kulazimisha mapenzi kwa yule aliyempenda bila yeye kupendwa. Leo basi na penda kuongelea suala la mwanamke anapokuwa anatoa jibu la haraka kwa mtu anayemtongoza.<o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p><span style=""></span>Kwanza unapomtongoza mwenzako unategemea kupata majibu mawili, eidha kukubaliwa ama kukataliwa. Na unapotongozwa unatarajia kutoa jibu moja la uhakika lisilo na kejeli, kumkubali ama kumkataa. Hii itategemeana kiasi mwanaume huyo atakavyo kukonga moyo wako na kukufanya uwe na<span style=""> </span>msisimko wa kumtamkia hisia zako. Tatizo linakuja pale mwanaume anaposhituka na kuhofu kukubaliwa kwa muda mfupi na mwanamke aliyemweleza ukweli kutoka moyoni mwake.<o:p></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Mpe wenzio uhuru wa kusema, mbona wewe ulimweleza bila kujali ni muda gani umekutana naye?. Kwanini tusibadilike, tukaenda na wakati?. Lazima tujiulize kulikoni inafikia hatua ya kumfikiria mtu uliyemtamkia anapokutamkia ukamuhukumu bila kosa. <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Naomba ufahamu kitu kimoja, sisi wote ni binadamu, mwanaume anavyo penda hata mwanamke naye ana hulka ya kupenda na kumwonyeshe mwenza wake kiasi alivyo mpenda. <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF">Pengine katika mila na desturi za sisi waafrika tulizoeshwa kwamba mwanaume ndiye mwenye kumrubuni mwanamke hadi kuwa naye katika ndoa, Inapofikia hatua ya mwanamke kutoa maamuzi itategemeana na mtu aliyemrubuni. <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF">Lakini sidhani kwamba kuna ubaya mwanamke unapomtongoza ukategemea kupata jibu baada ya mwaka au mwiezi sita baadaye. <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF">Kufanya hivyo si ishara kwamba huyo unayetegemea kupata jibu kwake atakuwa mwanamke mwaminifu sana, na atakuwa na tabia nzuri kupita yule atakaye kukubalia siku chache baada ya kumweleza bayana kile kilicho moyoni mwako. <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Mwanamke ana haki ya kutoa msisimko wake juu ya yule aliyemtamkia ikiwa moyo wake nao umeridhia na kupendezwa na mwanaume aliyemtamkia kwa uwazi kwamba anampenda. lAkini hata hivyo nawashauri, kuwa makini sana na majibu ya watu wanau watamkia kuwa wanawapenda, usidanganyike na mali ya mtu ama cheo cha mtu, utakuwa unajiangamiza. Angalia utu na upendo wa mtu, usitizame pesa ambazo hata wewe waweza kuzipata, kumbuka pesa inaisha lakini utu wa mtu hauishi.<o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Kutamkiwa haraka na mwenzio uliyempenda<span style=""> </span>si tiketi ya kumdhania<span style=""> </span>mwanamke yule ni mdhaifu na malaya, wengine kuhofia huenda akawa<span style=""> </span>akimkubali kila mwanaume atakaye mweleza anampenda. Naweza kukuhakikishia wanawake wengi hivi sasa wanajaribu kuwa wagumu kuwakubalia wanaume wanauwapenda kwa dhati kwa sababu wanaume wengi wamekuwa na hulka ya kizamani. Kama ulikuwa hutaki jibu mapema basi usingemtamkia mwenzako kwamba unampenda na una subiri jibu kutoka kwake.<o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Darubini yangu ya mitaani inaonyesha<span style=""> </span>wanawake wengine wanajifanya wagumu kuwakubalia wanaume ilhali wanawapenda, kwa kuogopa kutoswa. Inapofikia hatua ya kuwazungusha wenzao muda mrefu<span style=""> </span>waliowapenda wakajikuta kupoteza bahati zao.<span style=""> </span>Kwani wanaume wengine wamekuwa wakiudhiwa na tabia ya wanawake wanaojifanya<span style=""> </span>wagumu kama reli kumbe si waaminifu hata kidogo lengo lao waonekane wagumu kushawishika kwa wanaume wengine. Unaweza kumkuta mwanaume anatamba wazi wazi bila aibu, “Mimi namwamini sana demu wangu, alinizungusha mwaka mzima bwana. Inaonekana ni mwaminifu sana” Hicho sio kipimo cha uaminifu katika mapenzi, ndugu yangu. Tena anaweza akawa mgumu kwako pengine<span style=""> </span>uchochoro kwa wengine.<o:p></o:p></span></b></p><p class="MsoNormal" style="color: rgb(102, 102, 204);"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Lucida Sans";" lang="AF"><span style=""> </span>Jaribu kuupa moyo wako uhuru, uchangue upendavyo, Usiudhulumu nafsi yako kwa sababu zisizo na msingi, kama unataka kumchunguza tabia zake ni jambo ambalo utafanya siri kabla ya kufikia hatua lengwa. Ukiubania moyo wake nisawa na kulinyima tumbo chakula, utateseka na hata amani ya moyo itatoweka. Usiunyime moyo wako uhuru.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="font-family: arial;"><span style="font-size:78%;"><b style=""><span style="font-size: 10pt; color: maroon;" lang="AF"><span style="color: rgb(102, 102, 204);"> </span><o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoBodyText"><b style=""><span style="font-family: "Lucida Sans"; color: maroon;" lang="AF"><span style="font-size:85%;"><span style="font-family: arial;">N<span style="color: rgb(51, 0, 0);">B: Ushauri wangu; Tunapaswa kubadilika, mwanamke anapomtamkia mwanaume aliyemtongoza kwa haraka si tiketi ya umalaya. Tuwe waaminifu katika ndoa zetu, uchumba na urafiki wetu, tusiwaudhi wandani wetu na kuwalaumu pasina sababu. Kufanya hivyo nikupunguza upendo wa dhati.</span></span></span> <o:p></o:p></span></b></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-7021196727778605502008-04-11T01:40:00.000-07:002008-12-08T21:51:22.293-08:00Ndani ya kuta nne, hakuna shahidi...<a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisJORDnLbc83yyIs3SvTYfS82OLHsIwp62HWbkcuZJVWlZmrNSGZpsoCD6ArmSCWpf08A1zxCWvw_sMzoWg7XjdJ6uoOUOCUyjZx7p7iS1DHp3OMMx0g48hCfLQhPIiuzeoLi4Y-7tHjg/s1600-h/wawili-2.jpg"><img style="margin: 0pt 0pt 10px 10px; float: right; cursor: pointer;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEisJORDnLbc83yyIs3SvTYfS82OLHsIwp62HWbkcuZJVWlZmrNSGZpsoCD6ArmSCWpf08A1zxCWvw_sMzoWg7XjdJ6uoOUOCUyjZx7p7iS1DHp3OMMx0g48hCfLQhPIiuzeoLi4Y-7tHjg/s320/wawili-2.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5187910473819445250" border="0" /></a><br /><span style="color: rgb(255, 102, 0);font-size:130%;" ><span style="font-weight: bold;font-family:courier new;" >Mapenzi ni sawa na mgonjwa, lazima apewe Dozii ya uhakika...Sasa wewe unasubiri nini? Mpe dozi mwenzako usimchoshe....atakukimbia...shauri yako....</span></span><p class="MsoBodyText"><span lang="AF" style="font-family:Metrostyle;"><span style=""> <span style="font-weight: bold;"> </span></span><span style="font-weight: bold;">Nimatumaini yangu wapenzi wasomaji ya mahaba ni wazima wa afya na mnaendelea vema na shughuli zenu za kila siku.Mi nimzima na namshukuru Mungu kwa kunijaali afya njema. Leo napenda kugusia umuhimu wa Romance.</span><o:p style="font-weight: bold;"></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">Kabla ya yote unaweza kujiuliza nini maana ya Romance, kwa kulitamka neno Romance nirahisi sana lakini kulijibu ni vigumu, jaribu utaona kama<span style=""> </span>unaweza kusema nini maana ya Romance. Ni kitu ambacho unaweza kufanya na mpenzi wako, wakati mkiwa faragha, unaweza kutumia muda mwingi mkitomasana<span style=""> </span>ama kupeana vitu ambavyo vitawafanya kuwa karibu zaidi. Romance ni muhumu sana katika maisha ya mapenzi, bila romance<span style=""> </span>maisha yako ya mapenzi hayataweza kudumu. Pia romance ni uthibitisho wa kweli katika mapenzi yenu. Inaonyesha mapenzi yako ya kweli na inakusaidia kuwa mpenzi mzuri kwa mwandani wako. <o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><span style=""> </span><i><span style=""> </span>M</i>ara nyingi siku zinavyokwenda watu wengi husahau kuwapa wapenzi wao Romance nzuri ambayo itawavuta karibu na kuwafanya wajisikie furaha kila wanapokuwa mbali na wapenzi wao, hivyo Romance wakati mwingine huvuta hisia za mapenzi hata kama mpo mbali kimwili lakini kifikikra na hisia zinaweza kuwavuta karibu mkakumbukana<span style=""> </span>kwa yale mliyokutendeana<span style=""> </span>siku moja mlipokuwa faragha.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><span style=""> </span>Kuna njia ambazo unaweza kuzifanya kuweka mshumaa wa romance ambao utakuwa ukiwaka moyoni mwako maishani. Ukakufanya usijute kuwa na mwandani wako, utajiona chaguo lako lilikuwa bora zaidi.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style="color: rgb(153, 51, 0);font-family:Metrostyle;" lang="AF"><span style=""> </span></span><span style="color: rgb(153, 51, 0);font-family:Metrostyle;font-size:16;" lang="AF" >Nini cha kufanya kwa mpenzi wako Kila siku?</span><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">1. Mwambie mpenzi wako kiasi gani unavyompenda, sio kukaa kimya, atajuaje kwamba unampenda. <o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">2. Mwambie 'Nakupenda sana' hata mara saba kwa siku, atajisikia furaha moyoni na hata kama alikuwa na wasiwasi na wewe sasa utakuwa wakati wakuamini kiasi gani unavyompenda.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">3. Tumia angalau muda mchache wa kuwa nae sehemu tulivu mkipota vinywaji baridi na chakula, pia mtalazimika katika sehemu hiyo tulivu mjadili mipango yenu ya maisha, unaweza kutumia hata saa moja kwa mazungumzo au hata zaidi ya saa moja, sio unaenda dakika mbili unaondoka. Atakuona unakuja kumsanifu au unamuwahi mwingine,<span style=""> </span>kama una kazi ya muhimu mweleze taratibu kwamba una kazi, hatabisha kama ni muungwana. Atakusikiliza na mtapanga labda kukutana kesho utakapokuwa na nafasi, tena hakikisha unatafuta muda wa kuwa na mpenzio.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">4. Mfanyie Surprise au kitu ambacho hakikutarajia akilini mwake. Unaweza kumletea zawadi nzuri sana, labda simu ya mkononi, nguo ya ndani, au kitu chochote ambacho unajua hakikuwa akilini mwake.<o:p></o:p></span></p> <p style="font-weight: bold;" class="MsoBodyText"><span lang="AF" style="font-family:Metrostyle;">5. Kama mnaishi pamoja, mnapoamka asubuhi unatakiwa umkumbatie mpenzio, mkeo au mumeo. Unaweza kumsifu kwa kazi ya jana ambayo kwa kiasi kikubwa uliifurahia, usimbanie kuhusu suala la kumsifia. Mpe moyo kwamba anayaweza mashamsham ya gadoro, au vipi? mpenzi msomaji.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><i><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></i></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style="color: rgb(153, 0, 0);font-family:Metrostyle;font-size:14;" lang="AF" >Nini cha kumfanyia mpenzio kila wiki?</span><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">1.Umanatakiwa kupeana miadi ya kwenda mahala tulivu kabisa, mkibadilisha na mawazo. Sio kila siku kuwa chumbani, unachotakiwa ni kubadilisha mazingira. Wakati unapokuwa mnaelekea labda sehemu ya kubadilishana mawazo, usipende kutembea eti, mume nyuma mke mbele, kwani unamwogopa nani? Waonyeshe wale wanaojua kuchukua vya watu kwamba mmejenga ukuta imara wa penzi lenu. Watashindwa kutupa ndoana<span style=""> </span>za kukuteka wewe ama mpenzio, Shikaneni mikono tena mkionyeshana kiasi gani mnapendana.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">2. Mfanyia kitu ambacho wote mnaweza kukifurahia kwa kikifanya kwa pamoja.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">3 Kama ni mwanamke unaweza kumpikia chakula kizuri ambacho anapendelae kukila, hakikisha chakula hicho kuanzia mapishi hadi kukiandaa mezani ni kazi yako. Sio Umpikie halafu umwambie 'hausigeli' akamwandalie, haipendezi kabisa na hata jisikia kula chakula chako. Siajabu hata siku hiyo ya wikiendi unaweza kumlisha chakula hadi akashiba, sio kazi kumlisha mpenzio, unajua mwanaume ukimnyenyekea hukisikia ni bora na huongeza mapenzi zaidi.Atakudhamini kuliko chochote, atapenda kukuona mara kwa mara.<o:p></o:p></span></p> <p style="font-weight: bold;" class="MsoBodyText"><span lang="AF" style="font-family:Metrostyle;">Mimi binafsi na mlisha mepnzi wangu, kwani nampenda sana. Ninapomlisha chakula akishiba nae hunilisha kwa furaha. Ninapomtamkia nimeshiba basi hunitolea tabasamu nono lililoshiba midomoni mwake.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">4. Mpe mpenzio zawadi ya kumshangaza, ambayo unahisi ataipenda na kuifurahia.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">5.Fikiria kitu ambacho utamfanyia wiki nyingine, hasa mapenzi. Usifanye mapenzi kila siku na pia hakikisha unabuni njia nyingine mpya ambazo atazipenda na kuzifurahia.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><i><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></i></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style="color: rgb(255, 0, 0);font-family:Metrostyle;font-size:16;" lang="AF" >Nini cha kufanya kila mwezi?</span><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">1.Unaweza kutoka na mpenzio mkaenda kufanya Shopping na ukamnunulia zawadi nzuri, kama nguo, viatu, nk.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">2.Mnaweza kutizama mkanda wa mahaba, angalau mara mbili kwa mwezi. Hakikisha wakati wa kuangalia mkanda, unamwonyesha staili nzuri uzipendazo. Usione aibu kumwambia unaipenda staili moja kati ya mbili, tatu ulizochagua.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">3. Unashauriwa kwenda na mpenzio kucheki afya zenu kila baada ya miezi miwili, hii itasaidia kama kuna magonjwa basi yapatiwe tiba, sio unasema unampenda mwenzio lakini mumshauri kupima afya zenu. <o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF">4. Muulize kitu ngani labda ambacho umemfanyia bila kujua kama umemuudhi, kwani wakati mwingin e unaweza kumuudhi mwenzio bila kujua na kukaa kimya kwako kutamfanya aendelee kuumia.</span></p><p class="MsoNormal" style="font-weight: bold; color: rgb(255, 0, 0); font-style: italic;">Hebu ukiwa na mpenzi wako jaribu kubadilika bwana, sio kukaa kama gogo au ukimaliza mtanange unakimbilia kufuli, la nini, halina kazi tena ukiwa na mwandani wako...hebu mpe faraja nzito.....aliwazike hakuna kubaniana...</p><p class="MsoNormal" style="font-weight: bold; color: rgb(255, 0, 0);"><i><span lang="AF" style="font-family:Metrostyle;"><o:p> </o:p></span></i></p> <p class="MsoNormal" style="font-weight: bold;"><span style=";font-family:Metrostyle;color:black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-11653623449016560642008-04-11T01:33:00.000-07:002008-12-08T21:51:22.493-08:00NDANI YA KUTANNE<p style="text-align: left;font-family:arial;" class="MsoNormal"><span style=";font-size:36;color:fuchsia;" lang="AF" ><br /></span></p><b style="color: rgb(153, 0, 0);font-family:arial;"><span lang="AF" style="font-size:36;">Ukitaka kuyafurahia mapenzi, fanya hivi!</span></b><b><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></b> <p style="text-align: left;" class="MsoNormal"><b><span style="" lang="AF"><span style=""> <span style="color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </span></span></span></b><span style="color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;font-size:85%;" ><span style="" lang="AF"><span style=""></span></span><span style="" lang="AF">Ukitaka kujisikia raha kwenye mashamsham ya godoro, lazima ujue mengi. Mapenzi ni matamu sana iwapo unakutana na mwenzio mwenye kujua mapenzi, nasema hivyo kwasababu kumekuwa na malalamiko ya wanawake na wanaume wakilalamika kutoyafurahia mapenzi ya wapenzi wao. Kwanini usiyafurahie mapenzi ya mwandani wako,hebu jiulize<span style=""> </span>ana<span style=""> </span>matatizo gani?.Hakupendi ila analazimisha?.Maana kuna mwanaume mwingine kama hakupendi bwana kukuridhisha huwa tabu sana, labda avute hisia kutoka kwa yule ampendae lakini hivi hivi utaambulia patupu.Mwingine ni mvivu au hajui namna ya kumpenda mtu?. Looh, usishangae ukasikia mwanamke akisema jamaa yake akiingia uwanjani humaliza mpira kabla ya<span style=""> </span>dakika tisini, ni mcheza kiungo hatari ambaye hana pumzi, dakika mbili hoi amemaliza mechi ya kwanza.Ukimbembeleza arudi jimbani anaanza kutoa visingizio lukuki, anaweza kutoa sababu kwamba anawahi sehemu muhimu, au atapiga simu akijaribu kutengeneza sababu ya kukutoka.<o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><span style=""> </span>Kama wewe ni mwanamke ama mwanaume, huyo uliyosema unakutana nae faragha hakikisha unampenda sana, sio unampenda ilimradi amekuambia anakupenda, unajua kuulazimisha moyo useme uwongo ni ulimbukeni wa mapenzi kwani hutamfanya mwenzio akayafurahia Vitumbua vya nyama au Soseji.</span></span></p><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuL6UGYiptmlogOLuLFBNbREH4gClLXIMmeDKqImAOrUC1tj8c4zX_c9R3AiKVi4vEsz5z_Shvala0hmwyB7sDo4FTrImnefzTZxmeM5HNA5TZGuSfTNrPqITJEMTvatKRnqYw8YpCVxc/s1600-h/qw.jpg"><img style="margin: 0pt 0pt 10px 10px; float: right; cursor: pointer;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhuL6UGYiptmlogOLuLFBNbREH4gClLXIMmeDKqImAOrUC1tj8c4zX_c9R3AiKVi4vEsz5z_Shvala0hmwyB7sDo4FTrImnefzTZxmeM5HNA5TZGuSfTNrPqITJEMTvatKRnqYw8YpCVxc/s400/qw.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5187908163127039986" border="0" /></a><br /><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><span style=""> </span></span><span style="" lang="AF">Sasa basi, nataka nikufahamishe jinsi ya kutaka kuyafurahia mapenzi, ukiwa na mwenzako chumbani kabla ya kuingia dimbani, hakikisha kwamba mmejindaa kwa mechi, na kila mtu awe na hamu na nia ya kufunga mabao ya nguvu. Kabla ya kuingia uwanjani, wewe kama ni mwanamke unaweza kuja na Choculate nzuri ya baridi. Unaweza kununua ya maziwa, ya machungwa, ya mananasi,nk.<o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><span style=""> </span>Kabla ya kunyonyana ndimi, unanawa mikono yako inakuwa safi kabisa, ukisha hakikisha mikono misafi, unapaswa kummegea mwenzio kipande kidogo cha Choculate ambacho utamlisha huku ukitabasamu kwa raha zako.Weee!<span style=""> </span>mwanamke ameumbwa na tabasamu dear. Sasa usimbanie mwenzio kumzawadia tabasamu laini kama ute wa yai na<span style=""> </span>jepesi kama </span><span style="" lang="AF">pamba. Wakati unamlisha mweleze maneno mazuri ya mapenzi, unaweza kutumia lungha ambayo ataielewa vizuri, kama anajua. Akiwa anajua kizungu, Mwambie huku ukimwagia tabasamu<i>," I beg you to love me the way you loved no one else" <o:p></o:p></i></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF">Kwa kiswahili, unaweza ukatumia maneno haya, "Nakupenda, naomba unipende ambavyo hujawahi kupenda daima maishani mwako"<o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF">Ukimaliza nadhani hata yeye atasema, "Nakupenda, na nakuahidi sitokusaliti"Ukimaliza kumlisha mpatie ile chuculate ili nae akumegee kipande kidogo na akulishe kwa kutumia njia uliyotumia wewe. Ukishamaliza, kupeana choculate, unaweza kuasha kuila ile choculate kwa kuimumunya taratibu kutumia ndimi zetu.</span></span></p><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal">Vipi, unaonaje hapo? Sasa tulia huu ni mwanzo, nitakupa vitu vikali mshikaji wangu!!!!<br /><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span style="" lang="AF"><span style=""> </span></span><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></span></p><div style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 51); font-weight: bold;"> </div><p style="text-align: left; color: rgb(0, 51, 0);" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><br /><span style="" lang="AF"></span><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></span></p><div> </div><p style="text-align: right;" class="MsoNormal"><span style="font-size:85%;"><span lang="AF" style="font-size:28;"><span style=""> </span></span></span><b><span style="" lang="AF"><span style=""> </span></span></b><span style="" lang="AF"><o:p></o:p></span></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-61118475413342359162008-04-11T01:26:00.000-07:002008-04-11T01:31:50.169-07:00Mambo Ya Chumbani<p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><b style="font-family: courier new; color: rgb(153, 0, 0);"><span style="font-size: 20pt;" lang="AF">Ukiwa chumbani na mwandani wako, hebu mpe mambo haya.....</span></b><b style="font-family: courier new; color: rgb(153, 0, 0);"><span style="font-size: 28pt;" lang="AF"><o:p></o:p></span></b><span style="font-size: 28pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style="color: rgb(153, 0, 0);"><span style="font-family: courier new;"> </span> </span><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF">Si siri, mapenzi ni hatua ambayo kila mtu hutamani kuipitia. Na leo napenda nizungumzie faragha, yaani sehemu ambayo mnaweza kupeana raha za dunia bila tabu. Kabla ya kuwa faragha nadhani mlipeana miadi mpaka kukutana kwenu faragha, sasa basi unapokwesnda katika makutano yenu ya kuliwazana, unatakiwa uwe umejiandaa vya kutosho. Sina maana ya kubeba pesa kwa ajili ya mpenzio,maana kuna wasichana wengine bwana bila pesa hawajapeana ma-vitu. <o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><o:p> </o:p><span style=""> </span>Unaweza kujianda kuanzia mavazi, mwili na urembo hasa kwa wasichana. Nikizungumzia mavazi, namaanisha kuanzia nguo za ndani, kuwepo safi nguo za ndani hupendeza na kumvutia mwandani wako, sio unaenda kwa mwandani wako huku umevaa nguo ya ndani karibu wiki. Haipendezi hata kidogo na utaanza kumboa mwenzio.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><o:p> </o:p><span style=""></span>Hakikisha nguo zako safi na zitamvutia zaidi, pia nguo laini na nyepesi humfanya aweze kukupapasa atakavyo kwani utakapovaa nguo ya kubana ama nzito inaweza kumnyima uhuru wakati mkiwa katika mwanzo wa faragha yenu. Wanaume wengi wamekuwa wakiudhiwa na wapenzi wao wanaovaa nguo zinazowabana sana wanapokuwa faragha. Ukiwa mafichoni, naita mafichoni kwasababu hakuna anayewaona mkifanya mambo yenu. Mwanamke anaweza kuvaa kimini ambacho kitamfanya mpenziwe asugue sugue vidole vyake kwenye mapaja yake laini bila tabu. Hii itampa msisimko nadhifu ambao unaweza kumfanya akatamani kupanda mlima kilimanjaro ili-afike kileleni. Sehemu ya kifuani, mwanamke anapaswa sehemu baadhi ziwe wazi kumpa mpenzie apate kumtomasa taratibu.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF">Mwanaume nae anaweza kuvaa kaputula ambayo inaweza mwenzie awe huru kumshika sehemu zenye msisimko. Sehemu za kifuani anaweza kuvaa singilandi. <o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mtu anapokuwa faragha na mwandani wake hutegemea kupata raha sio karaha.Ukiwa na mwandani ama wamoyo wako, hakikisha huongelei mambo ambayo mlikosana maana katika mapenzi haikosi migogoro midogo midogo.Faragha sio sehemu ya kulaumiana, kama mlishaombana msamaha ya kaisha.Si poa kila mnapokutana kukumbushia maudhi ya mwenzio aliyotubu, kufanya hivyo kutamfanya awe mnyoinge na pengine kluzua majibizano yatakayoondoa Utamu wa mapenzi.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF">Unajua unapokuwa faragha na mwanadani wako, hupaswi kuingiza mawazo ya maisha yako,sijui mimi sina pesa. Mara hiki na kile, kama ni mapenzi basi hakikisheni mawazo yanakuwa kwenye ulingo wa huba.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Sasa unafikiri utafanya nini kuhakikisha mwenzako anakuwa na raha ambazo anazitegemea?.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF">Yapo mambo mengi sana, mfano yawezekana upo kwenye kochi chumbani, mnajiandaa kuelekea nchi ya huba. Unachotakuwa hapo ni nikumthamini mwenzio, ukiwa na kasumba ya dharau hutayafurahia mapenzi yake. Kama hajui mahanjamu mfundishe namna ya kuwajibika. Sio akae kama mzoga huku akikutumbulia macho ya kiburi.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-weight: bold; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kabla ya kuanza kula tunda, mnapaswa kuhakikisha mmewekana katika hali ya mapenzi, kila mtu awe amesisimka vema, kwani kukurupukia mapenzi ovyo kunaweza kusababisha kutoridhishana. Kwasababu kuna wanaume wengine humaliza kabla ya mwanamke, hivyo kutaka kutoka droo lazima uwe mbunifu na umemwandaa mwenzio vizuri. Pengine anaweza kuniuliza utamwandaa vipi?. Zipo nyingi na pengine hata wewe unazijua, kama kunyonyana ndimi, kutomasana sehemu zenye msisimkona nyingine nyingi ambazo siwezi kuziweka hadharani. Kama unazitaka unaweza kunipigia simu, nitakujulisha.<o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt; font-weight: bold;" lang="AF"><span style=""> </span>Utamu wa mapenzi ni kila mtu kujishughulisha mnapokuwa mkipeana mapenzi, haita kuwa vema mmoja anasubiri mwingine ahangaike.</span><b><span style="font-size: 11pt;" lang="AF"> <o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><b style="font-family: lucida grande; color: rgb(204, 51, 204);"><span style="font-size: 11pt;" lang="AF">Ni twangie kama vipi, 0712313191</span></b><span style="font-size: 11pt; font-family: Arial;" lang="AF"><o:p></o:p></span></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-41928241548772557882008-04-11T01:12:00.000-07:002008-04-11T01:22:16.237-07:00Simulizi za ndani ya ndoa<p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><b style="color: rgb(255, 0, 0);"><span style="font-size: 14pt;">Pain marriage love story</span></b><b><span style="font-size: 14pt; color: black;"><o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><b style="color: rgb(204, 102, 204);"><span style="font-size: 36pt; font-family: "Albertus Extra Bold";">NDOA YA UTUMWA</span></b><b><span style="font-size: 10pt; color: black;"><o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><b><span style="font-size: 20pt; font-family: "Univers Condensed"; color: maroon;">Na: ZUBAGY<span style=""> </span>J. AKILIMIA</span></b><b><span style="font-size: 10pt; color: black;"><o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; color: rgb(51, 51, 255);" align="center"><b><span style="font-size: 14pt; font-family: Tahoma; color: green;">Email: akilimia80@yahoo.com.</span></b><b><span style="font-size: 10pt; font-family: Tahoma; color: black;"><o:p></o:p></span><br /><span style="font-family: Tahoma;">Mobile: 0712313191</span></b><span style="font-size: 10pt; font-family: Tahoma;"><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; color: rgb(51, 51, 255);"><span style="font-size: 10pt; font-family: Tahoma;"><o:p> </o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman;"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; color: black;"><span style=""> <span style="font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"> </span></span><span style="font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102); font-family: lucida grande;">Nakumbuka siku nilipomtaarifu baba na mama kuhusu kumuoa Angela Shiri. Ilikuwa siku ya mapumziko, siku ya juma pili tulivu, nilikuwa nimepumzika nyumbani na wazazi wangu. Ni baada ya kupata mlo wa mchana, vyombo vilikuwa angali mezani. Nilikuwa na tizamana na wazazi wangu wawili katika meza ya chakula. Baba akiwa kushoto mwa mama, wakiendelea kunawa mikono. Niliwasubiri hadi walipomaliza kunawa, ndipo nami nikanawa. Sikupenda kupoteza muda, nililainisha koo langu kwa ajili ya kusema kile kilichokuwa akilini.<o:p></o:p></span></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba na mama, kumradhi. Nawaombeni kuzungumza….” Nilibwabwaja nikiwatizama kwa zamu, ambapo nilianza na baba kisha nikapeleka jicho kwa mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sema usijali, mwanangu” Ilikuwa sauti ya baba ikionekana kuchangamka si kidogo, baba akahamisha macho usoni mwangu akamgeukia mama, “Au unasemaje mama Bakari?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hataa, kauli yako tosha ni jibu zuri katika familia. Hatuwezi kumnyima mtoto wetu kuongea na wazazi wake, tueleze baba”<span style=""> </span>Mama nae alitii sheria.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eeh, Baba na mama. Naona sasa mtoto wenu nimefikia wakati wakuoa. Nimepata mchumba, isipokuwa mchumba niliyempata…” Nilikatishwa na sauti ya furaha ya mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Loo!! hongera sana mwanangu.<span style=""> </span>He! He heee!! Aiy!aiy!. Nimeshakuza dume langu la pekee”<span style=""> </span>Mama alitokwa na maneno kwa furaha, akanishika mkono, pia aliona haitoshe kumalizia furaha yake kwa kunishika mkono, aliinuka na kuruka ruka huku akipiga vigelegele.<span style=""> </span>Baba alibaki akitabasamu pana lililoshiba midomoni mwake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hongera sana mwenetu, kufikia hatua hiyo ambayo ni hatua kubwa sana katika maisha ya mwanadamu, hata mimi nilitaka nikukumbushe kuhusu jambo hilo kwani ni miaka thelethini sasa, umri umekwenda sana isitoshe magonjwa yamezagaa sana si sawa na enzi zetu tukiwa vijana kama rika lenu…..nakupa pongezi sana mwanangu…pia nasema<span style=""> </span>hakuna kazi nzito kama kuchagua mchumba, kwa haraka haraka unaweza kudhania kwamba ni kazi ndogo lakini sivyo mwanangu” Baba alijaribu kunipongeza huku akinishauri mawili matatu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nashukuru sana baba, hata mimi naelewa kumpata mchumba yataka muda na umakini zaidi, hata huyo nitakaye waletea naamini mtampenda kwani ana kila sifa ambazo mwanamke hutakiwa kuwanazo, kuanzia tabia, sura hata umbo….”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Tutashukuru kama ndivyo, hakuna ulazima kwamba mkeo awe mzuri sana, hapana. Tunachotaka ni nidhamu, uvumilivu, mwenye upendo kwako na wazazi na mcha mungu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba huyo anasifa zote….” Niliwatoa wasiwasi akilini mwao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ehee! Mchumba wako ni kabila gani?” Mama aliniuliza swali baada ya kuvuta kiti karibu, huku akijifunika ushungi wake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni mtu wa Kilimanjaro……..” nilijibu kiujanja, sikutaka kutaja kabila lake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, ni mtu wa kilimanjaro lakini unaelewa Kilimanjaro kuna makabila mengi, wapo wachaga, wapare na makabila mengineyo ya wageni, sasa mchumba wako ni kabila gani?” Mama alizidi kunidadisi<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni kabila lako, mama” Nilimjibu nikitabasamu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Du!! Hapo sikushauri lolote mwanangu, kabila letu ni wanawake wakorofi sana. Tuna ule ubabe wa kuwakalia waume zetu” Nilitamani kumwuliza mama inamaana naye anamletea baba ukorofi lakini nikajua swali lile nitakuwa nimemkosea mama heshima. Nikatulia nikimsikiliza kwa makini, ingawa sasa<span style=""> </span>mapigo ya moyo yaliongeza kasi kidogo. Tayari nilishaanza kuingiwa na hofu ya kumkosa Angela katika maisha yangu. Katika akili yangu, nilifikiri swali lingine la kumwuliza mama, mwanamke mzuri si kabila lake ama mwanamke mbaya si kusoma kabila lake, yawezekana kabila lake likawa lenye sifa hizo lakini binti yule akawa si mkorofi, mtu ni utu wala si kabila. Sasa wakati huo nikaamua kuyamezea akilini maswali hayo, hata kama ni wewe usingethubutu kubishana ovyo na wazazi wako. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sema mwenyewe kama kibuyu cha mganga, kumbe mnajijua eeee!” sauti nzito ya baba ilipata mwanya wa kukoroma.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Lakini si wote, mbona miye naishi na baba yako vizuri. Hatujawahi kufarakana?.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Tunapendana kama kumbikumbi, bibi mbele bwana nyumba, lakini mchumba wako <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">anaonyesha upendo wa dhati kwako?. Ama ni muungwana wa sura na macho?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, ananipenda sana na ananijali” nilizidi kuwatoa hofu ili wasiweze kutoa pingamizi lolote juu ya mchumba wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Tunaweza kujua jina lake?” baba aliniuliza akinitizama kwa makini zaidi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, anaitwa Angela Shiri”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, sawa …….. eee! Mama Bakari naomba unipishe kidogo kuna jambo nataka kumuelimisha mwanangu, Bakari, si vema ukawepo kikao hiki ila baada ya muda nitakuita,<span style=""> </span>kaendelee kuandaa chakula cha jioni”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa mume wangu” mama aliinuka kinyonge akijongea jikoni, akaniacha mimi na baba sebuleni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni hivi mwanangu……” alianza kuongea kwa sauti ya chini kama vile ananinong’oneza jambo Fulani la siri.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Najua wewe ni mtu mzima mpaka sasa, sivyo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndivyo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa sawa…eee!, wewe ni mwanangu pekee, sina mtoto mwingine yeyote zaidi yako, hivyo basi napaswa kukuelimisha chochote juu ya ndoa kwani wewe ndio kwanza unataka kuelekea huko. Naomba ufahamu kuoa si jambo la mzaha kama udhaniavyo. Kuishi na mwanamke ni kazi ngumu sana, moja unapaswa uwe na subira, pili uwe mvumilivu si kidogo, tatu umpende mkeo kuliko wanawake wote duniani, sina maana umpende mpaka akukalie, hapana. Mpende mkeo kama mkeo, usitokeo ovyoo nje magonjwa mengi sana sasa hivi hasa UKIMWI, naomba unielewe vizuri……. Wewe ni mwanangu na mwanangu ni rafiki yangu mkubwa, najua nikifa wewe ndiye utakuwa muhusika mkuu katika mazishi yangu, hivyo basi napaswa nikueleze bayana . Nikikuficha utasema<span style=""> </span>kwanini baba hakunielimisha juu ya jambo hili, sitaki mwanangu ukaingia kwenye majuto, mimi naishi<span style=""> </span>na mama yako lakini ni mvumilivu sana angekuwa mwanaume mwingine hata wewe usingefikia hatua ya kuoa, pengine ungekuwa mtoto wa mtaani.<span style=""> </span>Ninachokueleza kabila hilo unalotaka kuoa halikufai kabisaa, utateseka sana mwanangu na isitoshe dini zenu hazichangamani, wewe Muislam yeye Mkristo, lakini swala la dini halina uzito kama anakupenda anaweza kubadili dini. Pia ninataka ufahamu kuwa uchumba si sawa na ndoa, si kwamba nataka kuingilia kati mapenzi yako na umpendaye…hapana ….nataka uoe chaguo lako ili hata baadae usije ukatulaani, ukajuta ukisema kama si baba na mama nisingeteseka na ndoa hii, tunataka uchague mwanamke umpendaye na akupendaye, asiye na tamaa, awe mvumilivu, zama za kutafutiwa mchumba zimepitwa na wakati isipokuwa sisi tutachunguza tukiwa kama washauri wako kuhusu mke unayetaka kumuoa, au kuna baya nililokueleza mwanangu?. Sema usinifiche hizi ni zama za ukweli na uwazi” Yalikuwa maneno mazito ambayo yaliniingia akilini angali ya moto.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, isipokuwa kuna jambo ambalo linanitatiza sana kuhusu mchumba wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Jambo gani?”Akaniuliza baba ambaye sasa alisogeza kiti jirani kabisa, ili nimweleze kinagaubaga.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mchumba wangu alinieleza kama sitomuoa basi ataweza kujiua akiwa ameacha ujumbe sababu ya kujiua na kuhusu swala la kubadili dini hataki anasema mimi ndiye nibadili maana baba yake wa kambo ni mchungaji…”Baba alinikatiza maneno,<span style=""> </span>Nikasikia sauti kali ya ukemi ikiniingia masikioni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Anataka ubadili dini?!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Pamoja na elimu yako unaweza kubadilishwa dini na mwanamke?. Elewa kwamba huo ni<span style=""> </span>utangulizi wa utumwa wa mapenzi,<span style=""> </span>kubadili dini ni maamuzi yako lakini si kwasababu unataka kuoa mke hata kama ni mzuri kiasi gani, najua mwanangu unakimbilia wanawake weupe, weupe wa nini bwana ambao unapatikana madukani!! Yeye mtoto wa mchungaji nawe mtoto wa Shekhe Maliki”.Sasa sauti aliipoza kidogo tofauti na mwanzoni<span style=""> </span>akiongea utadhania ananikaripia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Kwa kukurahisishia mwanamke hana dini hivyo lazima abadili yeye, pia kama ndilo kabila la mama yako nina imani utateseka ……..”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kivipi baba, mimi nimeshampenda naye ananipenda” nililalamika kidhaifu kabisa nikihisi baba anaingilia mapenzi yangu na Angela. Pia miye moyo ulikunja ngumi kwa maneno ya wazazi wangu, niliamini nitawapinga kila hali ilimradi Angela awe mwanamke wa ndoa yangu. Nilimuona baba akikunja uso na kunitizama kwa ghadhabu, sasa nikaamini alikerwa na swali langu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ngoja nikushauri mwanangu……” alianza kusema kwa upole tofauti na nilivyodhania mwanzoni, baada ya kuona makunyanzi yametawala pajini mwa uso.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, nishauri baba” nikajikuta nami nikimwitiki, macho na masikio nikiwa nimeyafungua kuona na kusikia chochote asemacho baba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kabla ya yote, maana naelewa kama unatafuta mchumba basi kwa vyovyote ulichagua mmoja kati ya wale marafiki zako, ambao uliwachunguza ndipo ukampata huyo Angela,<span style=""> </span>hivyo basi naomba urudi nyuma katika wale marafiki zako ulipompatia huyo mchumba Angela, uchague mchumba mwingine…..tena hakikisha unamchunguza vizuri tabia zake, malezi aliyolelewa utotoni mwake, kabila lake na hata dini ikiwezekana ili usiweze kupata shida ya kubadilishana dini, ambapo baadaye ikawa umejiingiza kwenye majuto……”Akatulia na kuokota glasi yenye maji na kuigugumia kinywani kisha akaendelea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nisikilize vizuri Bakari….” Akili yangu iliingiwa na ufinyu wa nidhamu nikajikuta nikimkatisha baba bila hata kutegemea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba, hilo litakuwa zoezi gumu kwangu, mke niliyeona ananifaa ndiye huyo huyo, siwezi kupoteza muda tena. Kama nyie mnanipangia mke wa kuoa mtakuwa mnajisumbua bure, mi’sitaki. Ushauri wenu haunifai kabisaa!, Angela ndiye chaguo langu sina haja ya kuhangaika tena na isitoshe nimetoka naye mbali si kidogo” Kila nilipofikiri kumuacha Angela, nilishikwa na hasira sikujali naongea na baba au laa! Nilichotaka wasikilize kile ninachotaka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hatuna nia ya kuingilia kati mapenzi yako, hatujui mmejuana lini na vipi, mmepeana nini hadi leo, ila tunajaribu kukuelimisha juu ya ndoa. Mwanangu hivi unajua nini maana ya ndoa?"<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">"Ndio Baba"<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">"Maana yake nini?" Alizidi kuniuliza Baba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">"Ndoa ni Ukamilifu wa makubaliano ya muungano wa mwanamke na mwanaume wanaopendana kuishi pamoja kuwa mke na mume kulingana na sheria ya dini, mila na desturi" Nilimjibu Baba akafurahia, japo alionekana kulazimisha furaha. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">"Sawa, nasukuru kujua nini maana ya ndoa. Ndoa si kuoa na kuishi na mwanamke ndani ilimradii umetamka mbele ya mashahidi kwamba unampenda fulani, naomba uelewe mapenzi siri ya mtu, kumpenda mtu si kwa maneno, ‘Ooo!! Nakupenda sana Bakari’, anaweza akakwambia hivyo na badae anamwambia sijui Hamisi, John na wengineo, maneno hayo hayo. Mwanangu naomba usiuseme moyo wa mwenzako, hujui anafikiri nini akilini mwake, hujui anakupendea kitu gani, kumtambua kama mtu anakupenda ni jambo zito sana na ingekuwa rahisi endapo moyo wa mtu ungekuwa unafaa kutoa hadharani kama pesa mfukoni. Tafadhali mwanangu kama unaona tunania ya kuingilia kati mapenzi yako, tutakuacha uchague yupi bora Angela na wengineo lakini elewa kwamba sisi tunaona mbali….”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba, naomba msinifikirie vibaya. Nimetokea kumpenda Angela na sina uhakika kama nitaweza kupumua endapo nitamkosa<span style=""> </span>maishani mwangu. Najisikia mpweke sana, si kwamba nimewakosea heshima kama ni kulaumu naombeni muulaumu moyo wangu ambao umemuhifadhi Angela kwenye kiota cha huba, mfano wa mlima kilimanjaro unavyohifadhi theluji karne na karne” Nilizidi kulalamika, machozi yakinitoka bila kujijua. Nilijua kwa kufanya vile ingesaidia kidogo kama changa moto kwa Baba. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, mkataa pema pabaya panamwita. Uko huru kuoa ama kuolewa, uko huru kubadili dini ama kutobadili. Hatukulazimishi bali tunakushauri kama wazazi wako. Mke bora si uzuri, naelewa umechanganyikiwa na weupe wa mchumba wako, tunakuachia utende………” baba alikatishwa maneno yake na ukemi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Mama alichomoka jikoni baada ya kusikia maneno ya ukali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Heee! Baba Bakari mbona kelele tena. Kuna nini?” Mama akatokwa na maneno akiwa amesimama mlango wa kuingilia sebleni,<span style=""> </span>yawezekana hofu ilishamuingia .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Kimya kilitawala, mama akatembea hatua za haraka huku kanga zikimdondoka bila kuzikwapua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Jamani, imekuwaje? Inamaana hayo ndio mazungumzo ya faragha?” sasa mama alimfuata baba na kuketi kiti cha jirani kabisa. Baba akawa ameinamisha kichwa kwa uchungu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba Bakari, mwanao anasemaje?” kimya kilitawala, ingawa safari hii baba alitikisa kichwa kwa masikitiko. Miye nilitulia kama maji ya mtungi. “Sema basi baba<span style=""> </span>Bakari……” alipoona baba anachelewa kusema, akanigeukia<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wee Bakari umemfanya nini baba yako?” Mama akaniuliza kwa ukali, nikakata shauri kumueleza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba amekasirika kutokana na kumpinga mawazo yake”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ya kuachana na binti ambaye ni chaguo langu”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Lazima uwasikilize wazazi wako, wazazi wanajua mengi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, lakini siweze kusikiliza jambo ambalo najua fika haliniingiii akilini. Naona niwaeleze bayana kuhusu kutokuachana na mchumba wangu….. nasema nyie ni wazazi wangu lakini hamna majukumu yeyote juu ya maswala ya mahusiano, niliwaeleza tu ili mfahamu mtoto wenu nimefikia hatua ya kuoa.<span style=""> </span>Kumbukeni nina matilaba ya kumchagua nimpendaye…” niliongea kwa jeuri kama askari jela kwenye kutoa adhabu kwa mfungwa mkorofi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Pamoja na hayo, wewe ni mtoto tu bado. Ndio kwanza unaanza maisha, hujui hili wala lile, najua wanakupenda kwa sasa kwa vile huna shida, unawapa pesa za kutosha lakini ukumbuke maisha ni safari ndefu. Pia maisha hubadilika kama upepo, mara kusini, kaskazini na hata magharibi. Ipo siku watakukimbia utabaki peke yako kama maiti inavyobaki peke yake kaburini, hutakuwa na mshauri, msaidizi. Mwanangu usibwatuke ovyo kwa sababu una pesa ama kwa vile unafanya kazi Benki….” Yalikuwa maneno ya mama ambayo aliyatoa huku akibubukikwa na machozi. Hakika niliingiwa na uchungu sana, bila kutarajia machozi yakanitoka. Moyo ukajikuta ukinilaumu kwamba nilishawakosea heshima wazazi wangu. Taratibu niliinuka kitini na kumfuata mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mama naombeni msamaha, naomba mnisamehe nimewakosea heshima” niliposema maneno yale, nikatembea kwa magoti hadi kiti alipoketi baba. Nilijua wazi nimewakera na kuwakosea heshima wazazi wangu walioshirikiana kunilea na kunisomesha hadi nilipopata kazi benki, nikiwa meneja Msaidizi. Walihisi niliwajibu vibaya kutokana na pesa nilizokuwa nazo ingawa si kweli, nilimpenda sana Angela zaidi ya wanawake wote ambao nilishawahi kukutana nao.Nilikaa kimya kifupi nikagundua kwamba niliwakosea sana wazazi, ndipo nikajikuta nikitokwa na maneno ya huzuni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba nisamehe mwanao, sikutarajia kwamba ningewakosea heshima” Baba hakujibu alikaa kimya, nikajua kimya kile kilikuwa cha hasira.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baba naomba unisamehe, sitorudia tena” Nilimkaribia kabisa na kumshika mkono wake wa kuume angali nimepiga magoti.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Tutakusamehe endapo utakubali kuachana na huyo Angela wako. Tunajua umechukizwa na mawazo yetu, ndio maana ukabwatuka maneno ya ajabu sababu ni Angela, usipoangalia mwenetu kwa hali hiyo unaweza ukapata shida katika ndoa yako, tunakuomba tena tupo chini ya nyayo zaka. Tuliza akili wanaotaka uwaoe wapo wengi sana, isipokuwa wanachotaka ni pesa zako. Siku hizi wanakausemi kasemao, ‘Hapendwi mtu, yapendwa pesa’. Hao wanataka kuja kukuibia kisha waondoke zao, na mwizi hana alama wanajua unafanya kazi benki, ndio maana hawaachi kukupigia simu na kukutumia ujumbe kwenye simu. Sasa kama hujui endelea…”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimejua, nawaahidi nitamuacha Angela kisha nitatafuta mchumba mwingine”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapo umenifurahisha mwanangu, nimekusamehe na nakuombea kwa Mungu upate mchumba haraka na awe<span style=""> </span>mwaminifu”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kuwa makini na mabinti wa sasa, ni wepesi kuleta matata wengi wao hawana upendo wa kweli. Isipokuwa wanajali pesa” Baba alipomaliza kuongea, mama nae akadakia kabla sijazungumza chochote.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hata mimi nimefurahishwa na tamko lako, nimekusamehe. Nakuombea kwa Mungu upate mke mwema atakaye kuzalia watoto” niliona muda mfupi wazazi walijawa na furaha tele moyoni. Nilisema maneno yale kwa ujasiri ingawa moyoni niliumia, sikutaka kamwe nitengane na Angela. Tulishazoeana siku zote tupo pamoja, si matambezini wala nyumbani kwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nilipomaliza mazungumzo na wazazi, niliondoka na gari yangu ndogo RAV4 ambayo nilitegemea kumpa Angela kama zawadi siku ya harusi yetu. Nilishapanga mambo mengi na Angela. Akili yangu iliingiwa na ganzi, sikuwa najijua niendako, nilichojua nipo kwenye gari langu. Ila nilijikuta nipo barabara ya Shekilango nikielekea barabara ya Morogoro.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Ghafla nikagutushwa na mlio wa simu. Nikashituka kidogo kama niliyetoka usingizini, nikajua sasa nipo barabara yenye msongamano wa magari. Nikawasha taa za kuegesha gari kando ya barabara, nilipaki gari langu eneo la Sinza madukani karibu na maegesho ya teksi. Sasa nikapokea simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hallo!, Bakari naongea hapa. Sijui wewe nani na nikusaidie nini, tafadhali!” nilijikuta nikiponyokwa na maneno huku nikiwa nimekunja uso. Sikukumbuka hata kutizama namba ya mpigaji.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Inamaana hujui namba zangu, dear” Ilikuwa sauti murua na mororo mithili ya kinanda ikiingia maskioni mwangu huku ikitoa miremo ya huba. “Ooohph!” nilishusha pumzi kwa nguvu. Baada ya kugundua kwamba alikuwa Angela, sauti yake hainipotei kamwe hata nikiwa wapi. Kisha nikaendelea kuongea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nazijua, naomba unipigie simu baadaye…. au usinipigie nitakupigia kwa wakati wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana dear, kwanini unasema hivyo, ama upo na mwenzangu nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana” Nilimjibu kwa ukali kidogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sasa mbona unaongea na mimi kwa hasira? Halafu unasema nisikupigie<span style=""> </span>utanipigia kwa wakati wako?….sema kama ndio ushaanza kunisaliti hababi wangu..eeee!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, najisikia kuumwa na kuna jambo zito linanitatiza, upo wapi?” Hapo niliongea mithili ya mgonjwa tena sauti ya chini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nipo kwenye daladala maeneo ya Shekilango hapa nakuja nyumbani kwako”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“No! no! shuka kituo cha Legho, nakuja hapo. Nipo maeneo ya Sinza Madukani, sawa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, lakini jambo gani linakutatiza”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nitakueleza nikija hapo, una haraka gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimeingiwa na hofu kubwa mwenzio, heri usingeniambia kwenye simu.Jambo lenyewe linafurahisha?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kuna jambo lenye kutatiza likafurahisha?. Nisubiri sikawii”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, dear” Nilikata simu na kuwasha gari kuelekea kituo cha Legho maeneo ya Shekilango. Nilikuwa naenda kuonana na Angela lakini sikujua pa kuanzia kumweleza, niliamini wazazi ni Mungu wa pili lazima niwasikilize. Pia nilizidi kufikiri, safari ya Angela kuja nyumbani kwangu ambapo huishi jirani na wazazi wangu, ilikuwa kuona gari lake nililomweleza nimemnunulia, na nilipanga kumkabidhi siku ya harusi yetu. Ghafla kiza cha mawazo kikarindima akilini,<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hivi nikimweleza Angela itakuwaje? Ni kusema anaweza kufanya kila alichosema siku za nyuma, kwamba nisipo muoa atajinyonga ama kunywa sumu? Kama itakuwa hivyo, nitafanyaje kumnusuru Angela na mauti?. Hatujawahi kufarakana hata kidogo, leo natenganishwa<span style=""> </span>mwanamke wa maisha yangu, kisa hoja zisizo na msingi za wazazi! Hapana ….<span style=""> </span>Kwanini wazazi wananinyima uhuru? Ni kwa vile wamenizaa? Hata kama kwani wao walichaguliwa waoane na wazazi wao?…. ni kusema kama nitatengana na Angela nitapata zaidi yake?. Yawezekana, wazuri ni wengi lakini siwezi kuwalinganisha na Angela…Eee hee nimekumbuka maneno ya wazazi yanaweza kuwa na ukweli, Angela anaweza kuwa ananipenda niwe na gari la kifahari… lazima nimweleze kwamba sitobadili dini, najua hataki kubadili yeye kwa sababu ni mtoto wa mchungaji, sababu hiyo itanirahisishia kutengana nae” mawazo yalitawala ubongo wangu, bila kujijua nilijikuta nipo kwenye foleni ya magari, taa za shekilango. Nilipogutuka nikatamani kurudi nyuma lakini haikuwezekana, kulikwepo na magari zaidi ya matatu yakiwa nyuma yangu. Taa ziliporuhusu kuingia barabara ya Morogoro niliingia kushoto nikageuza kama vile naingia kituo cha mafuta ambacho kipo karibu na barabara ya Shekilango.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nilipofika stendi ya Legho, nikaegesha gari langu. Kabla hata sijazima gari, niliguswa begani kisha nikageuka taratibu. Kabla ya kumuona mtu aliyenigusa, nilifumbwa macho kwa viganja, nikakumbwa na gharika la manukato murua<span style=""> </span>yaliyolisha pua zangu hadi ziliposhiba. Manukato hayo hayakuwa tofauti na yale ya Angela.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela! Angela najua ni wewe, dear” nilisema nikimpapasa vidole vyake ambavyo nilijua wazi kama angekuwa amevaa pete niliyomnunulia lazima ningemjua, pete yake ilikuwa kubwa ambayo ilifunika vidole vitatu, nikajua hakika alikuwa Angela.Pia viganja vyake laini na vyenye kuteleza vilinifanya nihisi ni Angela. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mmmh kumbe unanijua kiasi hiki!” Yalimtoka maneno akitoa viganja usoni mwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, kwasababu ya manukato yako, kucha zako, vidole vyako na pete ambayo niliishika wakati umenifumba macho, pia najua hakuna mtu<span style=""> </span>atakayeweza kunifumba macho hali yakuwa hanijui” Nilimweleza nikijitahidi kuchangamka ingawa bado dalili za jakamoyo zilijitokeza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Angela akaingia kwenye gari kupitia mlango wa kushoto kwangu, “Vipi dear wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Poa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Safari ya wapi?” aliniuliza<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Safari hii ilikuwa kwako, tena tungepishana kweli” nilijaribu kuongea kiuchangamfu ili asigundue kile kinachonifanya nitingwe na mawazo. Japo sura yangu ilipambwa na tabasamu lakulazimisha lakini bado nilionekana mwenye kila dalili<span style=""> </span>kuchukizwa jambo fulani. Wakati huo huo, niliwaza jinsi ya kumueleza Angela yaliyonisibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Imekuwa kama bahati, nikaona nikujulishe ujio wangu. Moja, nilipanga kuliona gari ulilonifahamisha kwamba umeninunulia, RAV4 eee!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio hili hapa” nilitokwa na sauti ndogo ya upole.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Waaooo!, ni zuri sana….vipi mbona huonyeshi uchangamfu wowote leo, mpenzi?. Au unaumwa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, ni heri ningekuwa naumwa najua pengine ningepelekwa hospitali kupata matibabu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sasa kama huumwi ni nini, dear wangu?” Sikumjibu kitu, swali lake lilinipa nafasi ya kuganga maumivu ya kutenganishwa na Angela. Kabla sijanena neno, nilibaki nimeduwaa, pale nilipotizama ndio hapo hapo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ehee nimekumbuka, nieleze jambo gani linakutatiza?. Maana yawezekana hali uliyonayo ndio kile ulichosema kina kutatiza”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hakuna, ila kuna….” nilishindwa kuongea chochote, nikainamia usukani huku matone ya machozi yakinidondoka kama mvua ambayo imekoma kunyesha huku ikiacha mabati ya dondoshe matone. Nilishindwa kumueleza, nikakumbuka jinsi nilivyo muahidi Angela mambo mengi, ikiwa kuwajengea wazazi wake nyumba. Uwanja nilishanunua, nikakumbuka pesa zangu nyingi nilizotoa kwa ajili ya kumsomesha Angela, nikiwa na nia ya kuoa mwanamke msomi. Wazazi wake hawakuwa na uwezo wa kumsomesha Angela, nilimsomesha kuanzia<span style=""> </span>kidato cha tano hadi cha sita pia sikuona Angela ni mzigo kwangu, alipata division three kidato cha sita, nikamchukulia fomu katika chuo cha uandishi wa habari TSJ ambako alihitimu, alikiwa amepata Digrii ya Uandishi wa habari. Angela akapata kazi ya utangazaji katika moja ya Redio maarufu jijini iliyompatia jina. Niliona uchungu sana kumwacha Angela. Hata kama ni wewe usingeweza kumuacha mpenzi wako umetoka naye mbali, mmevumiliana kwenye shida na raha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hakuna nini Boka? Mimi nimekuzoea siku zote, sijakujua leo wala jana, ni miaka mingi sasa. Leo unaonekana tofauti kabis…..” Sikumjibu, kila niliposikia maneno yake ndivyo matone yalivyoongezeka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usilie nieleze kitu gani kimekusibu, <i>honey</i>?” Angela alizidi kunibembeleza, akainua kichwa changu ambacho nilikiegemeza kwenye usukani wa gari. Sasa macho yangu aliyaona yalivyoiva na kuwa mekundu ile mbaya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dear, usilie nieleze mwenzio kama ni mawazo nikusaidie” Sauti ya Angela ilinipa matumaini angalau kidogo ingawa sikuwa nikiamini kama angeweza kunielewa sawasawa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Lazima nilie Angela, sikutegemea kwamba yangetokea hayo yanayoniliza”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yapi?, Sema basi laaziz wangu” Alizidi kunibembeleza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela nakupenda sana, sikuwa tayari kuachana nawe….” Sasa nilikuwa nikimtizama Angela huku machozi yakiwa yamejaa machoni na kunifanya nisiweze kuona vema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mbona unanichanganya Boka…hukuwa tayari kuachana nami? Inamaana unataka kuniacha mi…” Taratibu niliona machozi yakimtiririka Angela.<span style=""> </span>Wote tukawa tunalia kama watoto wachanga wenye kukosa ziwa la mama mchana kutwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela sikutaka kuachana nawe, lakini inanibidi kufanya hivyo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yawezekana vipi tutatengana bila sababu, Kwanini<span style=""> </span>Boka unataka kuniacha?. Kitu gani nimekuudhi mpaka unaamua kufanya hivyo?. Nieleze kosa langu kama nikujirekebisha nijirekebishe, Dear”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hujanifanyia madhila yeyote, Angela. Kumbuka nakupenda sana, nimekusomesha zaidi ya miaka mitano, lengo nioe mwanamke msomi ambaye tungeweza kusaidiana katika maisha. Nielewe<span style=""> </span>Angela sikutaka kwa hiari yangu, nimelazimishwa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yaani Boka umeuchezea mwili wangu sasa unanibadilikia? Usitoe visingizio visivyo na msingi. Kumbuka ahadi ulizotoa juu yangu, kweli wanaume ni matapeli…” kilio kiliongezeka, Angela akawa<span style=""> </span>mbogo kweli kweli, alilia bila kukoma huku akinitingisha kwa hasira kama vile alitaka kunipiga. Nilishindwa namna ya kumwelewesha zaidi, nimwambie vipi anielewe?. Nikaona kama vile hajanielewa maneno yangu ndipo nilipoamua<span style=""> </span>kurudia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela nyamaza nikueleze unielewe. Sikutaka kutengana nawe…Angela”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hukutaka, nani kataka utengane nami?. Niambie kama nimekukosea, dear” Angela aliniuliza kwa hasira, uso ukiwa umeumuka kama andazi lililozidishwa amira.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hujanikosea, isipokuwa wazazi wangu hawataki tukaoana”<span style=""> </span>nikamjibu nikijifuta machozi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wazazi wako!!!” Sasa aling’aka huku jicho akiwa amelitoa kama jicho la fundi saa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, wamesema kabila lenu ni wakorofi sana na huwa hamjui namna ya kuishi na mwanaume ndani, zaidi ya ukorofi na unyanyasaji”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana Boka, siamini ….najua umepanga hivyo ili uniache baada ya kuuchezea mwili wangu. Nimefanya kosa sana kukuruhusu uujue mwili wangu, mambo ya wazazi yanahusiana vipi na makubaliano yetu….” Akakohoa kidogo kulainisha koo lake lililojaa dukuduku. “Kumbe Boka uliamua kunisomesha ilinijue una upendo wa kweli kwangu kumbe…” Maneno yake yaliuchoma moyo wangu ingawa sikuwa na ujanja. Nilishindwa kuzungumza nikabaki namtizama kwa unyonge, lilikuwa pigo takatifu moyoni mwangu. Hakuna kitu kibaya kama kuingiliwa kati penzi lako, niliona wazazi wangu wameidhulumu nafsi yangu kiasi kikubwa. Pia sikuwa na uhakika kama pengo la Angela nani Angeliziba, mbaya zaidi Angela ndiye niliyemuotesha kwenye kiota cha huba moyoni. Nikajua kama nitamkosa Angela ni wazi sitoweza kuoa tena maishani mwangu. Labda nisikie Angela amefariki dunia, pengine mawazo ya kuoa yangenijia. Si utani moyo wangu ulitumbukia katika sura na mwili wa Angela, ambaye kila nimkosapo hata siku moja humdhania anaumwa ama naye huniwaza miye kwamba nafanya nini wakati huo. Nisipomuona kwa siku nzima hujisikia mgonjwa, natamani niwe nae kila wakati. Sijui huu ni upendo gani, nilishindwa kujinasuka katika kumuwaza Angela, muda mwingi namwona katika mtiririko wa mawazo akilini. Nashindwa kumtoa akilini mwangu, nimejitahidi lakini nashindwa. Siwezi kuelezea kwa maneno kiasi nilivyozama kwenye dibwi la mapenzi kwa banati, Angela. Mpaka inafikia hatua humdhania aliniwekea dawa ya mapenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“<i>No! no!</i> sikia Angela, ukisema nimeamua kukusomesha ili ujue nakupenda unakosea, kuujua mwili wako si kigezo cha kuachana na wewe. Naomba uelewe nakupenda sana kuliko hata unavyonipenda, Siwezi kulinganisha pendo langu kwako na kitu chochote duniani, najua ni vigumu kuniamini isipokuwa ukweli upo, nakupenda Angela, sikutaka nikuache na sitakubali kukuacha kirahisi kama wazazi wadhaniavyo. Angela …Angela naomba unisikilize basi” nilizidi kumbembeleza Angela ambaye muda wote alikuwa akilia kwa kwikwi akiwa ananitizama kwa chuki. Nilipoona bado anazidi kulia, nikajaribu kubuni maneno matamu pengine yangembadilisha Angela na kumfanya ajue bado niko nae bega kwa bega kama ulimi na meno.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela…Angela, tafadhali naomba utulie basi wa moyo wangu” Nilimwita kwa majonzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Nilikuwa kama namzidishia hasira, alizidi kukoroma kwa kwikwi, “Angela nadhani hujui kiasi gani nakupenda, <i>please listen to me </i>” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nakupenda sana Angela na maneno ya wazazi wangu yasikutie wendawazimu, nakupenda na sikotayari kukuacha hata kidogo. Nikifanya hivyo nitakuwa nimempinga mungu kwani wewe umeubwa kwa ajili yangu, kitendo cha kukuacha ni sawa na kuzikimbia riziki mungu alizonipangia” nilizidi kumbembeleza, tararibu nikizishika nywele zake ndefu zenye kuvutia. Sasa nikajua amekasirika, Angela hakutaka hata nizishike nywele zake, kila nilipopitisha mkono aliutoa na kunisonya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hivi Boka umeniona miye mtoto mdogo wa kudanganywa, etii wazazi! Umepata chombo kipya leo unaniona Angela sina hadhi ya kuolewa nawe, kwani kabila ni nini? Inamaana wanawake wote wa kabila letu ni wakorofi na wananyanyapaa waume zao? Huo ni ubaguzi wa kabila, na kuharibia kabila zingine sifa, hata kama ndivyo lakini mimi sina tabia hiyo, siwezi kubadili maamuzi yako, nikifanya hivyo nitakuwa najikomba nikiwaomba ukoo, kama ni uzuri ninao, kama nimepangiwa kuolewa nitaolewa, si lazima wewe, naomba ujue hilo. Nimekuwa nikiwakataa wanaume wengi kwa sababu nilijua kuwakubali ni kukusaliti. Leo umenisaliti Boka, kama ni kabila nibadilishe nichukue kabila la mama yangu” Hakika Angela alilia sana, macho yakawa yamemuiva ile mbaya. Nilimuonea huruma sana, nilitamani kulia zaidi nikaona ingekuwa haileti maana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela hakuna mtu achukuae kabila la mama yake. Ila nitafanya kila njia tuoane bila wazazi wangu kutambua kabila lako”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usinidanganye Boka, nishajua mbinu zako” Ilikuwa kazi kumfanya Angela aniamini nisemayo. Alishajua kwamba ni janja ya nyani niliyojaribu kutumia ilikuachana naye, pengine alihisi nimeshapata mchumba mwingine baada ya kuuchezea mwili wake. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sikudanganyi Angela, naomba uniamini nisemayo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nikuamini usemayo!!, ok. Naweza kukuamini lakini uaminifu sasa umepungua si sawa na siku za nyuma”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mbona umgumu kuelewa Angela, niamini nikueleze ukweli wa mambo” Ikawa shughuli pevu kumfanya Angela anisikilize na kunielewa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, nakuamini nieleze”Aliitikia akiwa amebadilika kidogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wazazi wangu hawakujui, wanachojua wewe unaitwa Angela na kabila lako sawa na la mama yangu, hivyo basi nitakutambulisha<span style=""> </span>kabila la mama yako. Nitasema wewe ni Mgogo wa Dodoma, japo si kweli nitakuwa naogopa, najua watakubali kwani hawakufahamu. Wakiniuliza jina lako, nitakutambulisha kwa jina la Kiislamu, Amina” Taratibu nikaona Angela akitoa tabasamu kwa mbali, kisha akanikumbatia machozi yakimbubujika mashavuni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usiniache mpenzi, nakupenda kuliko hata niwapendavyo wazazi wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Naamini hilo, Angela. Kitakachotutenganisha ni mauti wala si mtu ambaye nae ameumbwa kama sisi. Naomba penzi letu ling’ae kama dhahabu, pengine limulike dunia nzima kama jua na mwezi zinavyo angaza duniani” Nilitulia kidogo nikijaribu kumtuliza Angela, kisha nikaendelea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kuanzia leo nitapenda uwe unavaa majuba kama mwanamke wa Kiislamu, nitahakikisha utakuwa ukijifunika uso, kiasi cha kumfanya kila mtu ashindwe kukutambua kirahisi, umenielewa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, lakini Boka mi’sijui chochote juu ya uislam, hata kuvaa vazi lile. Itakuwaje?” Angalau sasa Angela alionekana kufurahia maneno yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hilo halina tabu, nitakutafutia binti wa Kiislam, atakufundisha namna ya kuvaa, hata vipengele baadhi vya dini. Kwa njia hiyo tutafaulu kuoana, sivyo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio” Alijibu akitabasamu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ninachokuomba Angela, usiwajengee chuki wazazi wangu. Wapende kama unavyonipenda, hata kama wanaonyesha kukuchukia, wale ni wazazi. Siku tukifunga ndoa tutakaa nao miezi kama mitano kisha nitakuwa nimemaliza nyumba yangu ya Mbezi ya Kimara tutahamia huko, sawa” nilijaribu kumuelewesha Angela, ndivyo nilivyopanga nyumba zote tuwaachie wazazi wetu. Tuliongea mengi na Angela tukakubaliana kutumia ujanja ambao wazazi wasingeuelewa, ujanja wa kumtambulisha Angela kama binti wa kigogo, aitwaye Amina.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Siku zilikwenda, nikawahakikishia wazazi wangu kutengana na Angela, ambaye hawakutaka hata kumuona sura yake. Kisa kabila lake, dini ambayo haikuchangamana na yangu. Kingine ni maneno ya Angela aliyodai miye ndiye nibadili dini niwe Mkristo. Jambo ambalo niliridhia kutokana na kumpenda sana, kinyume na wazazi wangu waliokataa wakitoa sababu chungu nzima.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Baada ya mwezi mmoja, niliwataarifu wazazi juu ya binti mwingine aitwaye Amina, si kwamba alikuwa kweli Amina ni jina tu, binti huyo ndiye yule yule wasiyemtaka, Angela. Tena niliwapatia sana kwani walikuwa kwenye maongezi ya furaha, walipanga wanitafutie binti waniozeshe, ikiwa miye mtoto wao pekee ambaye nilizaliwa kwa upasuaji. Sikuwa na dada wala kaka, hata ndugu wengine zaidi ya mama na baba yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Shikamoo baba, shikamoo Mama” niliwasalimia baada ya kuingia sebleni, tena nilipita nikiwashika mikono.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Marahaba! Mwanangu” Baba aliitikia, akafuatia mama, “Marahaba mwanangu, vipi umetokea mjini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, tena leo nina habari njema”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Habari gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Habari nzuri sana, nimepata mchumba wa Kiislamu aitwaye Amina. Na kabila lake mgogo wa huko Dodoma” Niliwapasukia bila hata kuwapa nafasi ya swali, nilijua nikisema mchumba wa kiislam, basi wangeniuliza kabila gani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eee! Huyo ndiye tunamtaka, habari za makabila mengine makatili hatutaki, sasa mbona hukuja nae?” mama alionekana mwenye furaha zaidi. Nilipomtizima baba, niligundua nae alifurahia. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimeona niwataarifu kwanza ndipo mkikubali<span style=""> </span>tupange siku ya kumtambulisha”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, ni utaratibu mzuri” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sisi tumekubali kwa moyo mkunjufu, tunamkaribisha mchumba wako awajue wakwe zake” Ilikuwa sauti ya baba iliyojaa furaha tele.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Tulipanga siku ya kumtambulisha iwe jumapili iliyofuata, ambapo ni siku ya mapumziko. Wazazi wangu walikuwa na furaha kubwa, walitamani kusikia siku moja nikiitwa Baba kwani walijua baada ya ndoa ningepata mtoto ambaye angekuwa mridhi wa mali zangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Niliondoka na gari langu kwa kasi ya ajabu, nikielekea nyumabani kwa Angela alikopangisha maeneo ya Magomeni mapipa Jijini Dar, Moyo wangu ulifura kwa furaha iliyotoka kwenye keto za moyo, nikiwa njia katika foleni ya magari, nilihisi kama nachelewa na pengine nisingemkuta Angela nyumbani kwake, nikachukua uamuzi wa<span style=""> </span>kutoa simu mfukoni, nikabofya namba za Angela.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“<i>Hallo, Pretty girl</i>, Boka naongea”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yaah, vipi mambo <i>dear</i>”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Poa, nitakukuta nyumbani sasa hivi?…nipo kwenye taa za magomeni hapa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, njoo utanikuta…vipi wazazi wanasemaje?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nakuja kukupa stori nzima, wala usihofu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, bye” Aliitikia kwa upole na kukata simu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Dakika tano baadaye niliigesha gari langu nje ya nyumba ya kina Angela alikopangisha. Kabla sijafunga gari milango, nilipandisha vioo vya madirisha, kitendo cha kufungua mlango ilinitoke, kuna kitu kikaniambia hebutizama nje, nami sikubisha nilitizama kama nilivyoelezwa, ghafla macho yangu yakagongana na uso murua wa Angela akiwa anatoka nje. Bila kujizuia nilimtolea macho yaliyojaa ubembe, hakika macho yangu yalishawishika kutokana na mavazi yake.<span style=""> </span>Alivaa sketi fupi ambayo iliacha mapaja wazi,<span style=""> </span>nilishuhudia miguu yake minene iliyobeba umbo la figa namba nane, miguu yake nilitamani niikodolee macho hadi ya shibe, Angela aliumbika vema. Kifua chake niliumbwa kikamilifu kwani chuchu zake zenye ukubwa wa pipi machungwa<span style=""> </span>zilijitegemea hazikuhitaji msaada wowote, kidevu chake kilibarikiwa mzunguko wa ncha ya yai. Nyusi zake ungeweze kuhisi zimetindwa kumbe ndivyo zilivyotegenezwa na muumba. Ngozi yake nyororo utadhani ute wa yai. Kwa binti huyo, nilikuwa na kila sababu ya kuwa mpole. Muda wote nilikuwa nikitamani nipate binti mwenye sifa alizonazo Angela. Sasa ulikuwa wakati wangu wa kujivunia kwamba ipo siku nitakuwa kitanda kimoja na Angela, nikiwa mume halali, si amesema atakubali kubadili dini?. Niliwaza akilini. Mwendo wa taratibu kama nguva akataye maji<span style=""> </span>baharini, ndivyo Angela alivyokuwa akinifuata huku mikono yake akiitupa kwa madaha na mikogo ya maringo, naaam! Nilikuwa na kila sababu za kujisifu, endapo ningefanikiwa kufunga ndoa na Angela Shiri. Kitu kilichonifanya nimpende zaidi, hakuwa akijichubua ngozi yake, ajichubue nini na mungu alimtunukia ngozi nyororo na nyeupe kama ya mchina?. Atawezaje kumpenda mwingine wakati nilishamwonyeshea kwamba nampenda, namjali si kwa<span style=""> </span>maneno na vitendo!, nani ataweza kumlaghai kipenzi changu Angela?. Alinivutia na kunichanganya kama zege.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mwanamke ndiye huyu, hakika anafaa kuwa mama wa watoto wangu” Nilizidi kuwaza zaidi huku nikiwa nimemtolea tabasamu pana lililoshiba midomoni mwangu. Nilijiona kidume kweli kweli iwapo niongefanikiwa kufunga pingu za ndoa na Angela binti Shiri. Nilipoona anakaribia, nikashuka na kufunga mlango, nilichokuwa nikisubiri ni busu zito ambalo lingetua sekunde yoyote.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ooowaoo!” Ilikuwa sauti ya Angela kwa kasi ya umeme akanikumbatia huku akinimiminia mabusu moto moto ambayo kwa kiasi flani yalinisisimua na kutibua nyongo ya huba. Tukatizamana kwa karibu mithili ya jicho na miwani. Angela alinitizama kwa ubembe, nilikuwa mrefu kidogo kama futi moja kwake, hivyo ilipendezea kwa jinsi tulilivyokuwa<span style=""> </span>tumekumbatiana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Vipi dear, pole na safari” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante” Niliitikia angali ninashauku ya kumkumbatia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibu ndani, tena nilikuwa kinikuwaza sasa hivi, kumbe ungenipigia simu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mimi sio sasa hivi, dear. Haiwezi kupita hata dakika bila kukuwaza, mara nyingi nawaza kama unafanya nini wakati<span style=""> </span>nikuwazapo, nahisi pengine unateseka sana juu yangu, pia natamani kupata likizo fupi angalau niweze kutumia muda mwingi karibu nawe. Sikudanganyi mpenzi wangu” Nilikuwa wazi kwa kile kinisumbuacho moyoni mwangu.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Tuliingia ndani tukiwa tumeshikana viuno hadi sebleni kwa Angela ambako nilipajaza kila kikorokoro kinachostahili kuwekwa sebleni, kazi yangu ya benki ilinipa mshahara mkubwa. Nilimjazia si Kompyuta, luninga, majokofu, masofa, kabati za vyombo za kisasa, redio ya CD tano na vingine vingi. Nikaketi kwenye sofa la kuketi watu wawili, pia Angela hakusta kuketi karibu nami, tena akakunja nne na kunigeukia akionyesha kila dalili za upendo wa dhati. Sikukawia kumweleza<span style=""> </span>Angela kuhusu kukubalika kwa wazazi, alifurahi sana, “Nashukuru sana, nilikuwa nikiwaza jibu gani ungekuja nalo. Sasa ndoto yetu imetimia, natamani siku ya jumapili ifike. Kwani nitavaa juba na kujisitiri kama mwanamke wa-kiislamu kweli. Naamini kwa kufanya hivyo nitakuwa nimewateka vyakutosha na wataamini miye muislam mwenye kusali sala tano”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio…ndio, lazima wakukubali, tena najisikia furaha kubwa, sijui kama nitaweza kuifananisha siku ya leo na siku zingine zote ambazo nilishawahi kuwa na furaha” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eee! <i>Darling,</i> nakupenda sana na ndoto yangu ni kuwa nawe maishani, sina mwingine wa kutibua akili yangu zaidi yako, Boka” Angela alitokwa na maneno murua yenye majonzi hasa, wakati huo alinikumbatia kwa muda kidogo, mikono yake laini kama ya mtoto mchanga ikitambaa kifuani angali ikitekenya nywele za kifuani. Hasa kucha zake ndizo zilizonifanya nihisi usingizi, kwa jinsi zilivyonikuna na kunibembeleza. Nilijiona kama mfalume, nikajua na kuamini Angela alikuwa na mapenzi ya kweli. Asingeweza kushawishika akanisaliti, nilijivunia moyoni kwamba<span style=""> </span>miye ni miongoni mwa vijana wenye wanawake wazuri kwa sura na tabia. Kila nguo aliyotia mwilini mwake, hakika ilimpendeza iwe ya mtumba, dukani na hata yakuazima,<span style=""> </span>kwake ingemsitiri vema na kumpendeza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usijali wa moyo, tutakuwa wote katika gurudumu la ndoa, miye nikiwa dereva mwenye leseni, nina<span style=""> </span>uwezo wa kuendesha gari masafa marefu usiku na mchana, sitakubali ajali za kizembe zitokee. Nitahakikisha tutafika katika safari yetu kwa usalama na amani, sitokusaliti, dear. Niamini usiku na mchana, hata ukiwa njozini niamini miye wako wa milele, nife unizike, ufe nikuzike” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nakuamini hababi wangu, nakuamini unavyosema huna mwingine, nakuamini utanilinda usiku na mchana, nami naomba uleweze kama wewe ni dereva mwenye leseni <i>Class C,</i> mimi ni gari <i>New Brand</i><span style=""> </span>utaniendesha upendavyo, lakini hakikisha gari lenyewe linapata matengenezo, usiniendeshe ukitaka faida, ukifanya hivyo nitakupeleka bila kukulaza porini, kama<span style=""> </span>mungu atanipa uhai, nitakutunza sana <i>dear </i>wangu, usisikilize maneno ya abiria” Tuliongea mengi juu ya maisha yetu ya baadae, pia tuliahidiana kuoana hata ndoa ya makofi ikibidi, ilimradi kuishai pamoja.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Tulikubaliana siku ya jumapili ningekuja kumchukua Angela kwenda kumtambulisha kwa wazazi wangu, hakuwa na budi kuridhia. Siku ya jumapili ilipotimu, nilikwenda kwa Angela na kumchukua ikiwa kwenda naye nyumbani kwangu ambako niishiko na wazazi wangu, Sinza kwa Remmy. Ningemtambulisha Angela kama tulivyopanga nimwite Amina. Angela alipata mafunzo ya kuvaa mavazi ya kiislamu na jinsi ya kusalimia kiislamu, “Asalaam aleykum” “Waleykum slam” Ndivyo alivyokariri kusalimia na kujibu salamu hizo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Tuliingia nyumbani kwangu niishiko na wazazi wangu, ingawa nyumba zilikuwa mbili, miye nilikuwa nikiishi nyumba yangu, nao yao lakini nilichokuwa nakula na wazazi wangu walikula.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Angela alivaa juba utadhani mwanamke wa kiislamu, kumbe zilikuwa magirini zetu ili wazazi wakubali tufunge ndoa, na mwanamke ambaye niliamini ningemkosa sikuwa na uhakika kama jua la kesho yake ningeliona.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibu sana Amina” Nilisema baada ya kushuka kwenye gari. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante Bakari, nishakaribia” Taratibu Angela alimega hatua ndogo ndogo, akiwa amelishikilia juba lisiburuze chini, usoni alijifunika kisawasawa, aliacha sehemu ya macho na pua tu, mkononi pia alishikilia Tasbihhi.Naaam!,hakuna ambaye angeweza kuhisi binti niliyekuwa naye pale alikuwa Angela binti wa mchungaji, Shiri. Alipendeza kweli kweli, niliamini ingemchukua miaka kumi mpelelezi kugundua kama Angela ndiye aliyekuwa akijiita Amina. Juba lilikuwa la rangi nyeusi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hodi hodi humu ndani” Nilinguruma nikiwa nimetangulia, nyuma akiwa Angela.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibuni!, Karibuni ndani” Mama alitukaribisha, “Asalaam aleykum”Sauti ya heshima ya Angela ilitoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Waaleykum-slam” Mama alimwitikia Angela ambaye alimshika mama mkono akiinama kwa heshima.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Shikamoo, mama”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Marahabaa, karibu mwanetu. Jisikie upo nyumbani”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante, nishakaribia”Angela alimjibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Asalam aleykum” Nami nilimsalimia mama, baba hakuwepo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Waaleykum slam, huyu ndiye mchumba uliyetueleza juzi kwamba anaitwa Amina?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, mama” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Loo! Hongera sana, nakupongeza sana mwanangu kwa kuchagua, si siri hapa umepata. Hawa ndio tuliokuwa tukiwahitaji, mwanamke mwenye heshima anaonekana kwa mavazi na salamu, haina haja ya kumchunguza miaka nenda rudi, karibuni sana”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante, mama. Nishakaribia”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Baba alikuja nae nikamtambulisha kwa mchumba wangu, Angela ambaye tulimbatiza jina la uwongo Amina, wakaamini Amina alikuwa Muislam kweli kumbe zilikuwa mbinu za magirini ilinikamilishe ndoa na Angela, sikuwa na njia nyingine zaidi ya kuwadanganya wazazi wangu. Tulifunga ndoa na Angela, nikawa mume halili naye akawa mke wangu halali, tukafungua ukurasa mpya wa Ndoa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Tulifanya sherehe ya harusi yetu watu walihudhuria hasa wafanya kazi wenzangu wa benki niliyokuwa nikifanyia kazi. Tulialika bendi mbali mbali za muziki na wanamuziki wakizazi kipya, Bongo Fleva. Walituburudisha tukiwa jukwaani, ulifikia muda wa bwana na bibi harusi kupanda mbele kucheza muziki laini, Mc akaachia vitu, tukacheza taratibu huku tukiwa tumekumbatiana vilivyo. Watu walishangilia sana, kwa jinsi tulivyokuwa tunaendana na Angela. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Baada ya miezi miwili, Angela mke wangu alipata kazi ya utangazaji katika redio moja kati ya redio maarufu nchini. Wote tukawa tunafanya kazi, miye Benki nikiwa meneja msaidizi. Jina la Angela, mke wangu likawa gumzo kila kona nchini Tanzania, nani asiyemjua, labda kwa wachache ambao hawakuwa wakisikiliza redio. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Miezi mitatu, Angela alionekana kubadilika tabia, hakuwa akiniheshimu kama mumewe, aliniona kama kijakazi wake wa ndani. Baada ya kutengewa chakula na kijakazi, yeye hakutaka kula meza moja nami, alikuwa ameketi sofani akiwa amekunja nne, taratibu akichezesha mguu wake mmoja, jicho la dharau likiwa limeganda usoni mwangu. Kila nilipomwuliza kuhusu kula alisema alikula huko kazini kwao. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mke wangu, mbona siku hizi umebadilika” Nilimwuliza Angela kwa sauti ya upole<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimebadilika!, nimekuwa wanjano, sivyo?” Swali langu ndilo lililomfanya Angela ainuke, alinikaripia kwa ukali bila woga. Akiwa amenishikia kiuno, midomo yake<span style=""> </span>ameibetua<span style=""> </span>kwa dharau kali. Nilitikisa kichwa kwa kumsikitikia kiasi ambacho alikosa nidhamu, sikutegemea kwamba maneno yale yalitokea kinywani mwake. Sasa nikamtizama kisha nikalamba midomo yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela hivi kweli unaweza kunijibu hivyo miye mumeo!, siamini kama kweli maneno hayo yanatoka midomoni mwako”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kwanini usiamini wakati umesikia yalipotoka?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Itanichukua muda kuamini kwa jinsi ulivyobadilika, lakini elewa sasa hivi hunijali, Angela…” Niliongea moyo ukitukutika ndani kwa ndani, ni miezi miwili haijafika hata mitatu kazini, leo ananibadilikia. Dharau chungu nzima!!.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni juu yako wewe. Sikujali na nini?, unataka nikubebe mgongoni ujue nakupenda na nakujali?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela, nimekukosea nini hadi kunijibu hivyo, niambie basi kama nikujirekebisha nijirekebishe, dear” Nikajaribu kuwa mpole zaidi, huku nikimbembeleza kama angenieleza kosa langu. Pengine nilimuudhi bila kujua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hujanikosea kitu, miye sijisikii kula vyakula vyako vya kila siku. Nyumba haibadilishi lishe kila siku wali kuku..wali kuku. Nimeshachoka na vyakula vyako, bwana”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Lakini Angela utakuwa unanionea bure, pesa ninatoa kwa siku matumizi elfu kumi, na kila kitu nishanunua si mchele, sukari, nyama, kuku wa kufuga na hata unga upo<span style=""> </span>umejaa tele. Wewe ndiye unapaswa kupanga chakula gani leo unampikia mumeo, sijakupangia upike kila siku wali kuku, tena hata leo mbona kumepigwa ugali samaki?. Mwanamke anapaswa ampikie mumewe chakula si kijakazi, hilo hutaki, hata kupanga chakula mesini, Kwako NO!. Naona kama hunipendi….Siamini Angela kama hilo<span style=""> </span>ndilo tatizo” Nilimweleza machozi yakinilenga lenga machoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Boka, hivi unataka kusema Elfu kumi inafaa kubadilisha chakula ndani ya nyumba, wewe unajua elfu kumi ni nyingi sana. Wenzako wanakula vyakula vizuri..wewe kwako ni Kuku… kuku, nani kakuambia kuku ni chakula?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usiangalie familia za wenzako, mke wangu. Hebu angalia na uwezo wetu” Nilizidi kumsihi Angela taratibu ingawa hakutaka kunielewa hata punje.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Vijana wanafanya kazi ya vibarua hapa mjini lakini wanakula vizuri kuliko sisi, hushangai, Boka!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Kadri nilivyo mwuliza ndio alivyozidi kuwa mbogo mjeruhiwa, ikanipasa niwe mvumilivu na nimchunguze nini hasa ninampa jeuri namna hiyo. Angela hakuwa na<span style=""> </span>miezi miwili toka tumefunga ndoa. Nilitafakari nikahisi alibadilika kwa sababu alikuwa na uhakika wa kupata pesa, alishakuwa maarufu katika utangazaji, ingawa fikra zingine zilinifanya nihisi kwamba pengine Angela alishaanza kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine aliyempenda zaidi yangu. Kama si hivyo, nilimfanya kitu gani hasa ambacho kinafanya anichukie kiasi hicho?. Nilizidi kujiuliza maswali mengi bila jibu la kunifaa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Kilio changu ni hii ndoa yangu ambayo haina umri mrefu, lakini imejaa maovu na jakamoyo. Nilitegemea katika ndoa yangu ningeishi maisha ya raha na starehe kwa huyu mke wangu, ingawa sasa imekuwa kinyume na matarajio yangu, naishi kwa mateso kweli kweli, mpaka nimefikia kutoa kilio changu hadharani, nivingumu kuamini na hata kama utaamini basi yawezekana ukakerwa na tabia ya mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Kila nikikumbuka tulipotoka na mke wangu, muda si punde machozi hunitoka. Hakuna sababu ya kunicheka ama kuniona miye mjinga, sikutaka maisha haya bali nimejikuta nikiwa katika wakati mgumu.“Eti kwanini dume-zima linalizwa na mkewe”. Nina kila sababu za kulia, Angela nimetoka naye mbali sana japo sisi wanadamu tuwepesi kusahau tulipotoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Ndoa yangu inayumba kama mlevi huku ikiwaya waya kama machela, sina uhakika kama itaweza kusimama imara, dalili kubwa ni kuvunjika, na isipovunjika pengine nikaendelea kuwa mtumwa wa ndoa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nakumbuka mwanzoni nilitamani sana kuitwa mume wa mtu, nikijiapiza moyoni na hata waziwazi kwa Angela Shiri sitojinasua, kama nitajinasua basi baada ya mauti kunifika. Leo najuta huku nikisononeka kwa mateso ya ndoa yangu. Wakati mwingine siamini kabisa ingawa kuna punje za fikra zenye kuchomoza ubongoni kama mshale wa sekunde. Fikra hizi kidogo hunifanya niamini kinachonisibu kila siku za maisha yangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Pindi mke wangu anifanyiapo madhila, fikra nyingi hunijia zikininong’oneza kwamba mke wangu hana mapenzi ya dhati kwangu na kwa sababu hiyo niachane naye lakini upande mwingine pia hunionya kwamba kuachana na mke wangu si suluhisho la jambo, pengine niendelee kuwa na subira, na nizidi kumwomba mwenyezi mungu atanitatulia matatizo katika familia yangu, kwani hata binadamu wenzangu wamelishindwa. Zaidi ya fikra hizo, ubongo huzidi kunisisitiza kama nitatengana nae, huenda nikawa nakimbilia mateso mengine zaidi ya haya ya mke wangu, Angela.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Naamini sana, mke wangu ananinyanyapaa ndani ya unyumba wetu, Pamoja na kuamini siwezi kutoa maamuzi yenye uzito wa kuweza kupingana na matakwa ya mke wangu.<span style=""> </span>Wengi mtaniita mume bwege lakini si hivyo, naweza kusema mimi ni mume mwenye busara, mvumilivu na pia mwenye upendo wa dhati kwa mke wangu, hata kama yeye haonyeshi dalili yoyote juu ya upendo zaidi ya kunitesa. Kweli dunia sawa na mdomo wa mbuzi, wenye kutafuna huku na kule, Dunia gurudumu lililoisha upepo, tena lenye kuzoa kila chochote likikanyagapo, kiwe kibaya ama kizuri.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Toka nimeoa yapata miaka miwili sasa, lakini nimeona kama miaka arobaini. Nyumbani kwangu napaona kama kituo cha polisi, tena wakati mwingine nahisi ni Jehanamu,<span style=""> </span>ambapo kuna mateso kwa wale waliotenda maovu duniani.<span style=""> </span>Nikisema nimechakaa usinishangae, yaani sura yangu imejaa makunyanzi ya uzee utafikiri miye<span style=""> </span>babu kumbe hata mtoto sina, tena mbaya zaidi umri wangu miaka thelathini. Angela, mke wangu amenifanya mtumwa tena yule mtumwa enzi za ukoloni, sina haki juu ya mwili wa mke wangu, sina matilaba juu ya mwili wangu, tena naweza kukushangaza kazi yangu ya meneja wa benki lakini nifikapo nyumbani unaweza ukanifananisha na kijakazi wa ndani, tena yule ambaye hana baba wala mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Wakati mwingine hujikuta nikiongea peke yangu barabarani kama mwendawazimu, yote ni juu ya madhila ya mke wangu.<span style=""> </span>Nimenusurika kifo mara kadhaa, kutokana na kulemewa na mawazo yanayosababishwa na mke wangu. Nikiwa hata barabarani Kariakoo, Posta na pengineko, hushitushwa na honi za magari kwani hujisahau na kutembea katikati ya barabara. Si kwamba nimeamua kufanya hivyo, bali najikuta kwa lazima ambayo siifahamu, yawezekana<span style=""> </span>nimechanganyikiwa.<span style=""> </span>Nimeshapitishwa vituo kadhaa vya daladala na hata kile kituo nishukapo ili kwenda nyumbani, pale Sinza kwa Remmy. Mara nyingi nikumbukapo maisha ninayoishi na Angela, machozi hunitoka kwa uchungu sana. Ndugu yangu, jamaa na marafiki zangu msiombe kukumbana na mwanamke mbabe, mwenye sheria za kujitungia kama wale wanaume wenye mfumo-dume.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Sitomsahau Angela siku zote za maisha yangu.<span style=""> </span>Mwanzo wa ndoa yetu niliamini na kutegemea kama ningekufa basi ndiye angekuwa mstari wa kwanza na pengine angekuwa wa kwanza kutupia maiti yangu udongo kwa uchungu, lau kama si miye basi angetangulia yeye, ningeufinyanga udongo kwa uchungu huku nikitokwa na machozi kufiwa na mwanamke wa maisha yangu. Lakini sasa, sijui kama nitatokwa na hata chozi<span style=""> </span>iwapo Mungu akichukua roho yake kabla yangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Mateso ya Angela hata kama ndoa itavunjika, kidonda bado kingali rohoni, ijapokuwa namuomba Mungu kila wakati.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mungu nipe amani katika ndoa yangu, nipe uvumilivu, nipe heshima, niepushe na walimwengu wenye kuharibu ndoa yangu, Baba, mungu muumba wa vyote naomba umbadilishe mke wangu fikra mbovu kisha umpe heshima awe mcha-mungu, naamini kwako vyote vinawezekana, wewe ndiye muumba wa vyote na ndiye mwenye uwezo wa kumbadili tabia mke wangu,<span style=""> </span>mungu ukinisaidia nina imani<span style=""> </span>ndoa yangu itanusurika”.<span style=""> </span>Haya yalikuwa maneno yangu kila panapokucha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Najuta sana huku nikiwakumbuka wazazi wangu ambao walikuwa wakinishauri juu ya mwanamke wa kuoa. Nakumbuka vifo vya wazazi wangu zilisababishwa na huyu mke wangu ambaye pia ananitia jakamoyo, sina raha, sina amani ya kiroho na sina uhakika kama ni huyu mke ambaye nilitetea maisha yake toka utotoni, ndiye aliyetoa uhai wa wazazi wangu, nilio wapenda kama ninavyompenda mungu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Kila siku<span style=""> </span>nimekuwa nikipata mateso si chumbani, sebleni wala kazini. Mke wangu, Angela amekuwa akinionyesha hata vile visivyofaa kumwonyesha mwanaume wa Ndoa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Sijui kama familia nyingine ndivyo zinavyoishi ama ni mimi peke yangu. Mke wangu tukiwa chumbani hunitesa kweli. Wakati mwingine naona hakuna upendo wa kweli. Nakumbuka miezi mitatu toka nifunge nae ndoa kanisani, alibadilika si kidogo. Tukiwa chumbani, ananuna na kunitizama kwa dharau isiyo ya kawaida, mbaya zaidi hataki kunipa haki yangu ya unyumba. Mwanzoni nilifikiri anafanya utani lakini nikaja kugungua kwamba haukuwa utani bali ndiyo alivyoamua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela wewe kila siku husema, unaumwa...mara<span style=""> </span>hujisikii vizuri...hutaki kulala na mimi.....wakati mwingine unasema mara ni usiku mno, unasikia usingizi. Mchana unasema kuna joto. Nikuelewe vipi, dear”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Unielewe vipi, bila pesa ya kununua cheni ya dhahabu silali na wewe” Yalikuwa maneno yaliyoniacha mdomo wazi, mke wangu wa ndoa anataka pesa ya cheni ya dhahabu ndipo alale nami. Bila hivyo hakuna mapenzi. Nilisikitika sana huku nikisononeka rohoni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Cheni si-nilikuambia nitakununulia ya gramu themanini<span style=""> </span>kesho?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, sitaki ya gramu themanini, nataka ya gramu mia na ishirini” Alisema bila huruma mwanamke yule ambaye sasa nilimwona muungwana wa sura na macho.<span style=""> </span>Niliamini alifanya makusudi kweli kwa jinsi alivyo vaa, alikuwa akiniumiza moyo wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, nitakununulia, usijali” Nilitii sheria kwa shingo upande, nilijua ni mwanzo wa kuingia katika utumwa wa mapenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sio kuwa utaninunulia, nataka unipe pesa leo leo, nitaenda kwa Sonara kesho....Looo!!, nitajivunia vipi kazi ya mume wangu. Unafanya kazi benki..tena wewe meneja msaidizi..halafu mkeo anavaa vicheni vya gram ishirini, sikubali. Usiponipatia chumbani siendi” Angela mke wangu alicharuka kweli kweli, alikuwa amekaa kitini, akainuka na kwenda sebleni ambako aliketi sofani akinitizama kwa ghadhabu kali. Niliona kwa kumridhisha, nikubaliane na matakwa yake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Unataka kiasi gani cha kununulia cheni yako?”Nilimwuliza kwa upole.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nataka ninunue dhahabu halisi, itakayo nigharimu laki mbili na nusu” Nilimtizama, kisha nikatingisha kichwa kwa uchungu sana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, kwa vile umeamua hivyo. Chukua” Niliingiza mkono mfukoni nikatoa laki tano, nikamuhesabia shilingi laki mbili na nusu, pesa<span style=""> </span>zingine nilizirudisha mfukoni. Alipo maliza kuzihesabu, alinikaribia na kunibusu shavuni, nilihisi kama amenipika kwenzi badala ya busu, hakika lilikuwa busu la utumwa. Siku nisikia furaha hata kidogo, ndio kwanza alizidi kunikasirisha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Umefurahi, twende basi chumbani” Nilimsihi, wakati huo nilitizama saa yangu ya mkononi. Ilikuwa akrabu saa saba na nusu usiku.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Si-hisi<span style=""> </span>usingizi, kabisa.<span style=""> </span>Tangulia nitakuja baadaye”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, dear. Si nimekuambia nataka kuwa karibu nawe?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, lakini miye<span style=""> </span>si-hisi usingizi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela, unatatizo gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sina”Alinijibu akinibetulia midomo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sasa mbona hutaki kwenda kulala nami?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sio kuwa sitaki, sihisi usingizi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, hata kama huhisi usingizi, kwende ukajipumzishe. Nataka kuongea nawe maswala ya maisha yetu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mambo ya maisha yanazungumziwa kitandani!!. Du!!, sebleni ndio mahala pake, Boka”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sikiliza Angela usijifanye mwerefu kwa ujinga, mimi ni mumeo wa ndoa lazima unisikilize na unijali. Lazima umpe mumeo haki yake. Usiku huu hutaki kulala una maana gani?. Naona siku hizi Angela, mke wangu umebadilika si kidogo. Huna mapenzi ya kweli kama awali, siku zingine hulala kwenye sofa. Nikikuuliza unanijibu ‘NIMEAMUA’ Naona umeshanionyesha dalili ya mapungufu ya mapenzi kwangu, ukiwa unatangaza redioni unawachangamkia wasilkilizaji, lakini miye mumeo hutaki hata kuishi kwa raha ndani ya nyumba, niambie umempata nani anayekufanya unione kikaragosi?”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hakuna”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kama hakuna basi twende tukajipumzishe”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">Hakuitikia aliinuka, “Tunaenda lakini.....”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Lakini nini Angela?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Naumwa, tutalala mzungu wa nne, tukubaliane hapa hapa” Sauti hiyo ndiyo iliyonifanya nikune kichwa, kila siku Angela amekuwa akitumia maneno hayo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, unaumwa na nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Tumbo” Tulielekea chumbani, alinisubiri hadi nilipolala kitandani ndipo nae alipopanda kitandani. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Asubuhi palipambazuka angali nipo macho, sikupatwa hata lepe la usingizi. Akili yangu ilijawa na madhila ya mke wangu, moyo ulikuwa ukiniuma sana. Tuliishi kwa maneno, hatukuwa na raha ndani ya nyumba, hata nilipokuwa kazini niliwaza sana<span style=""> </span>maisha ya nyumbani kwangu, nilitamani nibaki pahali ama nitafute hata binti ambaye angeniliwaza shida zangu. Kwani Angela hakuniona kama mumewe zaidi ya kuniona Buzi lake.<span style=""> </span>Asubuhi hiyo, kama kawaida yangu nilioga na kunywa chai niliyotengenezewa na kijakazi, mke wangu angali alikuwa kitandani. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Niliingia chumbani kumuaga mke wangu, hakunijibu lolote zaidi ya kunitizama kwa dharau. Nikakata shauri kuondoka, nikiwa kazini mawazo mengi yalinizonga. Wakati mwingine niliongea mwenyewe, si kwa ridhaa yangu. Nilijikuta nikitokwa na maneno kwa lazima nisiyoifahamu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hivi kwani mke wangu ananitesa namna hii…nimemkosea nini hasa hadi kunipa adhabu hii kali, hanipendi......hafanani kamwe na Angela niliyemsomesha na kumtunza kwa hali na mali. Kama nimemkosea aniambie basi nijirekebishe, mimi kama mwanaume nahitaji kuwa na mtoto niitwe baba, mke wangu hilo halitambui kabisaa!!…kama ni mateso ndiyo haya…lakini yawezekana amepata mwanaume anayempenda…eee!! Ndio ndio…..” Nilizidi kuongea kimoyomoyo hadi niliposhitushwa na mtu aliyebisha hodi ofisini kwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibu..karibu uketi” Nilimkaribisha baada ya kumwona kwamba alikuwa sekretari wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Shikaamoo kaka, Bakari” Nilishituka badala kuitikia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eee! Unasemaje, Nancy”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimekusalimia”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Marahabaa, nikusaidie nini, Nancy?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimetumwa na Mkurugenzi Hans Chopa, anasema una matatizo gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sijakuelewa, ana maana gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Kutokana na yale madeni ya milioni<span style=""> </span>mia mbili ya kampuni ya Ujenzi, hayajalipwa wewe umeandika yamelipwa. Mbona kwenye akiba yao hayajaonekana?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kaaa!!, kwani ndivyo nilivyo andika?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, Bosi. Hebu ona, karatasi zake hizi hapa” Nilizitizama zile karatasi kwa muda kidogo, nikiwa siamini kama mimi ndiye niliyesaini nimepokea milioni mia mbili za kampuni ya Ujenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Umeamini, Bosi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio”Niliitikia kwa sauti ya chini ambayo hata mwenyewe sikuisikia vema. Sauti yangu tosha ilikamilisha sentensi kwamba nilitingwa na mawazo mazito.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Siku hizi umebadilika sana, bosi. Una matatizo gani, wakati mwingine nakusikia ukiongea peke yako, na muda mwingi unakuwa ukisunya ovyoo hata ukiwa mwenyewe. Halafu naomba uniambie Angela ni nani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kwanini unaniuliza hivyo?” Nilitaharuku, sikutegemea kama Sekretari wangu angeniuliza swali kama<span style=""> </span>hilo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wee niambie, nitakuambia kitu” Nilikaa kimya nukta kadhaa, nikamjibu kwa majonzi nikitokwa na machozi taratibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni mke wangu”<span style=""> </span>Sekretari wangu aliniuliza maswali mengi ingawa sikuwa tayari kutoa siri yangu ya unyumba, nilimdanganya kwa maneno mengi ambayo nilihakikisha hayamfanyi akaamini kwamba nilichanganyikiwa kwa ajili ya madhila ya mke wangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Baada ya kutoka kazini, nilirejea nyumbani nikiwa nimechoka akili na mwili. Wakati mwingine nilifikiri dawa ya kupunguza mawazo ni pombe, nikawa nakunywa. Pamoja na kunywa bado nilizogwa na mawazo. Mke wangu hakuwa nyumbani, nilijaribu kumpigia simu, akawa hapokei. Sikuchoka kupiga nikihisi alikuwa mbali na simu, kama mara tano nilirudia. Simu haikupokelewa, mara ya sita alipokea na kusema yupo kwenye kikao ofisini, nikaona nijaribu kuchunguza, si kwamba nilikuwa na wivu, hapana. Matendo yake ndio yaliyonilazimu kufanya upelelezi wa kina. Nilimpigia rafiki yangu Aloyce Tilly, ambaye ndiye alikuwa anaingia<span style=""> </span>baada ya Angela, mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;">“Hallo, my Friend Aloyce.</span></i><span style="font-size: 10pt;"> Habari za kazi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nzuri bwana, Bakari…”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eeee!! Bwana Alocye, nina shida na Angela kidogo maana kuna wageni wangu<span style=""> </span>kutoka Afrika kusini, wanataka kumsalimu, kisha wataondoka leo leo….Angela atakuwa kwenye kipindi ama amemaliza kipindi?” Nilimweleza uwongo wa ujio wa wageni, nikijitahidi kuficha uchungu moyoni. Nilishaanza kuwa na wasiwasi na mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela alimaliza kipindi nusu saa iliyopita, na hana kipindi mpaka kesho asubuhi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ohooo!…ahsante sana, yupo hapo kazini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, aliondoka na ile NISSAN TERRANO yake” Maskini miye Bakari. Moyo ulinipasuka sana, nilijikuta nikitokwa na machozi, mke wangu hakuwa na gari aina hiyo, nilimnunulia RAV 4, Aloyce anasema Nissan Terrano?. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mke wangu hana gari aina hiyo, Aloyce. Nilimnunulia RAV 4 new model”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yaah!, sijui kama umemnunulia gari aina gani, lakini ukweli Angela amekuwa akija na NISSAN TERRANO, siku hizi<span style=""> </span>haji na<span style=""> </span>la RAV 4. Samahani kama nimekukosea rafiki yangu, Bakari”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nisaidie, Aloyce. Mke wangu nampenda sana, nimempigia simu ameniambia yupo kwenye kikao ofisini. Aloyce<span style=""> </span>nifanyeje?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;">“Sorry</span></i><span style="font-size: 10pt;"> Bakari, tutaongea nikimaliza kipindi. Naona mazungumzo marefu hadi nimekuwa nikipiga muziki, bila hata kuongea kidogo, ok, bye” Aloyce alikata simu, nilijua hata hivyo alifanya kwa vile miye ni rafiki yake mkubwa sana, tulisoma nae kuanzia kidato cha tano na sita na baadae<span style=""> </span>Chuo kikuu.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Si utani ndugu msomaji, niliumia sana moyo wangu, nilijuta kwanini mungu alinikutanisha na Angela ambaye aliutesa moyo wangu hadi ilipofika wakati nikawaza<span style=""> </span>kujiondoa duniani, lakini mawazo hayo nilijaribu kuyaondoa akilini yasinijie tena.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hakuna mapenzi ya kweli, Angela ambaye alinitamkia kwa ulimi wake<span style=""> </span>hatoweza kuishi kwa raha endapo sitafunga naye Ndoa lakini sasa Ndoa yangu imekuwa ya Utumwa!!!. Nimemfanyia mengi mema lakini hafanani kamwe na watu wale walioumbwa na mwenyezi mungu” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nilisubiri hadi Aloyce alipomaliza kipindi ndipo nilipomwomba tukutane mahala fulani ambapo pangekuwa tulivu, alikubali. Tulipanga tukutane <i>ZOO BREAZE INN,</i> maeneo ya Kinondoni, niliondoka na gari yangu ndogo, Corolla <i>G –</i> <i>Touring. </i>Kama robo saa kutoka Sinza hadi Kinondoni nilitumia, nikaegesha gari langu na kuelekea ZOO BREAZE INN, niliingia niking’aza macho juu juu bila kumwona Aloyce. Nikafikiri<span style=""> </span>nimpigie simu, nilipompigia alinielekeza kona aliyoketi. Nikaenda ambako nilimkuta akijipongeza kwa<span style=""> </span>Akari aina ya<span style=""> </span>Guiness baridi kabisa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Yes..vipi best” Ilikuwa sauti ya Aloyce Tilly, akinipa mkono wa kuume.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Poa, mambo vipi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Safi, karibu….eee!! muhudumu”Alimwita muhudu aliyekuwa jirani na meza tuliyoketi. Muhudumu akaja,<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Msikilize, <i>brother</i>”Aloyce alisema akiinua glasi ya bia kwa safari ya kinywani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Karibu anko?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Naomba kama ya ndugu yangu hapo” Nilimwonyeshea kidole bia ya Aloyce.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ya baridi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimekuambia kama ulivyomletea, hunielewi?” Nilisema bado angali hasira za mke wangu nikizileta hata sehemu za starehe. Lakini nilipaswa kusamehewa kutokana na akili kunganganyikiwa, niliona kila mwanamke ni mbaya kwangu. Muhudumu aliondoka, nikasogeza kiti changu karibu na Aloyce. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Aloyce kwanza napenda uniwie radhi kwa usumbufu uliojitokeza na utakaojitokeza”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Bila samahani, Bakari. Zungumza, wewe ni kama ndugu yangu..tumesoma wote na tumekuwa marafiki wa siku nyingi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante, nashukuru sana Aloyce… Rafiki yangu ni ndugu yangu....tena wakati mwingine anaweza kunisaidia kuliko ndugu wa kuzaliwa tumbo moja”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio”<span style=""> </span>Nilimweleza Aloyce<span style=""> </span>mwanzo hadi mwisho jinsi tulivyo juana na Angela hadi tukafunga ndoa. Pia nilimfahamisha mambo yote aliyokuwa akinifanyia ndani ya nyumba, niliamua kutoa siri yangu hadharani kusudi Aloyce nae aumie kama yangemwingia akilini. Pia nilihitaji ushauri kutoka kwake. Sikuweza kuvumilia kila nilipoelezea<span style=""> </span>madhila ya Angela machozi yalinitoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Pole sana, Bakari. Naomba unisikilize”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nakusikiliza, Aloyce. Pia<span style=""> </span>nakutegemea katika kunitatulia tatizo langu, sijawahi kumwelezea mtu yeyote kilio changu” Nilitulia na kumsikiliza Aloyce kama mtu asikilizae Usia wa mzazi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Umesema<span style=""> </span>Nissan Terrano si wewe uliyemnunulia mkeo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, sijamnunulia mke wangu” Kulia kwangu kulikuwa kwa uchungu, nilishaamini mke wangu alishapata mwanaume aliyempenda na mwenye nazo. Aidhaa, aliniona sifai kuwa mumewe tena<span style=""> </span>na kunichukulia kama Anzali,<span style=""> </span>pengine mateso yote ilikuwa njia ya kutafuta talaka. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Huna ndugu yako, mnene mwenye kitambi ambaye anafanya kazi serikalini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, nimezaliwa peke yangu. Aloyce...”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usilie rafiki yangu, nitakusaidia. Mimi ni nduguyo.....nataka unyamaze kwanza ndiyo tuweze kuongea”Aloyce alinieleza, nikamsikiliza, nikajikaza kiume na kufuta machozi kwa leso yangu. Nilikuwa sasa nimetulia, machozi hayatoki tena ingawa macho yangu yalikuwa mekundu na mishipa ya usoni ilikuwa imetoka kama mkia wa panya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hivi ni kusema mkeo alikuwa na tabia hiyo, ama baada ya kufunga ndoa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hakuwa na tabia hiyo, baada ya kufunga ndoa na mke wangu, mwenzi mzima tulikuwa kukipendana, alinijali nami nilizidisha mapenzi kwake, sikudanganyi Aloyce...Angela alinipenda sana. Kila nilipokuwa nimechelewa kurudi nyumbani hata nusu saa, alinipigia simu akitaka kujua kulikoni?. Siku zingine alikuwa akija kunichukua na gari lake ambalo nilimnunulia siku ya harusi yetu. Mara kwa mara alimwambia kijakazi wa ndani, asipike chakula, yeye ndiye angenipikia na kuniandalia mezani....pia hakusita kunilisha chakula nami nilimlisha kwa upendo wa dhati, tulikuwa tukienda wote bafuni kuoga lakini ghafla kama uhai na mauti Angela mke wangu alibadilika. Dharau ikaanza kuota akilini kama ukoka. Nilishindwa kuelewa nani aliyembadilisha..lakini nahisi baada ya kumtafutia kazi..ndipo alipoanza dharau”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, dharau hakuipata ofisini, hilo namtetea. Mbona hapa ofisini kuna wake za watu karibu sita na wanajiheshimu?. Itakuwa tabia yake” Nilikaa kimya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eeee!! Kuna mwanaume mmoja anayependa kumleta mara nyingi na gari aina ya Land Cruiser<span style=""> </span>VX, ila baada ya nusu saa gari ambayo ni NISSAN TERRANO huletwa na dereva mmoja na kuipaki nje kisha anampigia simu Angela kwamba ameshaleta gari, siku nyingine Angela hajanalo mwenyewe bila mtu. Mara nyingi nimezoea kutaniana sana na Angela, siku alipokuja nae huyo mwanaume hadi ofisini, nilimwuliza ni shemeji nini?...Alidai ni kaka yake....lakini kaka gani ambaye anaonyesha kila dalili ni mpenzi wako ama baba watoto... alinijibu “Acha ushamba Aloyce, kaka yangu kunipiga busu ni ajabu....wabongo bwana”Aliongea akionekana ukasirika ingawa tumekuwa tukitaniana. Naomba uelewe sina nia ya kuivunja ndoa yako lakini unapaswa ufanye uchunguzi wa kina usiende nyumbani kugombana naye kwa sababu miye nimekuambia mkeo analetwa na gari na jamaa mmoja kibonge...chunguza upate uhakika.....pengine ni shemejio, yaani kaka yake na mkeo....umenielewa bwana Boka?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio” Nilijibu kwa shida huku nikiuma meno kwa ghadhabu kali moyoni. “Kwanini mke wangu amekuwa guberi, ananiona Bozi, huku akinianzali, na zaidi anakuwa Bazazi, anaufanya moyo wangu uwe na Basua?” niliwaza kwa sekunde chache, sikupata jibu. Jibu nililopata lilikuwa kuinua glasi ya bia mezani, kwa kasi ya umeme<span style=""> </span>nikaielekeza kinywani ambapo niliigugumia yote tumboni kisha nikacheua, na kumtizama Aloyce.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kumbe nawe ni kihondi, siyo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, yote ni kwa ajili ya mke wangu Angela anautesa moyo wangu” Nilimweleza kwa uchungu mwingi, nikaimimina bia na kuinywa kwa kugugumia yote bila kubakiza hata povu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Eeee! Kweli Angela amekuchanganya, Boka. Sasa nitajaribu kumchunguza Angela, mwanaume huyo ni nani hasa, je? ni kaka yake ama hawara yake. Usijali Boka, nipo pamoja nawe kuhakikisha mkeo anarudisha upendo kwako....unajua hakuna mtu awezaye kupenda watu wawili, aidhaa mmoja atakuwa anamdanganya na mwingine atakuwa anampenda kutoka moyoni. <i>Don’t worry my Friend, i wili help you”<o:p></o:p></i></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;">“Nitashukuru, ndugu Aloyce”.<span style=""> </span></span></i><span style="font-size: 10pt;">Aloyce alikunywa bia yake taratibu, tukaagana. Nilimwacha Aloyce pale baa kwani aliniambia kuna mchumba wake aliyepeana miadi ya kukutana pale. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ok, usijali Boka, yaone ni matatizo madogo, sawa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, Aloyce” Nilimjibu na kuinuka taratibu nikielekea nilikopaki gari yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></i></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span></span></i><span style="font-size: 10pt;">Nilirudi nyumbani saa moja usiku, nikagonga mlango. Takribani dakika mbili mlango ulifunguliwa, alikuwa kijakazi wetu wa ndani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Shikamoo, Baba”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Marahabaa, mama amerudi kazini?” Nilimwuliza, nikitizama saa yangu ya mkononi.<i><o:p></o:p></i></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Bado”alinijibu na kuelekea jikoni akiendelea na kazi zake. Sikutaka kumhoji yule binti maneno mengi, nilienda kujibweteka<span style=""> </span>sofani, kichwa changu kikiangalia juu, nilifikiri mambo mengi, niliwakumbuka wazazi wangu ambao walikufa wakiwa chumbani kwao. Sikuwa naamini kijakazi aliyenieleza juu ya vifo vya wazazi wangu, “Kweli wazazi wangu wamekufa na yawezekana kweli Angela ndiye aliyewapa sumu. Alifanya kwa makusudi iliaweze kunitesa miye Boka.....”Nilipofikiri hivyo, mara nikakatishwa fikra na binti aliyekuwa akitusaidia kazi za ndani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;">“</span></i><span style="font-size: 10pt;">Baba karibu mezani, ule chakula”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, usijali nimekula” Hata hamu ya kula sikuwa nayo, toka nilipokula mchana na zile bia mbili basi, sikutia kitu kingine tumboni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nikahisi nifungue Jokofu nichukue bia baridi ambayo ingenifanya nipoteze muda hadi Angela atakaporudi. Nilifanya kama nilivyo waza akilini, nichukua Guiness zangu mbili nikaziweka mezani, nikachukua<span style=""> </span>glasi moja na <i>opener </i>. Nilianza kunywa bia ya kwanza, ilikuwa saa tatu na nusu usiku. Nilipomaliza bia ya kwanza, nilifungua ile iliyobaki nikaanza kuinywa, hii nilikuywa taratibu, nikivuta muda. Saa tatu na nusu iligonga, nikiwa bado mlango wazi namsubiri Angela,<span style=""> </span>mke wangu. Pamoja na subira, bado Angela hakuwa amefika. Muda ulisonga mbele, na kufika saa tano na nusu, nikafungua simu yangu ambayo nilikuwa nimeizima. Nikajaribu kumpigia simu Angela, “Hallo, dear. Nakuja, ndio tumetoka kwenye kikao”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, nakusubiri mke wangu” Nilivumilia na kumjibu kwa sauti ya ukarimu kabisa, moyoni nilisikia kama pasi ya moto inauchoma moyo wangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Haikosi alisema akilini mwake, mume ninaye, tena namkalia nitakavyo, naweza kulala hata nje, nikisingizia kazi yangu. Atanibabaisha na nini huyo bweha. Natembea na watu wenye vyeo zaidi yake<span style=""> </span>na wenye hadhi ya kutembea na mimi, sio yeye kikaragosi tu, ama anzali, tena nilifanya kosa kuolewa naye, lakini hakuna tabu ndoa nitaivuruga tu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nusu saa baadaye, nilisikia mngurumo wa gari sambamba na breki kali, gari likasimama nje ya jengo langu. Nikaamua kuinuka kwenda<span style=""> </span>dirishani ambako nilichungulia kuona ni gari gani?. Lilikuwa gari lile lile alilonieleza<span style=""> </span>Aloyce, NISSAN TERRANO. Sikuamini kama kweli macho yangu yalikuwa sawasawa, nilijaribu kuyapikicha iliniweze kuona vema. Moyo ulinipasuka sana, walitulia ndani ya gari kama dakika tatu hivi, sikuweza kuwaona kwasababu vioo vya gari lile<span style=""> </span>vilikuwa <i>na tinted</i>, isiyo ni ruhusu kuona mtu aliye ndani. Sasa<span style=""> </span>nilimwona Angela akishuka harakaharaka, nikaondoka dirishani na kurudi sofani, dakika<span style=""> </span>ama sekunde kadhaa nilisikia<span style=""> </span>mlango ukigongwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibu..” niliinuka na kumfungulia. Nilijifanya kupikicha macho kama vile, ndio kwanza nimetoka usingizini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Vipi dear, za kazi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nzuri”alinijibu bila hofu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Pole, na kazi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ahsante, dear. Kazi zetu za utangazaji ni ngumu sana, mara leo kuna vikao...mara uandae vipindi” Akatulia akinitizama usoni. Nahisi alikuwa akinisoma mawazo yangu, na pengingine alinidharau vya kutosha. Haikosi alisema kimoyomoyo, “Sisi wanawake wasio waaminifu niwajanja sana, tunaweza kuwachezesha waume zetu kama mpira, wanaujanja gani?. Naweza kuwapanga katika makundi mengi bila wao kujijua. Hebu ona sasa hivi nimeletwa na mwanaume ambaye nilishinda nae kutwa nzima, nimemdanganya mume wangu amekubali, kweli mume wangu hafanani kamwe na wanaume wenziye pengine ni Barubaru”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Pole nawe na kazi” Aliinua kichwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nishapoa, dear” Nilimjibu nikijikaza kuyazuia machozi yasinitoke, ukweli wa mambo nilishaujua. “Umeshakula?” Nilimwuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio, labda unipatie <i>wisky</i> ya baridi” Nilimtizama kwa sekunde kadhaa. “Angela unakunywa pombe siku hizi, umeanza lini?” Alishituka na kunigeukia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kwani hujui nakunywa pombe?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sijui..ndio kwanza nakuona leo, mara nyingi tulikuwa tukitoka na ulikuwa ukiniambia hutumii kilevi chochote, imekuwaje leo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimefundishwa na rafiki yangu, Naomi. Nakumbuka siku ya kwanza ilikuwa kwenye sherehe yake ya kuzaliwa, nikajifunza na sasa, nimezoea”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Una muda gani kutoka ujifunze?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mwezi mmoja”Alinijibu bila kupepesa macho.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nice, eee! Angela kwa bahati mbaya jokofu halijawekwa<span style=""> </span><i>Wisky,</i> labda tutoke kwenda kununua kisha tutarudi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana najisikia vipaya, labda ukaniletee” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nitamtuma Ramla akakuletee”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“<i>No</i>, kwanza sihitaji tena” Sikutaka kumweleza Angela chochote juu ya kile nilichohadithiwa na Aloyce, nilijua kwa kufanya hivyo ningeharibu upelelezi wangu, nilishaanza kuamini maneno ya Aloyce baada ya kuona NISSAN TERRANO, Ila sikumwona mtu<span style=""> </span>niliyetaka kumjua. Nilimtizama Angela machoni, hakika macho yake yalikuwa kama ametoka usingizini, yaliivaa sawa sawa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dear,<span style=""> </span>mbona macho mekundu umekuwa fundi wa kuchomea nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, nahisi usingizi, sijazoe kuchelewa kulala” Alinidanganya huku akibonyeza bonyeza namba za simu yake. Nikiwa bado nashangaa, Angela aliipeleka simu sikio la kushoto, mkono wa kuume ukishika shika nywele zake ndefu taratibu. Nilihisi aliposikia simu inaita ndipo alipoamua kuondoka kama anaenda nje, alifungua mlango wa getini akawa anatoka. Nami sikuona tabu kumfuatilia kiujanja ujanja nikibojea taratibu, bila yeye kuniona.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“<i>Hallo, dear</i>....umefika salama nyumbani?.......nimekuwa na wasiwasi kama umefika salama.....Yaaah, usijali nitakuja.......kesho!!, <i>at what time darling.... </i>saa moja ni mapema sana, tufanye saa tatu usiku...ndio..ndio<i>..Ok, nice dearms.. Ok bye .</i>Mmmmwaaa!!” Jasho zito lilikuwa likinitoka, nilitetemeka kama niliyenyeshewa na mvua kubwa kipindi cha baridi kali. Nilimtizama Angela, moyo ukafunga ngumi..akili ilinituma nimpige vibao hata nane ndio nianze kumwuliza mtu waliyekuwa wanawasiliana naye hadi anampachika busu kwenye simu. Lakini nikajikuta kwa lazima nisiyoifahamu, sijui ni kusema nilimwonea huruma, sikufanya hivyo. Nilisimama muda kidogo na kutikisa kichwa kwa uchungu. Nilishajua alikuwa yule yule aliyemleta na Nissan Terrano. “Eee lazima atakuwa mpenziwe, lazima” Niliwaza kichwa kikigonga kuonyesha kiasi gani niliumia moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Angela, ni..ni..nana ni uuunawasiliana naye?” Nilimwuliza mwili mzima ukitetemeka kwa ghadhabu kali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Haikuhusu, <i>Non of your Bussiness”<o:p></o:p></i></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Etiii!!!” Niling’aka nikiwa nimeukunja uso huku nikimfuata.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Rudia maneno yako, sijakuelewa”<i> <o:p></o:p></i></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><i><span style="font-size: 10pt;">“I Sayed, mind your Bussiness</span></i><span style="font-size: 10pt;">”<span style=""> </span>Niliinua mkono ambao uliviringa ngumi, nikamtizama. Nikahisi kama kuna kitu kinanionya, “Bakari usimpige mkeo, sio haki kabisa. Kama amekukosea jaribu kutumia njia nyingine ya kuhuisha uhusiano mwema, ukimpiga<span style=""> </span>unaweza ukamwuua ukapata dhambi na pia ukaozea jela”<span style=""> </span>Nilimtizama kwa dhadhabu kali, mwili mzima ukitetemeka. Zaidi ya dakika tano nilibaki kiniwaza jambo gani ama adhabu gani ningempatia mwanamke huyu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hivi..Angela unadiriki kuniambia maneno hayo....Kumbuka ahadi ulizokuwa ukiniahidi...Angela uliniahidi hutoutesa moyo wangu. Uliniahidi upo radhi nikifa tuzikwe shimo moja nami....”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nani wa hivyo!!!, Nyooo!!” Hapo nilijua Angela alibadilika, alinijibu kwa kejeli akiviringa vidole mfano wa mashangingi yakisutana umbea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wewe, kwani nani mwingine?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mimi Angela nizikwe shimo moja na wewe!!!, umekosea Boka. Hata kama ningekupenda kiasi gani nisingewezi kuzikwa na wewe hata sekunde mbili, labda fulani....”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Labda nani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wewe” Nilijua wazi alichotaka kusema, haikosi alitaka kusema labda yule aliyekuwa anaongea naye kwenye simu muda si punde. Alinijibu kwa dharau, niliumia sana moyoni. Kila siku Angela alikuwa akiniumiza na kuniteneka kidonda<span style=""> </span>angali kibichi. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hebu niambie Angela, umenioa ama nimekuoa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kwani wee unaonaje?”Aliniuliza badala kunijibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimekuuliza swali, napenda unijibu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Umenioa”Alinijibu, akibetua midomo yake utadhani imeteguka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kama kweli nimekuoa, nihaki wewe kama mke wangu unijie nyumbani saa sita kasoro, kazi gani inakufanya unijie nyumbani kwangu usiku. Halafu umebadilika sana, si sawa na mwanzoni mwa mapenzi yetu. Unyumba hutaki kunipa...kila siku visingizio kedekede, kama hunitaki naomba uwe bayani kuliko kuutesa moyo wangu. Hebu tizama mwili wangu unavyokonda kwa ajili yako. Nimekusea nini hadi kunipa adhabu hii kali.....Angela hata nikipiga simu ofisini kwenu sasa hivi watanipa muda ulioondoka kazini, lazima utakuwa ulienda mahali. Huyo uliyekuwa ukiongea naye ni nani?. Niambie nimjue”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ni dereva teksi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dereva teksi, yupi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Huyo aliyenileta”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sawa, dereva teksi ndiye unamwita <i>Dear...Darling</i>?. Halafu mnapeana miadi!!” Angela alinyamaza kama dakika mbili, tatu hivi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Basi, punguza hasira dear” Angela alinifuata akanikumbatia na kunibusu. Nikajikuta nikilainika angali moyo bado ulikuwa ukisononeka. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Naomba unisamehe, <i>dear</i>” Angela alisema, mikono yake ikitalii kifuani mwangu. Nilijikuta nimetulia kama mamba aliyejianika juani muda mfupi toka atoke majini.Niliamua kumsamehe, ikiwa ni njia ya kumfanya ajione mjanja, nilitaka kuchunguza mtu anayemfanya mke wangu anione Bwege.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimeshakusamehe, ile cheni ya dhahabu uliyosema utanunua iko wapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nimeibiwa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Wapi?” Nilimwuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Mjini, niliegesha gari langu maeneo ya Kariakoo kwenye Sonara moja, wakati nashuka garini, vibaka wakanipora pochi yangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Oooo! Pole sana, twende ndani tukajipumzishe” Nilimsihi Angela.Tuliingia chumbani, siku hiyo hakuwa na ubishi wa kwenda ndani kama siku zingine. Kitanda chetu kikubwa kabisa, sita kwa sita kilikuwa kinatusubiri kituhifadfhi hadi asubuhi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>Nilivuta pumzi kwa nguvu na kuziacha zishuke taratibu, nilikuwa mtu wa kwanza kujitupa kitandani. Nilifikiri Angela naye angefanya kama nilivyofanya lakini haikuwa hivyo aliketi kwenye sofa la watu wawili pale chumbani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Karibu kitandani, mke wangu” Nilimsihi kwa sauti ya unyenyekevu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Baadaye, endelea kulala. Naenda bafuni kuoga” Chumbani kwetu kulikuwa na bafu ndani kwa ndani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Basi subiri tuoge wote, mke wangu” Nilimweleza nikiinuka kitandani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hapana, naoga mwenyewe”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Kwanini mke wangu siku hizi hutaki kuoga na mimi, nisubiri tuoge wote”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Sitaki, kama unataka nenda kaoge mwenyewe, miye nitaoga baadaye” Alisema akijifunga taulo. Sikutaka kugombana na mke wangu, ilhali nampenda bado, niliamua kumwacha achague apendavyo. Nilihisi endapo ningemkorofisha uwezekano mkubwa wa kutokwenda kitandani ungekwepo. Nikakata shauri kurudi kitandani. Alioga akarejea chumbani, alijisafisha vema. Kisha akavaa suruali yake ya jinzi ambayo ilimbana vema mwili wake hasa mapaja na kiuno. Kuvaa kwenyewe ulimchukua dakika tano, ndipo alipofanikiwa kuitia mwilini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dear, mbona unavaa jinzi ya kubana, kumbuka nataka kuwa na mtoto. Je nitampata kwa njia hiyo?” Nilimweleza Angela kwa upole, nikijaribu kumtomasa mwili wake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Usinshike, unataka mtoto wakati kunitunza miye mkeo<span style=""> </span>unashindwa!!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hiyo kashifa, mke wangu.<span style=""> </span>Kuna kitu gani Angela ulichoniomba nikashidwa kununulia, kama ni gari nimekununulia, hereni na cheni za dhahabu<span style=""> </span>nimekupatia pesa ya kununulia. Duka la nguo la mamilioni nimekufungulia, akiba benki ya milioni tano nimekufungulia......nini hasa ulichokosa kwangu?. Chakula kizuri unakula, nini nilichoshidwa kukutimizia”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Cheni hujanitimizia maana pesa zote niliporwa na vibaka”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Ndio umenieleza sasa hivi, nikipata hela nitakununulia”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Waona sasa, huna pesa za kunitimizia”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Hela ninazo lakini zina mipangilio mingine” Angela alicharuka kweli kweli alitaka nimpatie hela za cheni. Nikakata shauri kufungua kabati langu nililokuwa nimeweka akiba ya nyumbani. Nilimpatia shilingi laki mbili na nusu kama nilivyompa awali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Twende basi tukajipumzishe, dear” Nilimsihi nikimshika shika mgongoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dear nina shida”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Shida gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Nitajisikia furaha endapo utanipa pesa nikakupa mapenzi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Etttiii!!!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;"><span style=""> </span>“Unashangaa nini?”aliniuliza kwa kejeli.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman; font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt;">“Dear, nashangaa sana. Tena lazima nishangae. Hivi kweli tutafika?... nilikupa pesa ya cheni, umepoteza, nimekupa nyingine halafu unataka pesa ndipo ulale na mimi. Hapana<span style=""> </span>siamini Angela, itanichukua muda kidogo kuamini maneno yako”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: times new roman;"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; color: black;"><span style="font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);">“Hata kama itakuchukua muda lakini elewa kwamba pesa zako ndizo zilizokuwa zimenileta hadi nikaolewa na wewe, sina muda wa kuwa nawe tena” Maskini, nilijionea huruma mwenyewe. Bila kujizuia, machozi mazito yalinitoka. Jambo lililonifanya niumie moyo wangu, nilifanya sherehe kubwa sana siku nilipofunga ndoa, niliutambulisha ulimwengu kwamba nilipata mwanamke msomi na mwenye mapenzi ya kweli, nilitaka niwe mfano kwa kumsomesha mchumba hadi kufunga nae ndoa, ingawa sasa ndoa yangu ilibadilika kuwa chungu kama shubiri. Yale maneno ya wazazi wangu waliokuwa wakinionya yalijidhatiti akilini, nilijuta nikajua majuto ni mjukuu. Wazazi walinikataza nisimuoe Angela, nikatumia njia niliyojua kwamba wangeridhika na kunipa ruksa ya kufunga ndoa na Angela. Sasa kilio changu nimekuwa changu mwenyewe, kumbe wazazi wanaona mbali sana.</span></span></span></p><p class="MsoNormal" style="text-align: justify;"><span style="font-weight: bold; font-family: lucida grande;">Nitaendelea kukupa uhondo huu wiki ijayo</span><br /><span style="font-size: 10pt; font-family: Tahoma; color: black;"><span style="font-weight: bold; color: rgb(0, 0, 102);font-size:100%;" ><span style="font-family: arial;"></span></span><o:p></o:p></span></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com2tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-48716634164009717012008-04-11T01:03:00.000-07:002008-04-11T01:09:36.369-07:00SIMULIZI YA KUSISIMUA...<h1 style="text-align: center; page-break-after: avoid; font-family: verdana;" align="center"><u><span style="font-size: 9pt; color: black;" lang="AF"><o:p><span style="text-decoration: none;"> </span></o:p></span></u></h1> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana;" align="center"><span style="font-size:130%;"><span style="font-size: 9pt; color: black; font-weight: bold;" lang="AF">Ndoa Yangu Inanitesa</span></span><span style="font-size: 9pt; color: black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana;"><span style="font-size: 9pt; color: black;" lang="AF"><o:p> </o:p><br /><span style=""> <span style="color: rgb(102, 51, 255);font-size:100%;" > </span></span><span style="color: rgb(102, 51, 255);font-size:100%;" ><span style="">Nilikuwa nikifanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji wa madini kutoka Tanzania kupeleka Bang kok nchini Thailand. Kampuni yetu ikiwa ya mtu binafsi na ilikuwa Mkoani Arusha. Mimi<span style=""> </span>Sweedy Kachenje ndiye niliyekuwa idara ya usafirishaji, nikiwa afisa mauzo.<o:p></o:p></span></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Katika maisha yangu yote nilitegemea sana na nilihitaji kuwa na mwenzi wa kuishi naye, kama vile familia nyingine bora ambazo kila siku zina furaha na ridhaa. Kwa kila mmoja kuwa mwanandani wa mwenzake. Pia nilimuomba mungu kwa kila hali si kanisani na hata nikiwa katika mapumziko yangu, anipatie mwanamke ambaye angenifaa katika maisha yangu.Kila siku palipokucha,niliamka nikiwa na wazo la kumpata nimpendaye na anipendaye.Niliamini hivyo japo sikuwa na uhakika kama kweli ningepata mtu kama huyo maishani mwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Siku zote nilijibidisha kuwa mfano bora ili niweze kupata mchumba, nilikuwa mtiifu, nikiwa heshimu wenzangu na kushirikiana nao vema kujenga Taifa.Kujaribu kuwa na marafiki wengi wa jinsia tofauti. Nilijitahidi nikihisi pengine wale marafiki wangenifaa kumbahatisha wa ubani wangu. Pamoja na yote hayo<span style=""> </span>sikuweza kubahatika kupata niliyempenda kutoka moyoni, na aliyenipenda. Nilizidi kumuomba Mungu anishushie neema ya kumpata wa ubani wangu. Ikafikia wakati nikaomba ushauri, lakini wale niliowaomba ushauri walionekana kuwa fukara wa mawazo.Walinishauri wakisema kuoa ni kuoa.Eti mwanamke ningemfunza kama angekuwa na tabia mbaya.Nikafikiri mara mia mia ushauri wao nikaona haukuwa na maana zaidi ya upofu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Bw. Kachenje inamaana uwingi wa wanawake ulimwenguni umekosa umpendaye?”Lilikuwa swali nililoulizwa na rafiki yangu.Hatahivyo nilishinda kumjibu na hatimaye nikamdharau.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Inamaana kuchagua mke wa kuishinae ni sawa na kuokota fungu la samaki sokoni ama vipi?”Nilijiuliza bila kujijibu kwa wakati huo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilishindwa kuokota mke ilimradi mke kama vile mtu anavyookota nyanya sokoni na kulipa pesa, nafikiri hata anayeokota nyanya nae huchagua. Japo kuna usemi usemao mchagua nazi hupata koroma usemi huo niliupinga na kuutupilia mbali. Niliamini usemi wa kuoa ni kuoa pengine ningefanya hivyo basi ndoa yangu isinge kuwa na ladha ya unyumba na isingedumu maishani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilijawa na imani kuwa mke mwema hupewa na Mungu, niliishi kwa matumaini ya Mungu na nilitegemea msaada mkubwa kutoka kwake. Wazazi wangu Mungu aliwapa baraka walikuwa hai wakinisubiri nioe wamuone mkwe na wajukuu wao kabla ya kufa.<span style=""> </span>Kwa bahati mbaya sikuweza kupewa upeo wa kuona mchumba mwema ambaye angekuwa mke wangu, japo nilikuwa na kazi nzuri na nafasi yangu kazini ilinifanya nionekane maridadi saa zote.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Watu wengi walioniona walinishangaa sana, kwani sikuwahi kuonekana na mwanamke yoyote niliyeongozana naye katika maisha yangu. Si kwamba nilikuwa na hitilafu yoyote mwilini!. Hapana nilikuwa mwanaume rijali, na sikupenda kujihusisha na ngono,kwani magonjwa yamezagaa kama inzi kwenye mzoga.Licha ya magonjwa, ni dhambi kubwa kuzini nje ya ndoa.Nilitambua kwamba jambo hilo halimfurahishi muumba hata kidogo.Siku zote nilikuwa nikijilaumu,ikafikia wakati nikitaka kuokota mwanamke hata baa, moyo ukasita ukinitaka niwe na subira zaidi.Lakini subira gani huumiza matumbo. Je subira hii itazaa matunda ama nikunizidishia bala uzeeni?.Nikayatupilia mbali mawazo potofu. Nilihitaji kuwa na subira nikihisi pengine ningempata atakaye nipenda na mimi kumpenda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Umri wangu ulisogea kufikia miaka arobaini. Hali ambayo iliwaogopesha sana wazazi wangu, waliokuwa wazee wa kujikongoja. Nilizaliwa mtoto pekee wa kiume na dada zangu watatu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Wazazi wangu walichoka na maneno yangu. “Bado umri wa kuona. Nitaoa Mungu akipenda, mke mwema hupewa na Mungu” Miaka yote huwa nilikuwa najitetea hivyo . <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ulifika wakati baba na mama walitaka kuniachia laana baada ya kuwadanganya zaidi ya miaka kumi toka nipate pesa na kuwajengea nyumba. Walitaka wawaone wajukuu wao kabla ya kufariki, walijua umri walio kuwa nao,wasingeishi miaka mitano ama saba<span style=""> </span>mbeleni wangepoteza maisha. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kwa kuwaridhisha na kukwepa radhi za wazazi niliwaomba wanitafutie Mke. Niliamini mke ambaye ningepewa na wazazi angenifaa maishani. “Baba akimpenda binti, hata mimi sina budi kumpenda” nilijisemea mwenyewe baada ya kuwapa kazi ya kunichagulia msichana<span style=""> </span>mwenye sifa zote zile mwanamke anatakiwa kuwa nazo. Ni miongoni mwa nidhamu kwa mume. Nilikuwa na furaha kidogo, kwani nilijiona niliyejaa Ukungu wa kutopendwa na kutopenda. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kwa ujumla sikujua ilikuwa ni mitihani ya Mungu kwani mimi ni miongoni mwa vijana waliokuwa wakicheka vijana waliochaguliwa wachumba na wazazi wao, hakuna kitendo nilichokichukia kama kuchaguliwa msichana na wazazi. Nilikuwa na imani ya kijana akichaguliwa mke basi hata ndoa ingejaa migogoro isiyoisha na pengine ikavunjika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">**********<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kampuni yetu iliitwa JOPHU MINING TRANSPORT CO LTD, mwenye Kampuni yetu, alijulikana kwa jina la Mzee Jophu Kundy . Ndiye alikuwa Mkurugenzi na mmiliki wa Kampuni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kipindi cha miaka ya sabini kulikuwa hakuna gonjwa la Ukimwi, kama lilikuwepo basi ilikuwa halijajulikana kama sasa. Nilikuwa nikienda Nchi Thailand kila wiki kuuza madini aina ya Tanzanite. Siku zote nilikuwa na urafiki<span style=""> </span>wa karibu na mmiliki wetu Mzee Jophu. Hakuna hata mtu mmoja aliyethubutu<span style=""> </span>kuongea na mzee Jophu aliyeonekana mwenye uso wa ukali saa zote. Haikuwahi kupita siku bila mzee Jophu kuita “Sweedy<span style=""> </span>njoo” nk.Alikuwa kazoea jina langu , pia alinipenda kama mwanae.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Siku moja niliondoka katika uwanja wa Kia (Kilimanjaro International Airport) nikielekea Nchini Thailand, Bang kok.Vaaa yangu toshani kielelezo<span style=""> </span>kwa mtu asiyenifahamu,kusema mimi ni mtu mwenye pesa za kunifanya niitwe tajiri. Nilivaa suti ya kijivu,chini nilivalia viatu vya mchongoko,vijana wa sasa huviita ‘Mkuki moyoni’,mkono wa kushoto nilishikilia ‘breefcase’lililojaa madini ya Tanzanite.Pia nilivalia miwani ya jua,iliyosababisha vigumu kuona macho yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilikuwa nimebeba madini gram 5000gm. Sawa sawa na kilo tano Kg 5. Kilo mbili ilikuwa ni rangi ya blue colour A na kilo tatu (3kg) yalikuwa ni rangi ya mkojo, kwa wale wakazi wa Mererani wanajua vizuri wakiona na rangi ya coke ile maji ya kunywa ilikuwa (gm 50).<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ndege iliacha aridhi ya Tanzania mnamo saa nne unusu asubuhi, ambako ilichanja mawimbi angani saa mbili na sekunde ya kumi iltua uwanja wa kimataifa Bang kok.Nilifanikiwa kushuka salama nikiwa mtu wa tano. Sikuweza kwenda kwenye soko siku hiyo, nilielekea kwenye maegesho ya gari za kukodi amabako nilikodi gari.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Halo.kutoka hapa hadi Care lodge ni kiasi gani cha pesa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dola tano.Karibu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sikuweza kubishana sana kwani niliamini kauli ya ‘nipunguzie bwana’ ni huku kwetu.Alinifungulia mlango wa mbele, nilivuta mguu wangu wa kulia na kuingia ndani mlango wa mbele kulia mwa dereva.Gari hilo lilikuwa ‘Left hand’.Nilienda moja kwa moja kwenye hoteli iliyoitwa CARE LODRGE .Dereva alitumia kama dakika nne kuingia lango la hoteli hiyo.Nilipofika, nilimlipa ujira wake, nikaelekea ofisi za kupokelea wageni(Mapokezi). Sikutaka kwenda kufanya biashara kwa wakati huo. Niliamua kujipumzisha kutokana na uchovu wa safari, jambo la kushangaza nilichokiona mbele ya macho yangu sikuweza<span style=""> </span>kuamini macho yangu kama yalikuwa sawa sawa ama vipi, nilijaribu kupikicha macho pengine ni ule ukungu wa kutokuwahi kupenda. Lakini cha ajabu moyo wangu ulisimama kama sekunde kadhaa, kisha ukaendelea mapigo yake yakawa ya taratibu mno, ambayo sikuweza hata kuyasikia. Nilihisi jasho jepesi likitiririka, kwanza nilijitazama kisha nikamtazama mtu<span style=""> </span>huyo, hata hivyo sikuamini kwamba kwa uzuri wake kamwe ningependwa mtu mweusi tena Mtanzania?.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Niliona mwanadada mmoja aliyekuwa amekaa karibu na muhudumu wa mapokezi katika hoteli hiyo, msichana huyo alikuwa Mzungu si mzungu, muhindi si muhindi, mwarabu si mwarabu hata kwenye weusi hakuwepo. Baada ya dakika tano, nikiwa nimemtumbulia jicho la matamanio, alinisalimia .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kaka habari yako”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nzuri, sijui nyie”nilijibu salamu kwa wote,nikiwa bado sijabandua jicho usoni mwake.Sikushughulika na huyu mwingine,macho yangu tayari yalishapata chakula.Nilimtizama hamu haikuniisha nikatabani abaki pale pale macho yangu ya shibe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mimi mzima”aliitikia msichana huyo na aliyefuata ni wamapokezi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Hata mimi mzima pia” walinisalimia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Sikupenda kukaa na ule mzigo wenye thamani kubwa niliandikisha jina langu na kuchukua chumba namba kumi.Kila nilipotaka kuondoka kuelekea chumba nilicholipia ,nilisita na kubakia mdomo wazi,mwili ulibweteka nikitamani kufahamiana zaidi na mwanadada yule.Niliamua kujilazimiza kuondoka ingawa nafisi ilitukutika,nilipofungua mlango wangu,niligeuka kumtizama yule mlimbwendekama vile nikihakikisha kama atakuwa pale.Nilimuona nae akinitizama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mtoto mtoto,Duu!.Tembea uone mengi”Niliongea akilini nikiwa nafungua mlango,katika kuzungusha funguo mlango ukatii sheria ,ukanipa nafasi ya kuingia.Nilihifadhi Breefcase yangu haraka na kufungua mlango kutoka nje.Nilikuwa nimeshikilia funguo,nikajikuta nikiziachia bila kujijua.Yote ni baada ya kumwona yule binti akiwa ametoka chumba kilichokuwa mkabala na changu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kumbe chumba nilichochukua kilikuwa karibu na chumba cha Binti yule niliyesalimiana nae muda mfupi tangu nifike pale.”Nilijisemea moyoni kiwa nimeacha mdomo wazi ,nikimtizama ,alikuwa kajifunga taulo nyepesi kabisa.Tayari kwa sasa alikuwa kanipa mgongo,kila alipovuta hatua , makalio yake yalitikisikia kama mawimbi ya maji baharini.Miguu yake minene iliyobeba umbile la wastani lilijivuta kwa madaha.Nilijikuta nikimtizama hadi alipoishia. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kwa kweli nilimpenda na niliamini angenifaa kuwa mwezi wangu na pambo la ndani. Hata hivyo niliumia moyoni je kama akinikubali nitafanya nini kama baba na mama watakuwa wamenipatia mchumba wa kumuoa?.Wazo hilo lilinijia na nikaamua kulitupilia mbali. Lakini ngoja nisiumize kichwa sijui nitakubaliwa au laa! Kwani nitese nafsi yangu? Nilizidi kuwaza wakati namalizia kufunga chumba. Pasipo kutegemea mara nambona tena akiwa kashikilia mafuta ya lotion. Safari hii alikuwa anakuja kwa mbele,niliweza kufaidi kuisawiri sura yake vema, ilioonyesha umahiri wa muumba.Tembe yake ungeweza kudhania kachoka vile,lakini hapana ukweli halisi.Ule ndio mwendo wake halisi,ikafikia hatua nikadhani hakanyagi chini, kwa jinsi alivyotembea utafikiri anaionea aridhi huruma. Nikajikuta moyo ukinipasuka “paaa” nikiwa na mshangaa nae alinitolea tabasamu nono! lililoshamiri usoni mwake.Tena likiwa limeambatana na mwanya mzuri.Nilishikwa na butwaa kama dakika kadhaa, nikajikuta ubongo ukifa ganzi. Tulibaki macho pima, hapo nilijua dhahiri kama kunapimana hivi.Nikajitizama na kumtizama kwa mara ya pili. Mapigo y a moyo yakaanza kupungua.Hata hivyo nilishindwa kuvumilia yote niliyoyaona kwa safari hii.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Samahani dada naweza kujua jina lako”alikuwa kesha nikaribia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Yaa!. Jina langu ni Jeniffer John”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa . Ahsante unajina zuri.<span style=""> </span>Naitwa Sweedy Kachenje”<span style=""> </span>nilijitambulisha nikilamba midomo yangu kuua aibu flani iliyochomoza kama mshale wa sekunde na kupotea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tuliongea mengi na Jeniffer nae hakuwa mvivu wa kujibu maswali na chochote nilichomuelezea, niliamini ndoto yangu ilitimia, yule mwanamke niliyempata angeweza kufunika pengo kubwa maishani mwangu. Hata hivyo katika mazungumzo yetu alinitamkia kwa kinywa chake kuwa nae ananipenda sana, kuliko hata mimi ninavyompenda. Ni binti aliyeukonga moyo wangu na kuuteka kila sehemu ya viungo vya mwili wangu, “Kweli subira huvuta heri” niliongea kimya kimya kwenye mtiririko wa mawazo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Jennifer alikuwa ni mchanganyiko wa Mzungu na mwafrika (chotara) na ni msichana aliyetoka Bara la Africa kama mimi, tofauti ni kwamba yeye alitokea Africa ya kusini, na mimi nilitokea Tanzania. Wala hakujali Nchi niliyotoka kuwa ilikuwa ya kimaskini, inamaana alinipenda na umasikini wangu. Tuliongea na kujikuta mawazo yetu yakiwa sawa, kwa kutaka kunionyesha upendo alikubali ombi langu la kutaka anisindikize kuupitisha usiku uliojaa raha za kila aina. Alidiriki kuacha chumba chake na kuja kulala na mimi, nilimgusia suala la ndoa nalo alilikubali alikuwa tayari kubadili uraia kuwa Mtanzania. Lakini kama angekuwa Mtanzania aliyekuwa Afrika ya Kusini umwambie arudi aolewe Tanzania, angeruka hata futi mia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kwa upande wa mapenzi nilikoga na penzi motomoto, hakuwa mvivu wa kujishughulisha, tulisaidiana kupitisha usiku huo mwanana uliojaa mahaba ya kila aina, si mlimani tulipanda vichochoroni tulipita kwa nia imara ya kumridhisha Jeniffer aliyeonekana mgeni kwenye ulimwengu huo. Asubuhi kulipopambazuka nilimuaga Jennifer na kuelekea soko la madini ya Tanzanite, lililoitwa King Life. Kabla ya kuondoka nilimuachia namba ya simu email address yangu kwa mawasiliano. Na niliamua kufanya hivyo ili kuwahi na kuwaeleza wazazi habari mpya, wasihangaike kunitafutia mchumba kwani nilishampata mrembo. Nilifanikiwa kuuza madini yote kwa bei nzuri na kurudi Tanzania.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilipofika kazini, nilikabidhi pesa kwa Tajiri yangu Mzee Jophu tukiwa katika maongezi ya mabadiliko<span style=""> </span>ya kibiashara. Tulisikia mlango ukigongwa kwa nje, bila kujali wala kujua ni nani mtu huyo, Mzee Jophu aliamuru aingie, Aliingia na alikuwa sekretari wa Mzee Jophu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Boss, samahani kuna wageni wa<span style=""> </span>Sweedy wanamuhitaji” sekretari aliongea akijikanyaga kanyaga na kuuma vidole.Alionekana kumuogopa sana bosi wake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa waambie wasubiri kidogo” Mzee Jophu alijibu kwa kifupi na kuendelea na mazungumzo nami.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tuliongea na kumaliza, Mzee Jophu alikuwa wa kwanza kutoka kinyume na mashariti yake, tuliongozana kujua nani alikuwa ananiita. Kwenye viti vya mapokezi ya wageni, nilimuona baba na mama, mama mwingine wa makamo ambaye simfahamu, pembeni ya yule mama nisiye mfahamu nilimuona binti mwingine mrembo. Kwa haraka ubongo ulifanya kazi yake kwa bidii na kukumbuka kuwa niliwapa kazi wazazi wangu kunitafutia mchumba baada ya kuzunguka kila kona ya dunia bila mafanikio. Kumbukumbu hiyo iliutesa moyo wangu kwani nilishapata mchumba mwingine, tena mzuri kuliko yule niliyeletewa na wazazi, japo nae alikuwa mzuri lakini kamwe asingefurukuta kwa Jennifer.Ndivyo nilivyo hisi moyoni na wasiwasi ukawa umejidhatiti akilini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Baba shikamoo, mama shikamoo!, Mama shikamoo!, Dada habari yako! Niliwasalimia wote nikipita kwa mstari huku nikiwashika mikono. Pia mzee Jophu naye alifanya hivyo hivyo nilivyofanya mimi. Lakini cha ajabu aliposhikana mkono na binti yule akabaki amemshika<span style=""> </span>muda mrefu, macho ya upendo yakiwa yanatambaa usoni mwake. Nilishtuka pale yule binti alipovuta kujinasua mikononi mwa Mzee Jophu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baba hakupenda kufanya mambo kwa siri, alizungumza yote mbele ya mzee Jophu mama na yule mama mwingine na binti yule.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwanangu unayemuona pembeni ya mama yako ni mama mkweo na msichana unae muona hapo ni mkeo kazi uliyotutuma tumeikamilisha. Sidhani<span style=""> </span>kuna la ziada zaidi ya kuhitimisha ndoa kanisani” Baba alizungumza<span style=""> </span>na alitegemea kuona furaha, lakini furaha yangu ilifunikwa na uzuri wa Jennifer niliyeonja penzi lake Nchini Thailand.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mbona huongei wala huonyeshi furaha” Baba aliniuliza kwa mshangao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Baba ningeomba tuzungumze faragha kidogo. Kuna mambo mengine hayafai kuzungumza mbele ya mama na watu wengine, nilipoongea hivyo baba alikiri na kujikuta akitikisa kichwa kuafiki yale niliyoyasema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tuliondoka eneo lile na kulizunguka nyuma ya jengo la kazini. “Baba nimekuita mazungumzo ya pembeni nina jipya lililojitokeza” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Jipya lipi zaidi ya hili nililo kuletea? Baba alizidi kunikazia macho ya ukali. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio hilo ni jipya ulilolileta wewe nashukuru. Lakini hata mimi nina jipya nililopata nikiwa Nchini Thailand kikazi”Baba alionekana mwenye furaha iliyotoka moyoni, alihisi pengine nimemletea zawadi, kumbe asijue ni ujumbe wa kumkataa binti walionitafutia. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Umeniletea suti nini mwanangu Sweedy?” Baba aliuliza huku akiwa ametoa tabasamu zito la kupokea zawadi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Hapana baba, ila ninaomba radhi kwa usumbufu.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usumbufu gani?. Sema”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Nimewasumbua kunitafuti mchumba. Baba nikiwa Bangkok Nchini Thailand nimebahatika kupata mchumba ninayetegemea kufunga naye ndoa.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti nini”? usinichezee naona unataka radhi ya wazazi, hatuelewi kila kitu tumemaliza. Mahari tumeshalipa tunachosubiri ni ndoa tu. Halina mjadala” Baba aliongea kwa ukali, mishipa ya shingoni ilimtoka, ghafla macho yake yalibadilika rangi na kuwa mekundu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba uniambie sasa hivi. Unamuoa yule binti au laa! Sitaki uniambie nikupe muda” Baba alizidi kufoka kwa sauti. Sauti<span style=""> </span>yake ilienda mpaka alipokuwa mama na mama wa yule binti na binti. “Baba nisamehe sauti hiyo inasafiri naomba yaishe”Mara anakuja mama akikimbia huku kanga zikimdondoka alikwapua kanga na kufika pale nilipokuwa na baba. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Baba Sweedy kuna nini? Mama aliuliza kwa kudadisi .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwanao anataka kututia aibu.”Baba alisema akinikazia jicho la ghadhabu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aibu gani tena?”Mama akauliza akiwa anamtumbulia macho Baba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwanao hataki tena kuoa.Anasema binti tuliyemtafutia hajampenda.Na ameshapata mchumba huko alikotoka” Baba aliongea kwa sauti ya taratibu iliyojaa uchungu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hakuna pingamizi lazima aoe la sivyo atazunguka hii dunia wakumwoa hatamuona. Hata huyo anayesema amempata pia atamkataa. Kama sisi sio…… nilimkatisha mama aliyekuwa anaongea kama kuniachia radhi. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mama sasa naona mnaniachia laana, basi nitamuoa binti huyo.” Muda mfupi niliona maneno hayo yalirudisha furaha zao. Hawakupenda nichelewe kuoa, mipango ya harusi ilifanyika na tarehe ya harusi ilipangwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Wiki tatu kabla ya kusafiri kwenda nchini Thailand. Nilipokubali wazazi wote walirudi kule tulipowaacha mama wa binti, binti mwenyewe ambaye ndiye mke wangu mtarajiwa na mzee Jophu. Lakini tukiwa katika mazungumzo mimi na wazazi wangu, huku nyuma Mzee Jophu alikuwa akiongea na mama wa binti aliongea kuwa anamuhitaji yule binti amuoe yeye na sio mimi tena mambo hayo yalifanyika haraka na kwa siri, si tu kwa maneno bali Mzee Jophu alimpatia hela nyingi kuliko zile za wazazi wangu walizolipa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mama kamata laki tano hizi ni zako bado nitakuongeza” kwa shida ya mwanamama yule alizipokea na kuziweka kibindoni kwa haraka huku akimuahidi kuvunja ndoa isifungwe, aliniamini angetumia njia yoyote ya kukwamisha ndoa. Ni mambo ya kusikitisha, mzee Jophu pamoja na kuwa baba wa familia ya watoto watatu, bado alihitaji mke wa pembeni aliamini kwa pesa zake nisingeweza kufurukuta “Pesa inazungumza. Pesa ni kila kitu.Haki pasipo haki kwa tajiri ni haki” mzee Jophu alizidi kuzungumza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tuliporudi pale nilishangaa kumuona Mzee Jophu akiwa na hasira alikunja ndita aliponiona tofauti na mwanzoni. Nilijiuliza nina kosa gani, kama ni mazungumzo yetu yalikuwa mazuri nimemfanya nini boss mbona ananitupia jicho la ukali, nilishindwa kujua kilichoendelea kwa wakati huo.Mama mkwe mtarajiwa nae alipindua midomo yake na kuibetua kama iliyoteguka jicho la dharau lilinitizama kuanzia chini ya unyayo hadi juu ya nywele, kisha kabla ya yote nilisikia akisema “Kijana wenu hana hadhi ya kumuoa mwanangu. Kwa jinsi ninavyomuona” nilistaajabu kusikia sauti iliyoambatana na kusonywa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwa nini mama Getu?. Amefanya nini mwanangu?” Mama alimuliza kwa sauti ya chini. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwanao hana nidhamu. Uso wake umetawaliwa na dharau. Hawezi kumuoa mwanngu” aliongea kama kawaida alinitupia macho ya kunitazama kama mtu aliyejinyea japo maneno yake niliona na niliyasikia yakinichoma moyoni mwangu. Nilikabwa na fundo kali la ghadhabu nikaamua kumuheshimu tu, kama si heshima basi ningeropoka neno lolote baya nae limkere moyoni. Mzee Jophu alikuwa kimya pembeni , macho yakipepesa kwa kuibia na furaha<span style=""> </span>iliyojificha ilionekana usoni mwake, lakini sikuweza kugundua kwanini mama yule alibadilika yeye na Mzee Jophu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mama na baba walimuomba radhi awasamehe kuzaa mtoto asiye na nidhamu na anisamehe, walijua pengine hasira ile ni kile kitendo cha mimi kumuambia baba siko tayari kumuoa mwanae kwani nilipata mchumba Thailand. Lakini mama mkwe mtarajiwa msimamo wake ulikuwa pale pale, hakutaka nimuoe mwanae, na alitaka arudishe mahari, kwa kile kitendo cha kusema <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mtoto wenu hana nidhamu” hata alipoulizwa<span style=""> </span>nidhamu gani alishindwa na kubaki akisema. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sitaki nasema basi. Chukueni hela zenu na ng’ombe zenu nne, sikotayari kumuozesha mwanangu” Aliendelea kuwa na msimamo wake. Kwa maneno ya mama yule yalikuwa ni furaha kwangu, kwani ningemkosa basi ningeenda kumuoa Jennifer na kwa upande mwingine yalinikera sana, hasa alipozidi kusema sina hadhi ya kumuoa mwanae. Eti nina dharau, nilishindwa kumuelewa alikuwa na maana gani?.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baba na mama yangu walinivuta pembeni na kuzungumza kama dakika takribani tatu, kisha wakarudi na kuomba waondoke wakayazungumze nyumbani. Waliondoka wote, baba, mama, mama Getruda na Getruda. Hawakutaka kuyazungumza pale kwani ilikuwa sio sehemu yake. Tulibaki mimi na mzee Jophu, lakini sikumuona akiwa na furaha kama nilivyomzoea, hakutaka kuongea na mimi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Boss mbona unaonekana una hasira nini hasa nilichokukosea. Nimeona umebadilika” kimya kilitanda sikupata jibu lolote zaidi ya kunitazama na kuondoka zake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Kesho asubuhi nilipowasili kazini, nilifanya kazi vizuri kama kawaida nikiwa naongea na baba na mama kwenye simu. Mara Boss Mzee Jophu anaingia na wakati huo nilimaliza maongezi na kukata simu, nilipomsalimia hakuitikia salamu yangu, bali alinitupia barua mezani, na kusema “Sina shida na salamu yako. Barua hiyo na unijibu haraka iwezekanavyo.Nakupa nusu saa” aliondoka na kufunga mlango kwa kishindo kikubwa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilishindwa kumuelewa, lakini kwa matendo yake nilihisi na kuamini barua ile ilikuwa ya kufukuzwa kazi, lakini nilishindwa kuelewa kosa hasa lilikuwa lipi?. Homa ya kufukuzwa kazi ikaniingia, nilishindwa kuisoma ile barua, niliinamisha kichwa nikiwaza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Hivi kama nitakuwa nimefukuzwa kazi nitaenda wapi? Nitamuonaje Jennifer tena? Nauli sina ya kwenda Bangkok” Ghafla mawazo yakanijia nilikumbuka kuwa boss alinipa muda wa nusu saa kuijibu barua yake. Ndipo nilipoanza kuifungua barua huku mikono<span style=""> </span>na vidole vyote kwa pamoja vikitetemeka kama mgonjwa wa degedege. Nilifanikiwa kufungua Barua. Kitu cha kwanza kukutana nacho ni maneno yaliyoandikwa kwa herufi kubwa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">YAH: UPIMAJI WA AFYA KWA AFISA MAUZO, JOPHU MINING TRANSPORT CO.LTD.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Moyo wangu ulipasuka kwa furaha “nilihisi ni ridandasi kumbe ni kupima afya hilo halina shida. Ngoja niendelee kusoma” nilijisemea kimoyomoyo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>HUSIKA NA KICHWA CHA HABARI HAPO JUU, TUMEPATA BARUA KUWA WAFANYAKAZI WA KAMPUNI YETU WANAHITAJIKA KUPIMA AFYA ZAO, HASA UKIMWI NA AFISA MAUZO AWE WA KWANZA . BODI ILIPANGA KIKAO CHA SIRI.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>MKURUGENZI WA KAMPUNI<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><span style=""> </span>JOPHU KUNDY.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilimaliza kusoma barua, lakini hata hivyo moyoni nilijiuliza “Kwanini Mzee Jophu na msalimia haniitikii, halafu akanipa barua ya kwenda kupima afya yangu, au anahisi nina virusi nini?. Ama anataka kunitafutia kosa ili anifukuze kazi nini?. Kwanini ananikasirikia, ni kwa vile wazazi wangu wamekuja kuongelea maswala ya kuoa hapa kazini au ni nini?.” Nilizidi kutumbukia kwenye kisima cha mawazo kem kem, bila kupata jibu muafaka. Kwa ujumla nilishindwa kuelewa wazo halisi la Boss kunitaka nikapime afya yangu, na nikiwa mtu wa kwanza kazini kupima virusi na kwa nini alinikasirikia. Muda niliopewa na Mzee Jophu ulitimia, hakupenda kupoteza muda, aliingia ofisini kwangu na kuniuliza,<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sweedy umeisoma barua niliyokupatia?. Naomba majibu. Utaenda kupima au hutakwenda?”<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nitakwenda boss, lakini kwani ni lazima kupima?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio, ni lazima hasa wewe” Mzee Jophu alinijibu kwa uhakika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwa nini mimi iwe lazima, asiwe mfanyakazi mwingine. Boss unanitisha sana hasa unaposema ni lazima mimi, na cha kushangaza boss hutaki kuitikia salamu zangu. Nimekukosea nini, naomba uniambie, ndipo nami nikujibu kuhusu jibu la kupima” Niliongea nikilalamika kidhaifu kwa boss, niliogopa mabadiliko ya boss.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok, usihofu kuhusu kutoitikia salamu yako. Nilijaribu kukutingisha tu unajua Sweedy mimi na wewe dam dam. Pia watu wanatufananisha kama mtu na mdogo wake, wengine wanajua dhahiri kuwa wewe ni mdogo wangu wa toka nitoke. Nilikuwa nakupima imani yako, hivi wewe hushangai toka nikuajiri kazi hatujawahi kukasirikiana iwe sasa? Wewe ndiye ninaye kuamini katika kampuni yangu, hata nikifa leo, wewe ndiye utakaye shikilia mali mpaka watoto wangu watakapokomaa kiakili. Umenielewa Sweedy? Ondoa shaka yale yote ni matani.” Mzee Jophu aliamua kuficha ukweli uliopo moyoni<span style=""> </span>mwake, alinichukia mno! kwa muda mfupi tu toka amuone Getruda, binti mrembo, hakutaka nijue nini kilichotaka kuendelea, alizidi kunifumba kwa maneno ya uwongo na kunifanya nimuamini kuliko siku za nyuma.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilipandisha pumzi na kushusha kwa nguvu “oophhhh!” “Ni kweli boss lakini ilinifanya niwe na alama ya kuuliza ndani ya ubongo wangu, hata hivyo sikuamini kuwa ni wewe ulinibadilikia kiasi hicho. Kuhusu kupima nani kakupa wazo hili?”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Ok, swali zuri, nilipata barua kutoka mamlaka ya Uhamiaji, kwamba si ruhusa mtu kutoka nje ya Nchi bila kupima afya, hivyo wewe kama Afisa mauzo bila kupima hutaenda Nchini Thailand lakini utakapopima utaendelea na kazi yako kama kawaida.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hakuna shida boss mimi nitapima virusi najiamini sina kitu, mimi sio mkware” Nilimjibu. Furaha yangu nikutaka kwenda nchini Thailand nikaonane na Jennifer .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kesho asubuhi watakuja Daktari kukutoa damu. Hutaenda huko hospitalini, cheo chako kinakulinda na sitaki uhangaike. Watakuja na kukupima na wiki ya tatu utaenda Nchini Thailand kama hutakuwa na virusi. Sio sheria yangu hapana ni serikali”Akasema Boss akizunguka zunguka pale ofisini.Alionekana mwenye furahabaada yakukubali kuopimwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nitakuongezea mshaharaasilimia hamsini wa mwanzoni”Alizidi kunipa motisha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nitafurahi Bossi” .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tukiwa kwenye maongezi nilisikia simu ikiita. Nilipoitoa mfukoni niliona namba za baba juu ya kio cha simu. Niliipokea na kuanza kuongea .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shikamoo baba.Mama hajambo?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Marahaba!. Wote wazima wanakusalimu. Jiandae kwa harusi yule mama amekubali umuoe mwanae. Ni baada ya kwenda kwenye mila na desturi, amepewa faini ya kutaka kurudisha mahari. Umenielewa mwanangu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio baba. Kweli amekubali nimuoe mwanae?. Hata siamini nitajitahidi kukusanya mchango wa harusi” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa jitahidi mwanangu” Tulimaliza maongezi na kukata simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilipomtizama Mzee Jophu alinitupia macho ya lawama, lakini hata hivyo nilichukulia usemi wa kupima imani kumbe yeye maneno ya yule mama kukubali nimuoe mwanae yalimuumiza roho sana, na alikiri kumuua mama<span style=""> </span>Getruda kwa kumsaliti na kumchukulia laki zake tano, lakini kwa upande wa mama Getruda hakula wala hakuzitumia hata senti tano yoyote, alipanga kumrudishia baada ya kushindwa kuzuia ndoa isifanyike.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">*************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kesho yake ilikuwa siku ya mimi kupimwa afya ikiwemo na kupimwa virusi vya Ukimwi, sikuwa na wasiwasi nilisubiri waje kunipima kwani nilijiamini sikuwa na virusi, japo nilifanya mapenzi na Jennifer kule Thailand bila kutumia kinga yoyote.Na hata mapenzi niliyofanya yenyewe yalimfurahisha na kumridhisha Jennifer na kukiri mimi ni miongoni mwa wanaume wanaojua mapenzi. Sikupenda Jennifer anidharau kwa upande wa kutomridhisha kimapenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Waliingia Daktari waliovaa magwanda meupe wakiwa na vipimo vyao. Waliongozana moja kwa moja ofisini kwangu, cha ajabu baada ya kusalimiana nao walitaka nivue nguo nibaki na kaptula, jambo hilo nilipinga. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama kunipima damu ninatolewa damu kwenye mkono sio karibu na uume wangu. Nyie ni daktari kweli?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio sisi ni daktari unataka vitambulisho?”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sina shida na vitambulisho vyenu. Nyie chukueni damu mkaipime, mkileta majibu mabaya nitarudia hospitali nyingine niliwaeleza waziwazi bila kuwaficha kitu.”Nikiwa nimeketi kitini,wao walikuwa wamesimama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Haraka haraka daktari mmoja alitoa sindano iliyokuwa na kitu kama maji, sijui ilikuwa sumu au ilikuwa nini!. Maji hiyo ilikuwa ndani ya bomba la sindano. Kama cc 200. Sikuweza kuona nilikuwa nimegeuka kwa upande mwingine ili nisione sindano inavyopenya na kuingia kwenye nyama za mwili wangu. Kwa kifupi nilikuwa muoga wa sindano japo nilikuwa mtu mzima. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Wakati sindano ipo kwenye mshipa wa damu nilisikia kitu kama maji yenye uchungu wa dawa, nilipata maumivu makali nilipogeuka ndipo niliona akigandamiza bomba la sindano kwa haraka ili nisione kitu, lakini niliona kitu kilichoingizwa kwenye mshipa wa damu. Nilishindwa kujua kilikuwa ni kitu cha kuniletea matatizo ama kunijenga ndani ya mwili wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dakitari wewe unanipiga sindano au umekuja kunitoa damu ili upime Virusi vya Ukimwi?. Iweje unipige sindano?”. Nilimuuliza daktari kwa hasira<span style=""> </span>baada ya kusikia ile sindano mwili mzima, nilihisi kizunguzungu mwili ukakosa nguvu. Tofauti na kabla ya kuingiza sindano yao, halafu walikuwa bado hawajatoa damu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usijali Sweedy sijakupiga sindano, nataka kutoa damu” alisema<span style=""> </span>huku akivuta damu kwenye bomba la sindano. Na muda mfupi waliniaga, alionekana nesi mmoja kati ya wale waliokuja kunitoa damu mwenye majonzi. Alinitazama kama mtu aliyenionea huruma sana, machozi yalimlenga lenga lakini hakutaka niyaone aligeuka upande wa pili na kujifuta na kitambaa alichokuwa nacho mkononi. Nahisi alikuwa anajua kila kitu kilichotendeka kwa muda ule na sura yake ilikuwa sio ngeni machoni mwangu, lakini nilishindwa kumkumbuka vizuri. Alijua mipango yangu yote hasa ile ya kufunga pingu za maisha. Alijaribu kuwa wa mwisho kuniaga. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilisikia akiniambia “Pole sana Sweedy, moyo unaniuma Mungu akubariki maishani. Nenda kanywe maziwa mengi yatakusaidia”. Nesi huyo aliondoka taratibu, huku akigeuka nyuma na kunitazama kwa macho ya huruma. Nilishindwa kumjibu, nilibaki nikiyaganga maumivu ya sindano niliyochomwa mara ya kwanza, ambayo sikuweza kuielewa ilikuwa ya nini mwilini mwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Robo saa baada ya wale daktari kuondoka mkono niliopigwa sindano na kutolewa damu nilihisi unakufa ganzi, kila nilipotafakari yale maneno ya yule nesi na kilio chake nilishindwa kumuelewa zaidi ya kujilaumu kwa nini nimekubali kupimwa pengine wamenipiga sindano yenye sumu ambayo itanidhuru. Kwa upande mwingine sikuamini niliona yule nesi alinipenda bure, na Mzee Jophu asingeweza kuwatuma watu wanipige sindano yenye sumu . Nilimuamini sana tajiri yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">****************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Wiki tatu zilitimia na siku ile ya harusi iliwadia. Kila mtu aliisubiri kwa hamu sana siku hiyo hasa wazazi wangu kwani walijisikia furaha kwa mtoto wao wa kiume pekee kufunga pingu za maisha. Nadhani moyoni mwao walijisemea, sasa ule wakati wa kuwaona wajukuu toka kwa mtoto wetu Sweedy umewadia. Mzee Jophu ndiye alikuwa mtu wa kwanza kwa watu walionichangia mchango mkubwa katika kuifanikisha harusi yangu. Sherehe ilipendeza sana, watu walikula na kunywa hadi wakasaza. Namshukuru Mungu sikupata lawama yoyote ya kuhusu sherehe yangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Getruda ambaye ndiye ubavu wangu sasa aligubikwa na furaha isiyo kifani. Sherehe iliyopendeza kwa shamrashamra na vifijo, DJ alitumbuiza kwa muziki wa taratibu wa wapendanao hasa kibao kilichopigwa na mwanamuziki Bob rudala nadhani msomaji unaupatapata ule wimbo vilivyo . Utajisikia vipi ukipigwa siku ya harusi yako? “NIMEKUCHAGUA WEWE” nakumbuka baadhi ya maneno yake, “Nimekuchagua wewe uwe wangu, wangu wa maisha wa kufa na kuzikana”msomaji sitaki nikumalizie uhondo tafuta wako na wewe awe wa maisha ili ujiepushe na mengi hasa janga la Ukimwi. MC au Msema chochote watu wa mjini wanavyoita alikuwa anaitwa MR.Kicheche ni kicheche kweli si mchezo ukumbi haukuruhusiwa kukaa kimya siku hiyo watu wote walikuwa wakicheka na kutabasamu kwa wale wasio na bandama. Kwa ufupi sherehe ilipendaza mno, hatukuwa matajiri lakini watu wailiridhika na kila idara ya sherehe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Sherehe ilipoisha, tulichukuliwa na gari maalumu siku hiyo kwa bwana na bibi harusi na tukaelekea kwenye hotel moja iliyoitwa NGORONGORO HOTEL kujipumzisha. Tulipofika tulikwisha andaliwa kila kitu, chumba kilinukia harufu nzuri za manukato, choo na bafu ndani kwa ndani ilipendeza kwa kweli. Washenga waliondoka tukabaki mimi na mke wangu Getruda Kimario.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilikuwa na shauku kubwa ya kukabiliana na binti ambaye alikuwa kigoli, ambaye hakuwahi kuguswa, nilitamani kupata ukweli wa maneno ya baba aliyenieleza kuwa mke niliyeoa alikuwa bikira, na mimi nilitamani kumtoa mwenyewe yaani kama ni gari lilikuwa jipya ‘New model’ na sio mtumba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tuliongozana bibi mbele bwana nyuma, wote tukiwa tumefunga taulo tuliingia bafuni na kuanza kuoga. Kweli uzuri wa mke wangu niliufananisha na lulu au tunda Apple. Alikuwa na umbo dogo lenye figa, ambalo lilinifanya nimtamani zaidi na zaidi. Si kifuani, usoni na umbo lote lilinivutia sana. Nilimuogesha nae aliniogesha, tulipomaliza tulijifuta na taulo na kuelekea chumbani. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tulijitupa kitandani, “Samahani mpenzi nikumbatie, nahisi baridi…nahitaji…..”<span style=""> </span>Ilikuwa sauti ya Getruda iliyojaa mahaba na iliyonisisimua mwili na kuhisi joto . <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usihofu kila kitu kitakuwa shwari, nitakupa kila kitu unachokitaka” nilimjibu kwa sauti nzito iliyomuingiza kwenye ulimwengu wa mahaba. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Lakini mpenzi unajua nakupenda sana” Getruda aliongea macho ya udadisi yakiwa yametuwa usoni mwangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naamini unanipenda mke wangu ndio maana ukaamua tuoane, lakini nahisi mimi ndiye nimezimika kwako zaidi” nilimweleza na hapo hapo tulikumbatiana na mabusu motomoto yalishamiri, si mashavuni, mdomoni na kwenye paji la uso kote tulipeana mabusu ya upendo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Niliyasikia mapigo ya moyo wake yakienda kwa kasi jasho jepesi lilimchuruzika taratibu nilishindwa kuelewa kwani AC au ‘kipupwe’Kiyoyozi kwa jina letu la kiswahili kilikuwa kinafanya kazi yake kama kawaida. Kila nilipomshika kwenye kona za mapenzi nilimsikia akizizima kwa sauti za mahaba, si kwikwi wala kuweweseka zote zilimburudisha. Niliamua kutulia kidogo baada ya kuona mambo yote nilikuwa namfanyia uume wangu hausisimka hata kidogo, tofauti na siku za nyuma busu moja kila kitu kimesisimka, leo mambo yote sikuona hata dalili.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oooh.!!! Sweedy unajua mimi sijawahi kuguswa kabisa!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti!, samahani sijakuelewa mke wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“ Sijawahi kufanya mapenzi toka kuzaliwa. Naomba unifundishe” sauti nyororo na ya simanzi ya Getruda ilinifanya nilie mwenyewe, sikuwa na nguvu za kiume, bali nilitamana kumkabili mke wangu nilishindwa kujua Ugonjwa wa kupooza kwa uume wangu ulitoka wapi na nitamuambia nini mke wangu, na je atanielewa na wakati nishamchezea<span style=""> </span>kila sehemu, nilizidi kulia sikuwa na la kufanya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Unalia nini tena mume wangu?” Getruda aliniuliza akiwa kalala chali, kama mgonjwa aliye mahututi . Mweupe mwili wake ulipendeza na kuzidi kung’ara kila nilipomtazama usiku ule, kwa ufupi alikamilika kila idara,nilitamani nimrukie lakini jogoo wangu hakutaka kuwika kabisa. Nilidanganya “Mke wangu nimeshikwa na kichomi cha tumbo sijui ni hiyo AC “kipupwe” niliongea kidhaifu nikiwa nimeshika tumbo, machozi yakiendelea kuchuruzika taratibu, niliamini kwa maneno ya kusema “Naumwa” Getruda angeridhika na kunionea huruma, aliniangalia kwa huruma na kusema <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi mume wangu tuzime usije ukapata matatizo zaidi”. Nikaona duh! Acha nizidi kujitetea “Labda upunguze kidogo”Nilisema<span style=""> </span>nikiwa nimekunja sura na kushika maeneo ya tumbo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Pole mpenzi” mke wangu alisema kwa sauti ya utulivu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usiku huu tutapata wapi dawa?. Jikaze usilie”Mke wangu alinionea huruma.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usijali mama watoto.Huwa natokewa na tatizo la kichomi ninapofikia hatua ya kufanya tendo la ndoa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwa hiyo utafanya je?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Daktari<span style=""> </span>aliniambia tatizo hili litaisha baada ya kuzoea mwanamke”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwanamke gani, mbona sikuelewi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wewe, Usijali tatizo hili litaisha”Nilizidi kumpa motisha mke wangu.Lakini moyoni bado wasiwasi ulitanda kuhusu jambo hili geni kabisa mwilini mwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Maneno hayo ndio yaliyomfanya Getruda, mke wangu ainamishe kichwa magotini mwangu kama mtu aliyekuwa akisujudu. Sikujua aliwaza nini akilini mwake, lakini nikahisi yote yalikuwa juu ya matatizo niliyonayo.Muda wa dakika takribani tano nilihisi kitu kama maji maji angali yenye uvuguvu yakidondoka gotini kwa tone moja na moja.Matone hayo nilihisi ni machozi ,nikaamua<span style=""> </span>kuinua uso wake kutizama kwamba ni nini hasa.Kila nilipojaribu kumuinua alikaza shingo.Wazo ambalo nilihisi kwamba alikuwa akilia likajidhatiti akilini na kuhisi sikukosea.Pia nilijaribu kwa mara nyingine kumuinua uso wake, safari hii akanisemesha akionekana kukasirika. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu umeamua kunitesa angali unajua unamatatizo. Kwanini usingenieleza kabla, umenitesa naunaendelea kunitesa. Utafanya nini ilikunisaidia, najisikia vibaya sana mwenzio” aliongea kwa sauti ya chini akiwa anadondosha machozi, mwili wake ulikuwa umelegea, macho mekundu na ya kurembua, hakuweza kuvumilia zaidi ya kulia kwa kwikwi, alitamani niondoe hali ya ubikira na kumpeleka kwenye utu uzima. Maneno ya Getruda yaliniumiza moyo wangu, nilimuonea huruma alivyokuwa akijigaragaza kitandani. Machozi yalichuruzika kwa kasi nilizidi kuwaza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Au ni kwa vile ndio mara ya kwanza kukutana naye nini?. Lakini hapana sijapaniki” labda ni uzuri wake unanichanganya nini? . Au ni chango la tumbo limesababisha nini?.Sasa tatizo hili litaniumbua” Nilijiuliza bila kupata muafaka wala sikuweza kuhisi kitu chochote zaidi ya ugonjwa wa kawaida. Tuliupitisha usiku huo usio na ladha ya mapenzi, si mimi wala Getruda wote tulihuzunika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kwa ujumla maisha ya ndoa niliyaona machungu kama shubiri na pengine machungu kama mitishamba. Nilishindwa kuelewa ugonjwa huo ulitokea wapi na umesababishwa na nini? Nyumbani kwangu nilipaona kama jehanamu, sikuona raha kuwa nyumbani kwani mke wangu alikuwa ananilalamikia kila siku , kila dakika kuhusu ndoa yetu. Tofauti na ndoa nyingine zikiwa changa, watu huwa wanatamani wapate hata likizo ya miezi kadhaa ili wawe pamoja na wandani wao, hapo nasemea kwa wale wafanyakazi kama mimi.Mimi Sweedy<span style=""> </span>kama mtu mwenye uwezo wa kutunga uongo basi nilijitahidi kumridhisha kwa maneno matamu niliyoamini yangemfariji. Uwongo una mwisho wake kumbuka hapo. Lakini hata hivyo ni mtu gani<span style=""> </span>atasikiliza uwongo kila siku. “Kuumwa kuumwa ni kuumwa gani hukokusikoisha?”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilikuwa natoka kazini saa kumi jioni, lakini cha ajabu nilikuwa nikitafuta sehemu ya kupoteza muda ili mradi nirudi nyumbani usiku. Nikiamini mke wangu atakuwa amelala. Siku zote nilitumia njia hiyo, hata kunywa pombe nikajifunza ilimradi nikwepe kugungulika udhaifu wangu.Si mitishamba wala hospitali za kawaida kote nilienda bado ikawa si kitu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Siku moja mke wangu aliamua kuelekea kazini kuuliza kuhusu ratiba ya kazi zangu. Alimkuta Mzee Jophu mwenyewe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shikamoo baba” Mke wangu akamsalimu pale alipofungua mlango wa Mzee Jophu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Marahabaa mchumba mzuri”Mzee Jophu akaitikia salamu kamavile anamuona mke wangu mtoto mdogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Hata hivo Getruda ,mke wangu hakujali aliona ni utani tu kwani anajua dhahiri ni shemeji yake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shemeji nimekuja ninashida”Getruda akasema na kusubiri kitu ambacho angeelezwa. Mzee Jophu alionekana kutingwa na shughuli nyingi pale ofisini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Aliinua kichwa chake na kumtizama Getruda kwa macho ya huba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shida gani shemeji?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wala usishituke ni shida ndogo tu”Getruda akasema akiweka pete yake ya ndoa vema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shemu sema kama ni pesa. Nikupatia au nimambo ya familia unataka kunieleza?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio, ulijua je?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Najua maana nyie wanawake mmeumbwa na aibu sana. Jambo dogo unaweza ukaogopa kumueleza mwanaume”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nijambo dogo kwa kulitizama lakini kwa undani nijambo kubwa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa ulitaka tukalizungumzie faragha kidogo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana shem. Naomba nikueleze hapa hapa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa nimekuruhusu. Lakini nilipendelea tutoke tukazungumze nje ya ofisi kwani mambo ambayo haya husiani na ofisi tunayazungumzia nje ya ofisi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba nizungumzie hapa , ni kwamba sitatumia hata dakika tatu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok, sema”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba unieleze, mume wangu anatoka kazini saa ngapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wewe kwani kakuambia anatoka saa ngapi?”Mzee Jophu hakujibu swali kama alivyoulizwa bali nae aliligeuza swali upande wa Mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Anasema saa tano usiku”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi inawezekana, kwani mama unaweza kuniambia, maana ya kazi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mzee Jophu alimuuliza swali kwa mtego wa kasa<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kazi kama ninavyoifahamu ni kitu au ni shuhuli inayoniletea kipato,”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ahaa kumbe unajua, mama nenda nitakuambia, maana yake siku nyingine ukiwa na muda.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Lakini bado hujanijibu mume wangu hutoka saa ngapi kazi kwako?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Saa kumi jioni?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kaaa!. Saa kumi jioni halafu hufika nyumbani saa sita usiku?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Inamaana Sweedy hurudi nyumbani usiku?”Mzee Jophu alimtolea Getruda macho ya mshangao, huku akishika kiuno kana kwamba haamini maneno ya Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio shemeji”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Siamini kabisa. Siku zingine huwa na mruhusu saa tisa na siku za jumamosi anatoka saa sita mchana”Mzee Jophu alizidi kuongezea chumvi.Nia yake ni kuvunja ndoa yangu ili afaidi yeye.Alipania kuvuruga ndoa yangu.Siku jua hata nguvu zangu ya kiume zilipoisha ni kwasababu yake.Yeye ndiye alituma watu ambao walivaa kama Daktari kuja kunipiga sindano ya kuua nguvu ya kiume.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shemeji inamaana maneno yako niyakweli kabisa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shem nikudanganye iliiweje?.Sitaki kukuvunjia ndoa yako lakini ukweli mumeo hakupendi. Anasema sana kila siku hapa kazini kwamba mpaka sasa hajawahi kufanya tendo la ndoa na wewe.Eti mke gani wa kutafutiwa na wazazi.Anampango wa kukufanya kijakazi pale nyumbani kwake….”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti nini?.Shemeji naweza kuyaamini maneno yako kwani ni miezi miwili sasa hajanigusa kabisa. Kila siku anasingizia kuchoka na kuumwa.Raha ya ndoa iko wapi shem?.Naomba unipe ushauri nimechoka kuvumilia na mateso haya”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usichoke shemeji vumilia tabia itabadilika. Yule bwana anapenda watoto wa shule sana na mshahara wake mwingi huishia huko.Juzi tu kashikwa ugoni na mtoto wa shulwe ambapo alitolea faini laki saba, huwezi kuamini lakini ndivyo ilivyotokea. Mumeo ni mkware kweli…Naomab ausije ukamueleza maneno haya naomba ufanye siri, nitakueleza mengi siwezi kuvumilia ukateseka bure binti wa watu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ahsante sana. Leo atanikoma<span style=""> </span>nyumbani”Getruda aliondoka akiwa na mawazo chungu zima.Machozi yalimlenga lenga machoni.Moyo uliuuma sana. Waliagana na Getruda, lakini moyoni Mzee Jophu alibaki na sononeko la upendo kwa mke wangu, Na aliamini kumpata, kwa jinsi alivyo nitumia Daktari wanipige sindano ya kuuwa nguvu za kiume, aliamini njia hiyo aliyotumia ya kuuwa nguvu za uume,wangu ungeshindika kumpata Mke wangu basi angeniuwa kabisa<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Yaani Sweedy ndivyo alivyo?.Nimemtunzia boma langu iliawe wa kwanza kulibomoa lakini hataki, anapambana na watoto wa shule?.Haipiti hata siku moja haachi kusema naumwa sijui kichomi mara nimechoka kumbe anachoshwa na hao makahaba wa shule?”Getruda alizidi kuwaza njia nzima .Hakuwa anaelewa sehemu alipokuwa alisha pita nyumba yetu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ilikuwa siku ya juma mosi siku hii aliyotokea kazini,hakuweza kuzungumza chochote na mimi.Alionekana mwenye ghadhabu kali . Hakutaka hata kunikaribia, alikwenda kujipumzisha kitandani.Macho yake fika yalinijulisha kwamba alikasirika sana. Nami niliogopa kumuuliza kwani nilijua lazima alichukia kutokana na matatizo yangu.Sikuwa nalingine kichwani.Wakati wa kulala ulipofika ,nilitoka sebleni ambako nilikuwa nikitizama mkanda wa dini, na kuelekea chumbani.Nilijawa na wasiwasi kwamba usiku huo kungekuwa na kitimtim kikali, dalili niliiona toka mapema kabisa.Sikuwa na amani na maisha yangu, hofu kubwa ilikuwa kwa mke wangu ambaye hakuwa na raha kila aliponiona.Sasa hasira yake ikawa kubwa pale alipopewa maneno ya uchochezi na tajiri yangu.Nilitembea kwa kunyata ilitu asisikie kwamba naelekea kitandani.Kwa sasa nikajongea na kukifikia kitanda.Nilipandisha mguu wa kushoto kwa hadhari sana asishituke. Pia nilihakikisha kitanda hakichezi, jambo hilo nililifanya kwa makini zaidi.Wakati huu napandisha mguu macho yangu yalitizama usoni kwamba mke wangu angeshituka ama vipi. Nilifanikiwa kupandisha mguu wa kwanza, sasa nikajaribu wa pili kuupandisha kitandani. Laiti ningekuwa na uwezo ningejitafutia kitanda changu.Ukweli ndoa yangu niliiona chungu na iliyojaa mateso makubwa sana. Nilikuwa mtu wa wasiwasi tupu.Kitu kingine, nilijiona nisiye na dhamani duniani, nilitamani nife kuliko kuishi kwa shida lakini wasiwasi wangu ukawa huko ahera nikukimbiliako je? Ni kwema aba ndio nitakimbilia mateso mengine?.Nilizidi kuzama kwenye dimbi la mawazo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nikafanikiwa kupanda kitandani bila mkewangu kushituka,nilihisi angeshituka angetaka tendo la ndoa wakati huo huo.Sikutaka kulala zaidi ya kulala macho wazi, nilijua nikishikwa na usingizi ningeweza kukoroma ambapo mke wangu angeamka, kwani nilijijua toka niliwa shuleni kwamba nimkoromaji mkubwa hata mtu nyumba ya jirani angesikia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Sikulala kabisa, nilihakikisha simgusi hata kwa shuka ambapo angeamka na kunisumbua.Saa kumi na robo nilisikia jooo za jirani zikiwika nikajua kwamba kunakaribia kupambazuka. Nikiwa kitandani nilishuhudia miale ya mwanga ikiingia kupitia dirishani.Nikajua tayari palisha kucha.Mpaka wakati huo mke wangu hajazugumza kitu chochote na mimi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ilikuwa siku ya Jumapili,siku ya mapumziko,nilikuwa nyumbani na Mke wangu lakini maongezi yetu yalikuwa juu ya unyumba wetu,si kuhusu maendeleo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hivi mume wangu umenioa ili niwe pambo lako au kama TV unitizame tu au laa!.Naomba unieleze nimevumilia vya kutosha”Getruda alisema kwa hasira baada ya kunitengea chai mezani. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilishindwa hata kuokota kikombe nikabaki nimeduwaa. Nikanyamaza kimya, nilishindwa niongee uwongo gani,kwani kila siku nilikuwa muongo wa kupindukia,mara naumwa, mara nimechoka kazini, mara sijisikii,zote hizo zilikuwa njia za kukwepa aibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sema”Mke wangu alifoka kwa kunihimiza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani baada ya ndoa ni haki kunitendea hivi?Kila siku hupandi kitandani mpaka mimi nishikwe na usingizi………”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilinyamaza kwa muda dakika tatu, kichwa nikiwa nimekiinamisha kama kondoo, kisha nikameza mate na kulamba mdomo, kila nilipotaka kuongea nilijikuta machozi yakitiririka kwa kasi,nilihisi labda nililogwa na walimwengu,kweli imani ya kishirikina ilitawala ndani ya ubongo.Niliamua kujikaza na kuanza kuongoa uwongo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu shughuli zangu nzito sana, halafu ni za usiku mno!huwa nachoka nashindwa kufanya tendo la ndoa na wewe”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti nini? kwa hiyo kuna wengine unaofanya nao?. Si ndio, hao machangu wa shule ndio wanakusababishia unione kama mboga zilizochacha eee!.Eti nashindwa kufanya tendo la ndoa na wewe”.Mke wangu aliongea kwa kufoka huku akibana sauti na pua akiniigiza nilivyo sema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana mke wangu” nilimjibu kwa sauti ya kidhaifu iliojaa uwoga na simanzi. Nilikuwa niiingia baa na kunywa, niliporejea nyumbani uliku usiku wa manane nikiwa chakari. Mke wangu hakuweza kugundua mapema, hata mimi mwenyewe sikujua ugonjwa huu niliupata wapi.<o:p></o:p></span></span></p> <h4 style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu”<o:p></o:p></span></span></h4> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naam mke wangu”Nilimwitikia nikiwa nimeangalia chini,kwa mbali mapigo ya moyo yalinidunda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti unasubutu kuniitikia.Wewe mwanaume kweli?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Sikutegemea maneno hayo.Nikahisi mwili kufa ganzi.Nilijiona ninaye dhalilisha hapa ulimwenguni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Unafurahia nikuite mume wangu,sivyo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio”Nikaitikia kwa sauti ambayo hata mimi mwenyewe sikuisikia vizuri.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nikanyamaza,nilijikuta machozi yakinitoka.Kwa kweli moyo uliniuma lakini sikuwa na lakufanya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa unataka nikuite mume wangu wakati huwezi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Getruda siwezi nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani umenioa ilinikupikie tu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana”Nilijibu kwa hofu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa unategemea mimi nitaishi vipi?”Safari hii Getruda alishika kiuno.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu vuta subira,nitapona”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani unaumwa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio, sin’shakuambia naumwa?”Nilikuwa na kila sababu ya kumnyenyekea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hivi Sweedy unataka kunifanya mtoto.Kwa taarifa yako nimeshajua siri zako.Juzi umeshikwa ugoni na mwanafunzi ukatozwa laki saba.Na nimepata tetesi kwamba unapenda hawa wa kusoma”Getruda alinishikia kibwebwe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Huu ni uzushi wa watu wasipenda niwe nawe.Naomba usisikilize maneno ya wafitini”<o:p></o:p></span></span></p> <h4 style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sio wafitini.Niwatu wanaokujua kwa ukaribu tabia yako”<o:p></o:p></span></span></h4> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Zogo lilikuwa kubwa ambalo lilichukua masaa sita.Baada ya hapo mke wangu akaondoka kwenda mjini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Hakuwa na safari bali aliamua kwenda mjini kununua gazeti la Mwanasport, lililoandikwa mwongozo wa kumridhisha mwenzi kiunyumba, na kuliweka kwenye meza makusudi ilinilione. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haya nakuuliza umesoma gazeti nililokuwekea kwenye meza?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Gazeti lipi mke wangu?” nilimuuliza kwa sauti ya chini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hili hapa” mke wangu alinionyesha huku akinipatia nisome.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mwongozo wa njia za kumridhisha mwenzi kiunyumba”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaaa! Gazeti hili, kipengele hiki nisha soma….” Nilijaribu kuchangamka kijanja, lakini huzuni ilibaki pale pale.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Uongo” Getruda alinishupalia<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haki ya Mungu, nimesoma kipengele hicho tena kinasisitiza swala la unyumba, mume amtendee haki mkewe na mkewe amtendee mume haki yake, tena hii hapa….” Nilijaribu kujitetea kwa unafiki.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilichukuwa gazeti lile na kupitisha macho juu juu kwa haraka na kumwambia nimesoma ndani vizuri. Nilifahamu sana nia yake haswa ilikuwa ni nini? Nilimtizama mke wangu kwa masikitiko na kumuonea huruma, lakini ningefanya nini ili kumridhisha, nae aridhike japo mara moja. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Samahani mke wangu siku hizi na choka kwa shughuli nzito si mchana wala usiku, hata nimesahau kufanya mapenzi nawe” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hivi wewe unavyosema siku hivi, ina maana toka tufunge ndoa, tumeshafanya chochote na sasa karibu miezi miwili na nusu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi ni samehe mke wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <h4 style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikusamehe kwa lipi?. Usinipotezee muda ninachoomba ni haki yangu bwana”<o:p></o:p></span></span></h4> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba unipe muda wa wiki nzima”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sitaki, ninacholilia ni haki yangu.Kwani kanisani uliapa kwamba utanitendea hivi. Ulinioa wanini kama hukunipenda, naomba talaka yangu haraka…”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Umeenda mbali sana mke wangu…”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mimi sio mkeo kuanzia sasa. Naomba uelewe. We mwanaume gani?”Getruda alionekana mwenye hasira ,nikaamua kutulia kama niliyenyeshewa na mvua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Akrabu za saa zilionyesha saa tisa na robo usiku, mke wangu alijawa na fukutiko la moyo lililokuwa zito, japo alikuwa na hasira lakini alijitahidi kuiondoa ili kunitamanisha. Muda mfupi aliingia chumbani na kufuata kabati lake lenye makorokoro yote ambayo yanampendezesha mwanamke kuwa kivutio mumewe au mchumba au mwanaume rijali. Alichukua muda kidogo akijipodoa na kujipara, mafuta sijui lotion, cream, manukato, wanjaa lipshine nk. Hakuishia hapo alivaa sketi fupo, ambayo wanaita kimini kilichoonyesha mapaja yaliyonona, na kibilauzi kifupi, wengi huita “kitopu” chenye kuonyesha kitovu kilichoumbika sawia, usoni alipaka poda kwa mbali na kujipulizia manukato yenye harufu ya mahaba. Mke mwenye sura mufti, nyororo kwa macho ya kuita japo mke wangu alijitahidi kwa vitu vyote hivyo lakini ilikuwa sawa na kupiga kinyago ukwenzi, nilibaki kama zoba na mbege.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Juhudi zote za kujipara manukato, tabasamum nono! Nilibaki kuwa sikuuwona uzuri ule, kumbe ni kwasababu nilikuwa siyawezi. Uzalendo nae ulimshinda, ndipo alipaanza kuuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu urembo wote nilonao bado hunitamani? niambie unanipenda au hunipendi” “Nakupenda”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa kama unanipenda mbona hunifa…” alizidi kulalama kila siku, kila dakika, kila sekunde.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nisamehe mke wangu ongea taratibu jirani watasikia”. Niliongea kwa sauti ya chini nikiwa nimempigia magoti mke wangu, sikupenda jirani watambue udhaifu nilionao. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nirahisi kupata msamaha wangu, lakini nataka ufanye ninachokuambia, umenielewa mume wangu” mke wangu alipunguza ukali kidogo na kuanza kupitisha mkono wake wa kushoto akipapasa kifuani mwangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haya twende tukatizame mkanda wa X kwenye video ya chumbani” mke wangu aliongea kwa kunibembeleza, aliamini yeye kama mwanamke lazima ambembeleze mumewe,amfanyie vile vitu anavyopenda ili penzi likomaa na kufika kileleni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tulifika chumbani nilijitupa kitandani kigoigoi, roho ikiniuma “Ugonjwa huo wa kuuwa nguvu za kiume niliupata wapi? Au huyu mke ni jini nini? Mbona nimemuoa na uume wangu kukosa nguvu, kwanini? Mbona jenifer nilimridhisha vya kutosha. Mama mkwe kaniloga nini?. Hataki niwe na mwanae” Alitoa mkanda kwenye droo za kanda kisha akasema “Mkanda huu nimeaununua kwa ajili yako. Najitahidi kila namana kukuvuta jirani nami mpenzi” Getruda aliongea huku akitoa tabasamu nono. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Halafu baada ya kuangalia nini kiendeleee?” niliongea kwa wasi wasi mkubwa tena kwa kuropoka, nilihisi kuchanganyikiwa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani wewe umenioa niwe nani kwako, au nifanye nini. Niambie sio kuropoka maneno yasiona maana” Getruda alizidi kufoka. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vitu vingine vinaleta kero, sijui huyu ni mzigo, au nini?” Getruda alijisemea kimoyo moyo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi yaishe mpenzi, punguza hasira” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ooo! Kumbe ulikuwa unataka tujifunze kitu” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio, ili tujifunze wazungu wanavyoridhishana”. Getruda alipunguza hasira kidogo yote hayo ni kunifanya nisisimke.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kaaa! Pamoja nami?” Kwa kweli nilichanganyikiwa kabisa, nilikkuwa nikiropoka maneno yasiona msingi, hata nilivyomjibu aliniona limbukeni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani ajabu, ndio nikae nawe!” Getruda alizidi kushikwa na hasira usiku mzima hatuku lala ni kukoromeana, maneno ya lawama na mengine ya kuomba msamaha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikae na wewe tu?” nilizidi kumyumbisha kwa maneno ya ajabu ilimradi papambazuke niondoke mikononi mwake. Nilitamani pakuche niondoke niende kazini. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hukubali eee!, niambie hutaki?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaaa! Na kubali kabisa bila hofu” jibu hilo lilimfurahisha Getruda mke wangu aliamini ningefanya mapenzi muda mfupi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi vizuri, nitashukuru mume wangu, na nitakupa unachotaka, japo sijawahi kufanya ngono lakini nitakuachia ufanye utakavyo taka.” Mara moja alianza kuimba <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi mume wangu Sweedy, wewe ni<span style=""> </span>wewe sina mwingine, kama ni kundi la ndege msituni basi wewe ndio chaguo langu, wengine sioni, nakupenda peke yako naomba uangaze pendo letu ling’are giza,…” Alitunga wimbo wa muda mfupi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Getruda, mke wangu alinifuata kitandani baada ya kuweka mkanda wa mapenzi, alinikumbatiam tukaanza kuviringishana huku na kule. Lakini wasi wasi ulinijaa pale nilipo kumbuka mapenzi na mke wangu, niliamini hakuna chochote kingeendelea zaidi ya kumtesa Getruda. Wala sikuwa tayari ajue udhaifu wangu, nilihofu pindi angejua basi angeomba talaka, hata hivyo siri ingekuwa hadharani, kila kona ya dunia. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baada ya kuchoka mabusu, alilala kwa chali akiwa ananitizama, kwa hofu nilitizama pembeni, sikuweza kumuangalia usoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Niangalie basi nijue unanipenda” nilipomtizama kwa kujikaza, nilisikia akisema (Ooooohhh! Honey you look at me, without uttering any word”) “Ooooohhh! Mpenzi unanitizama bila kunena neno!” Nilituliza macho uso mwa Getruda, uso<span style=""> </span>ulijaa ubembe. Ingawa nilifahamu shauku ya mke wangu lakini nilishindwa nimfanyie nini ili nionekane kidume na mume hodari, sio sifa ya kuoa tu ndoa Kanisani. Lakini lazima nimburudishe mke wangu hata kwa kumshika shika maungo yake, ili kumtuliza asionekane mwenye sikitiko moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Hata hivyo mke wangu hakuchoka na vitimbi vyangu, aliendelea kunishika shika, ili kuniondoa uchovu. Aliona muhimu na dawa ni kwenda na mimi bafuni kuoga, tulienda bafuni na kuanza kuoga pamoja, lakini hakuona uume wangu ukisisimka hata kidogo. Hofu ilianza kumuingia hakuamini alivyonihisi aliona ni uchovu tu wa kawaida. Hakuwa na roho ya kukata tamaa, kule bafuni alijitahidi kuushika na kupapasa maungo yangu, sikuonyesha dalili yeyote ile.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Getruda akaniogesha nami nikamuogesha.Tulipomaliza akachukua sabuni na bush la kuogea tukaelekea<span style=""> </span>chumbani tukiwa tumefunga taulo. Getruda alionekana kuwa na hasira kali moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu naona hunipendi kutoka rohoni, Bali ulilazimishwa na wazazi wako sio hivi hivi ni miezi miwili sasa inatimia toka unioe hutaki kufanya tendo la ndoa. Heshima ya ndoa iko wapi? Naomba unieleze kama hinitaki niondoke au nini kimekusibu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Wakati ananielezea machozi yalikuwa yanambubujika, aliamini kulia sio suluhisho, taratibu alifuta machozi kwa lesso, alinisogelea karibu na kunizungushia mikono kiunoni, huku akininong’oneza “Sweedy kuna kitu chochote nisichokuridhisha mume wangu. Naomba unieleze niweze kujirekebisha. “Tafadhali niambie sasa hivi. Nahitaji kujua, nitaishi vipi bila mapenzi yako?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kila kitu unaniridhisha ila ni…ni…nina…ni….” nilikokoteza maneno yaliyochanganyikanana kigugumizi, nilishindwa kutamka vizuri nilihisi homa kali, nilijua ndoa ingeingia dosari.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ila una nini?. Sema mbona humaliziii?” alinikaripia kwa sauti.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Unaumwa?” aliniuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaa!, hata kidogo,” nilimjibu kwa sauti ya chini,<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Au…..penginenimekuudhi bila mimi kufahamu…., maana mama husema mimi ni mkaidi na sijui namna ya kumtunza mtu, ni kweli?” Getruda alizidi kunidadisi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana” niliitikia kwa sauti ya majonzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oke, hivi ni kusema kwa sababu ya kazi ndio umenisogeza pembeni?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hivyo ni vibaya mke wangu, nakuahidi nitajitahidi kukupa penzi nono!, ambalo litafuta kumbukumbu zote nilizo kukera”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama sivyo, basi naomba unibusu, nijisikie furaha moyoni” mke wangu aliongea huku akinisogelea karibu zaidi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilisita kidogo kisha nikainamisha kichwa na uso kutokeza upande wa midomo yake na kumbus kwa uvivu uvivu (Kigoigoi). Nilipomgusa tu midomo yake, mara alinikumbatia vilivyo, kwa mikono yake na kuning’ang’ania na mabusu ya mfululizo na muda mrefu na hata aliponiachia hilihisi joto lenye uvuguvugu nikilikosa. Mwanzoni nilimbusu kwa wasi wasi na shingo upande, lakini baadae nikaadhiriwa na mabusu motomoto ya Getruda nikajikuta ashiki zikiwa zimesisimua mwili mzima, nilijibu mashambulizi kwa mabusu ya nguvu huku nikihema roho juu juu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baada ya mabusu yaliotuweka hali ya mapenzi, kwani ashiki zilimpanda na kutaka penzi wakati huo huo bila kucheleweshwa. Akrabu ya saa ya ukutani ilionyesha saa kumi na moja na nusu, karibu na kupambazuka. Majogoo yalikuwa yakiwika kila kona ya wafugaji wa kuku.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu sikiliza” Getruda aliniambia, usoni macho yalikuwa yamelegea na kurembua rembua. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eee! Sema mama watoto” nilikohoa kinafiki na kusema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Karibu kunapambazuka. Nataka uondoe mawazo ya biashara, madeni, sijue kazi mawazo yako yote weka kuhusu penzi langu na wewe, naomba uniridhishe kwa penzi motomoto.Kwani siku sitini<span style=""> </span>sasa toka unioe hujafanya tendo la ndoa na mimi. Hivyo leo ni mwisho, usipofanya tendo la ndoa, talaka yangu naomba, siwezi kukaa kama pambo, katuni ndani ya nyumba yako. Sijaja kukupikia hapa tumbo liende mbele, mimi sio kijakazi wako, uelewe leo, mimi ni mkeo tena wa ndoa” Getruda alibadilika ghafla na hakutaka kucheka na mimi, alikua anahitaji haki yake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hayo yote uliyosema nimeyatia akilini ila naomba unipe mu….” Kabla sijamalizia maneno, nilikatishwana sauti ya ukali ya Getruda. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikupe nini?, mbona sikuelewi?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Fahamu kwamba ninahitaji kuwa na mtoto . Nataka nami niitwe mama Fulani, si jina langu Getruda” Getruda alizidi kunifokea, nilishindwa kuelewa ninani aliyekuwa ananitesa kiasi hicho.Niliwafikiria wabaya wangu wote akilini sikupata aliyenitendea ushenzi huo.<o:p></o:p></span></span></p> <p style="font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio…” niliitikia kwa sauti ndogo na ya huruma hata mimi mwenyewe sikuamini ilitoka kwenye kinywa changu, wasi wasi ulinijaa moyoni, nilihisi kuumbuka niliwalaumu wazazi walionitafutia mke. Laiti ningelijua kuwa nina matatizo hayo nisinge Kubali kuoa. <o:p></o:p></span></span></p> <p style="font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haya nenda ukazime taa basi basi mpenzi” Getruda alizidi kunifanya miguu ilegee na kukosa nguvu ya kutembea, nafsi ilinyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa, jasho la woga lilinichuruzika. Sehemu ya kuzima taa ilikuwa karibu kama hatua tatu lakini niliona umbali wa kilometer ishirini. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilijikamua kikakamavu na kuinuka kwenye kitanda, kwa uvivu nikajongea<span style=""> </span>kwenye swichi ya taa. Kilikuwa kitendo cha sekunde tano lakini nilifanya dakika saba.nilipofika kwenye swichi nilizima taa, mwili ulikuwa ukitetemeka sio kwa baridi bali ni hofu juu ya kufanya tendo la mapenzi na Mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilitamani kumfukuza mke wangu kwa kero nilizopata si usiku wala mchana, lakini nilishindwa nianzie wapi na niishie wapi?. Licha ya kushindwa kumfukuza,niliogopa siri ingefichuka na kila mwanadamu angenitupia jicho<span style=""> </span>la lawama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilibuni haraka haraka mbinu za kuinusuru ndoa yangu,ili Mke wangu asigundue matatizo niliyo nayo,nilirudi kitandani na kijisogeza ukutani mwa kitanda,taratibu niliingiza vidole vya mkono wa kulia kwenye mkono wangu,mwisho wa kinywa karibu na koromeo,na hazikupita sekunde nane,nilitapika mfululizo. Sehemu ile ya ubavu wangu kwenye kitanda.Niliamini kwa kufanya hivyo mke wangu angeanini kuwa mimi ni mgonjwa. Lakini cha ajabu alianza kunivua nguo zangu badala ya kufikiri njia ya kuondoa matapishi kitandani, alianza kunivua suruali. Alichoka na maneno yangu ya kila siku nikilalamika, kuumwa,mara tumbo, kichomi, kutapika, kichwa nk.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baada ya kunivua nguo, alivua na za kwake pia. “Maji ukiyavulia nguo huna budi kuyaoga”alisema kwa sauti iliojaa hasira na mahaba. Mapigo ya moyo wa Getruda yalianza kwenda kasi na mwili mzima ulisisimka baada ya kunivua nguo zote.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Leo lazima, sijali kuumwa kwako au laa!,Kila siku unalalamika, tumbo, kichomi, kutapika, mara uchovu, leo ni leo”. Taratibu alianza kunitomasa wakati huo nilikuwa nimetulia kama yule mdudu kifaulongo na minong’ono ya kuweweseka kama mgojwa niliendelea kuitoa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu amka basi tufanye.” Getruda alinihimiza huku akiwa amenishika mkono wangu kidogo akininyanyua .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Subiri kidogo naumwa na homa” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Imekuwa homa leo” kwa kweli mke wangu alichoka na idadi ya magonjwa niliokuwa nikimtajia kila leo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eti homa, utashaa leo, sikusikilizi ninachotaka ni penzi tu, usiniletee hadithi za riwaya, zile hadithi ndefu za kubuni, sizihitaji kabisa!, wewe mwanaume gani? Hivyooo!” Getruda mke wangu alianza kunidharau baada ya kuona sina lolote. Nilianza kulia nikilaumu ugonjwa ulioniingia nikiwa na ndoa yangu, niliulaani ugonjwa huo nilitamani nikatwe vidole kuliko kuwa na udhaifu wa nguvu za kiume. Kilio changu kilikuwa chungu mwenye<span style=""> </span>na roho yangu. Pamoja na kunywa dawa za mitishamba kutoka kwa wamasai aina ya mchuma mbele bado nizidi kupata mateso ya unyumba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu unadiriki kunikashifu. Kunitukana mtusi ya nguoni!, kweli umenichoka” nilijaribu kumlaumu mke wangu, lakini haikusaidia kitu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio, nimekuchoka, naomba talaka yangu asubuhi hii hii, longolongo sitaki” mke wangu alibadilika ghafla na kunitizama kwa hasira kali, kama kungekuwa na uwezekano wa kuniadhibu basi angeniadhibu ipasavyo. Niliona bila kuwa mpole ndoa ingekuwa ndoano, ingesambaratika na ningekuwa mseja.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu naomba upunguze jazba nikueleze…” niliongea kwa sauti ya unyonge iliyona lengelenge la machozi kunitoka, nikiwa na wasiwasi mkubwa wa kumkosa Getruda. Sikupenda niachane na Getruda mke niliyepewa na wazazi, mke mwenye hali ya ubikira, ambaye hajawahi kuguswa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nimeshachoka na mambo yako ya ajabu, unataka kunieleza nini?”<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Najua utanichukia nikikueleza kilichonisibu pia hutaamini yaliyonikuta mwenzio”. Niliongea machozi yakinilengalenga machoni, roho iliniuma na kujiona nisiye na faida wala umuhimu kuishi duniani, nilitamani kufa ilinisiendelee na mateso. Kilio changu kilikuwa cha huzuni mno!, moyo wa huruma ukamuingia mke wangu, masikini akaniomba nimuelezee.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu haya nielezee kilicho kusibu, usiogope kuwa wazi usinifiche chochote kama kuna uwezekano nitakusaidia mpenzi” sauti ya mke wangu niliisikia na kuifananisha na sauti ya malaika wa neema. Nikajikaza huku nikiwa na churuzika machozi yaliyolowanisha kope machoni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu hujafa hujaumbika, nisikilize kama mtu asikilizavyo maneno ya Mungu, nilikuwa kiwandani kwenye uchanganyaji wake Kemikali, bahati mbaya kemikali yatindikali ilinidondokea kwenye ngozi karibu na uume wangu na kunisababishia udhaifu mwilini, naomba usiniache mpenzi, naomba unisamehe kama nimekukosea mpenzi, naamini nimekukosea. Sikuyataka bali yametokea bahati mbaya” Niliongea uwongo uliofanana na ukweli, kadri nilivyozungumza ndivyo nilivyozidi kulia, sikupenda kuongea uwongo bali ilinibidi niongee uwongo mtupu ilikuinusuru ndoa na aibu yangu , sikumwangikiwa na tindikali, ni ugonjwa ulionitokea ambao sikujua ulitokea wapi na nani aliyeniletea ugonjwa huo, je ni Jenipher au ni nani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa kama ulikuwa unajua unamatatizo kwanini ulinioa mpenzi?, unanitesa, umepoteza muda wangu bure” Getruda alizidi kulalamika japo alinionea huruma. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kumbe ndio maana kila<span style=""> </span>siku ana lalamika na kunitajia magonjwa mengi yote hayo ni kukwepa…” Getruda aliwaza akilini. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu matatizo yalitokea siku tatu kabla ya ndoa, wala sikujua nimeadhirika na tindikali hiyo, ningejua ningehairisha kufunga ndoa ili upate mume rijali” maneno yangu yalimuingia Getruda mke wangu na kuamini kuwa ni kweli nilipata ajali ya kumwagikiwa na tindikali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nitaishi vipi bila kupata matunda ya ndoa, naomba uniambie nitaishi vipi?, nitaishi hivi mpaka lini, sijawahi kukutana na mwanaume, nilitegemea wewe ndiye ungevunja boma langu, sasa itakuwa vipi? Naomba mawazo yako” macho ya huruma yalitua usoni mwangu, niliyekuwa nimetulia kama mtuhumiwa aliyesubiri hukumu ya kunyongwa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu hilo usitie shaka. Hakuna kinachoharibika nivumilie kidogo”<o:p></o:p></span></span></p> <h4 style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Siwezi kukuvumilia tena mume wangu. Naomba talaka haraka”Nilitamani kuondoka , ikiwezekana kuihama nyumba yangu,nikifikiri jambo hilo lingenisaidia<span style=""> </span>lakini nikajikuta nikikatisha mawazo na nafsi.Nilitulia kama sekunde kadhaa hivi nikijaribu kuganga maumivu.<o:p></o:p></span></span></h4> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Uliapa mbele ya mchungaji kwamba utaishi na mimi kwa uvumilivu…”Kabla sijamalizia maneno yangu , nikakatishwa na sauti ya ukali .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio. Nimevumilia nimechoka, naomba uelewa kwamba namimi nina homoni”Getruda akasema akinitizama kama mtu alieniandalia tusi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nataka niende nchi za nje kwenda kufanyiwa uchunguzi zaidi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nchi gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Uingereza….”<span style=""> </span>Nilipumua kidogo kisha nikaendelea kumweleza, wakati huu nikimueleza, nilikuwa siamini kwamba angeweza kulielewa lile nililotaka alifahamu na kulitii “Getruda nakupenda na kiliwaahidi wazazi wangu nitaishi na wewe hadi mungu atakapo chukua roho zetu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sweedy unajua maana ya ndoa kweli?”Getruda akaniuliza akiwa amenitumbulia macho.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio”Nikajibu kwa sauti ndogo na ya upole kabisa,nikiwa nimeinamisha kicha kama kondoo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama unajua maana yake.Mbona sioni nini maana ya ndoa kati yangu na wewe?”Hapo nikavuta pumzi ndefu na kuziachia kwa nguvu, “Ooooopphhhh”.Ikafikia wakati mwingine hata kujionea mwenyewe huruma.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Si nishakuambia tatizo langu?”Nilizidi kutukutika moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi kama unataka nisivunje ndoa yetu nitafutie ndugu yako aniridhishe kimapenzi mpaka utakapo pona”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sina ndugu yangu wakiume mke wangu.Kwa nini<span style=""> </span>usiwe na subira?”Machozi sasa yakaanza kunidondoka kama maji ya dripu,<span style=""> </span>nilihisi kudhulumiwa haki yangu , ingawa nilitaka njia ya amani kati yangu na mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ngoja ngoja yaumiza matumbo”nilimtizama Getruda, mke wangu nikagungua hakuwa na nafasi tena ya kunisubiri. Macho yake tu, yalikuwa jawabu tosha kwamba angeondoka kwenda kutafuta mume mwingine.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nasubiri unijibu upesi, sitaki mzaha tena. Ushanipotezea muda mwingi sana Sweedy”Sauti ya kupaza niliisikia ikigonga ngoma za masikio yangu, nilijaribu kumtupia macho ya huruma,kuwa pengine angepunguza maneno. Sikuweza kumjibu chochote,badala yake nikabaki kimya kama niliyeletewa habari ya msiba wa ndugu yangu wa karibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dharau yako itakuponza. Wala sitaki talaka yako.Naondoka, narudi kwetu mwili wangu bado unaniruhusu kuolewa.Kama ni bikra bado ninayo kama ni kuzaa ndio kabisaa.Kwanini nikose mume.Uzuri wangu tosha nishahidi kwamba sitokaa kwetu mwezi bila kuolewa”Getruda aliongea na kunyanyuka kitini ambako alielekea chumbani. Nilibaki nikimtizama bila kunena neno <span style=""> </span>juu yetu.Sikutarajia<span style=""> </span>kuona kile kilichopo mbele yangu wakati huo.Nilimuona Getruda akiwa kabeba begi kubwa languo akitoka nalo nje varandani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu tafadhali naomba uweke begi chini tuongee.Unapochukua uamuzi huo si suluhisho. Ni busara kusuluhisha mgogoro ili kuhuisha uhusiano mwema ,tangu kuumbwa kwa familia hakuna hata moja isiyopata ubishi na mgogoro ndani ya nyumba…..”nilivuta pumzi ndefu na kuzishusha taratibu ,ni dhahiri nilichoka kuitetea ndoa yangu isianguke.Wakati huo Getruda alinitupia jicho, begi lake akiwa kalishikilia mkononi.Nikavuta hatua na kumfikia karibu, nilimshika mkono nikijaribu kumbembeleza, “Tafadhali usinishike.Muda wa kuishi nawewe umeisha.Mume gani usiye…”Nilimkatisha maneno yake, “Ni samehe mke wangu,nitaendelea kukuita mke wangu kwa sababu nakupenda, naomba uwe na subira. Unyumba nikuvumiliana, kuna leo na kesho, kumbuka hujafa hujaumbika, jambo hili linaweza kukukuta hata wewe,pengine ukapata ajali.Sikupenda kuwa hivi mpenzi…. hili ni jambo la kawaida, muhimu ni jinsi ya kutatua mikwaruzo hii.Mfano ungekuwa wewe mwenye matatizo haya ungelifanya nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Niliongea taratibu na kwa busara nikijaribu kumshauri<span style=""> </span>Getruda , mke wangu. Alivuta pumzi na kuzishusha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba unipe uhuru.Utakubali niwe naingiza mume mwenzio ndani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana. Utakuwa ni unyanyapaa wakijinsia.Getruda unataka kuniumiza moyo wangu.Nakupenda na nimekuomba uwe na subira,pengine nimajaribu ya mungu”Nilivumilia kulia ikashindikana,machozi yalinitoka bila kutegemea.Nilitamani nibaki peke yangu ,ingawa sikuweza kuamini kama kweli Getruda angenihifadhia siri yangu.Angeenda kuwaeleza nini wazazi wake.Kuna mtu anaweza kuvunja ndoa bila kufarakana, migogoro ya kiunyumba?.Mawazo hayo yalizidi kuniumiza na kunikera moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Chagua moja….”Alitulia , akalamba midomo yake kisha kunitizama kwa dharau.Dharau hiyo niliigundua kwamba nikwa vile aliniona si lolote si chochote kwake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Unasema unanipenda sana?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani hujui hilo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sijui kwa sababu wewe mwenyewe hujanionyeshea upendo wako kwangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hivi umesema unanipenda vile?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio…najua umekuwa wimbo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba unichagulie maisha nitakayoishi kuanzia sasa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi nitakuacha uchague unachotaka mpenzi bora usinidhalilishe.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sina chaguo lingine zaidi ya kunitafutia ndugu yako yeyote”Alisema tena akionekana siriasi. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kuna rafiki yangu mpenzi ambaye tupo karibu .Yeye ndie mwandani wangu, siri zangu ni zake na zake ni zangu nitamueleza kilio changu. Naamini atakisikiliza na kulichukulia kama kilio chake na atanisaidia shida ndogo ndogo za unyumba wetu. Mtu huyo ni tajiri yangu anayeitwa Mzee Jophu. Itakubidi unihifadhie aibu hii moyoni mwako. Ndiye ambaye siku ile ulivyoletwa na Baba niliwaacheni nae nikiwa na maongezi ya faragha na Baba.” Nilijaribu kumueleza mke wangu kuwa pengine angekubali kutembea na rafiki yangu mkubwa badalaya ndugu , na aendelee kinitunzia heshima yangu kama mumewe. Japo roho ilikuwa inauma kumkabidhi mwenzangu boma langu. Wala sikuweza kugundua kuwa mzee Jophu ndiye aliye panga na Daktari anipige sindano ya sumu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama una matatizo ndoa ya nini?.Suluhisho ni kuivunja ndoa kwa amani sitaki kujidhalilisha kwani wanaume wameisha duniani? Isitoshe nilishakutaarifu kwamba sijawahi kuguswa, bado<span style=""> </span>nina nafasi kubwa ya kuolewa, wameolewa machangudoa sembuse mimi kigoli. Siwezi kukuelewa kabisa ninachotaka ni talaka yangu. Kuishi na wewe ni sawa na kulinganisha kifo na usingizi” Mke wangu alinibadilikia ghafla, sikuweza kuamini maneno hayo yaliyotoka kinywani mwake . Hali hiyo ilininyima amani na kijikuta nikilia kama mtoto mchanga aliye hitaji ziwa la mama yake baada ya kulikosa kutwa nzima bila kunyonya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“ Sijali kulia kwako kwani mimi ndiye niliye kumwagia tindikali? Mlaumu aliye kumwagia na sio mimi.Kweli ving’aavyo vyote si dhahabu. Najuta kuolewa na watu waliochelewa kuoa, huenda ni matatizo uliokuwa nayo toka zamani”. Getruda alizidi kuniumiza moyo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa najua sina faida ya kuishi duniani,nitawaachia ninyi wenyewe umuhimu na hii dunia, lazima nife …….sio muda mrefu utaniita marehemu sio Sweedy tena ,” Nilijikuta shetani mbaya akiniingia kichwani na kuiteka akili yangu, nikaamua kujiua tu, sikupenda kuishi na mateso. Niliondoka na kuingia chumbani kwetu, nilijifungia kwandani na kutafuta kamba tayari kutoa uhai wangu. Nilikusudia kujiua na niliamua kufanya kama mawazo yalivyo nituma, sikupenda kuishi kwa manyanyaso, mateso ya unyumba.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilikuwa chumbani na tafuta kamba ya kujinyonga, Getruda, mke wangu muda mfupi tu, angeniita marehemu badala ya Sweedy. Getruda akiwa kwenye mtiririko wa mawazo alisikia sauti yangu, (LORD YOU KNOW MY TRIBLES)” “Mungu unajua mateso yangu”Wakati nasema maneno yale ,nilishafunga kitanzi juu ya paa la numba.Nilikuwa nimepanga stuli mbili zikiwa zimebebana,nikaanza<span style=""> </span>kuingiza shingo kitanzini, nilihakikisha kamba haitakatika. Iliyofuatiwa sauti nyingine nikimuaga. “Getuuuuu! Kwa heri niagie ndugu wote, nimeamua kufa sipotayari kunyanyaswa na udhaifu wangu, hata mungu anajua”. Taratibu nilianza kusukuma stuli nilioikanyaga ili idondoke na nijinyonge, Muomba kifo hakosi basi stuli ilidondoka kamba ikaninyonga. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ahiiiii”nilitoa sauti moja kwa shida sana.Kutoa neno la zaidi,nilijijigeuza na nikawa natapatapa kama mfa maji.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haraka Getu aliamka na kuekekea sauti ilipotoka, aliamini nilikuwa nianajiua akajuta na kujilaumu kwanini alinipa maneno ya ukali badala ya kunifariji.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dhambi zote ni mimi, isingekuwa mimi asingejiua, yanipasa nijitahidi kumnusuru na kifo,” Getu alianza<span style=""> </span>kuniita kwa sauti ya huruma, “Sweedy…Sweedy… naomba unisikilize mkeo naongea. Niwie radhi nilikuwa na kutania nimekubali kuwa na rafiki yako. Naomba unielewe mpenzi nitalitunza penzi lako na siri yako. Kama nikujiua basi nisubiri tuongee nitakuacha uendelee kujiua.” Getu aliendelea kuniita bila ya kupata kujibiwa. Kilikuwa kitendo cha haraka alichukua uamuzi wa kuvunja mlango na kuingia ndani, alinikuta nikiwa nimeningia mapovu ya kitoka puani.Aliona kisu kilichokuwa mezani,Hakupendakupoteza muda ,kwa mwendo wa umeme alikata kamba na nikadondoka chini<span style=""> </span>kama gunia la maharage, aliponigusa alipeleka mkono kifuani kuona kama nilikuwa hai. Ajabu ni kwamba hakusikia mapigo ya moyo ya kienda. Miguu ndio ilikuwa nikiitupatupa huku na kule, ulimi ukiwa nje kama wa kenge. Hali iliyomfanya asijidanganye kuwepo hai tena na kuamini<span style=""> </span>zisingepita dakika kumi ningepoteza uhai. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Uzito wangu haukuwa kigezo kikubwa cha kumfanya Getruda ashindwe kunibeba, alijitahidi alivyo weza kunitoa nje ambako alipiga simu kwa dereva teksi aliyemfahamu. Dakika takribani mbili ,alisikia gari likiegeshwa nje ya jengo letu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vipi shem. Imekuwa je?”Dereva teksi aliuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wee achatu.Hebu tumuwahishe hospitali mazungumzo baadaye”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Walinibeba juu juu hadi kwenye gari, dereva akafungua mlango wa nyuma ambako walinilaza chali na kufunga mlango.Hawakukawia kufika hospitali ya rufaa Mount meru kwa matibabu zaidi.Getruda aliniingiza ofisi ya dakitari<span style=""> </span>wa zamu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Anasumbuliwa hasa na nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Amevamiwa na majambazi ambao walimnyonga kwa kutumia kamba”Getruda alidanganya wazi wazi.Huku akiuma mdomo wa chini kana kwamba alijawa na dhahabu kali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa umeripoti polisi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Daktari mbona unaniuliza maswali ya sio na msingi kabisa.Wewe unataka ripoti ama kumtibu mgonjwa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hatuwezi kutibu bila kupokea karatasi ya PF3 kutoka polisi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dokta kipi bora .Kuokoa maisha ya mgonjwa ama kumwacha afe kwa sababu ya PF3?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kuokoa maisha yake”Dokta akajibu akichukua vipimo vyake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi kumbe unajua. PF3 baadae, nisamehe kama nimekuudhi”Getruda alimwomba radhi Dokta.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Dokta alinishughulikia kwa haraka.Nilitibiwa kwa makini na baada ya saa nzima nilipata ahuen.Ila kooni nilihisi maumivu kwa ndani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">**********<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Zikawa zimepita Siku mbili toka nilipookolewa na Mke wangu,Getruda pale nilipokuwa najiua kifo cha taabu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu nilikuwa nikikutania . Tafadhali usijaribu kujiua tena. Nimekubali mlete huyo rafiki yako leo nimuone kama sura yake ina tapisha au laa!” Getruda hakupenda kufanya hivyo aliamua kukubali ili kuninusuru kifo. Sauti ya Getruda ilipenyeza kwenye ngoma ya masikio yangu fundo kali la sononeko liliingia moyoni.Nikajivuia kulia kwa nguvu zote lakini nilijikuta machozi yakichuruzika<span style=""> </span>taratibu bila kujua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa mke wangu utamuona nitakapomleta jioni,” Ilikuwa asubuhi na mapema, majira ya saa moja na nusu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mmmm! Lakini Getruda unanipenda.Isingekuwa wewe basi nilikuwa mfu”Nilimweleza Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kumbe unalijua.Mkojo ulishaanza kukutoka”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Masihara hayo.Inamaana nilikikojolea kama mtoto”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio”Getruda alinijibu akainuka kitini na kuelekea kwenye jokofu ambako alilifungua na kunipatia Juisi baridi ya machungwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Karibu mpenzi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ahsante mpenzi”Niliipokea na kumtolea tabasamu,lakini nilipokumbukla kwamaba nahitajika kumtambulisha bosi wangu.Moyo ulisingaa na kunyauka kama jani la tumbaku lililosubiri kusagwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mpenzi nataka kwenda kujipumzisha kidogo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa,ila usisahau kwenda kumleta rafiki yako jioni”Nilishituka na kutulia kama sekunde kadhaa ,kisha nikageuka kumtizama mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Utaniamsha baada ya saa moja.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Ok, bye”Nilijikaza kutoa tabasamu ambalo pengine lilionekana dhahiri la kulazimisha, huku moyo ukiniuma kama kutu inavyokula chuma taratibu na kukiozesha chote.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nije tujipumzishe wote?”Getruda alinieleza wakati nikiwa nimempa mgongo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Poa. Ukipenda”Nilimjibu damu zikienda mbio ,ungeweza kuhisi nimekimbia umbali mrefu bila kupumzika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Getruda alinifuata chumbani kama<span style=""> </span>alivyoomba.Nilijitupa kitandani kiuvivu uvivu nae akajibweteka kwenye sofa moja lililomo chumbani.Ingawa nilifumba macho lakini sikuwa hata na lepe la usingizi, mawazo yangu yalimezwa na taswira ya maisha ya unyumba.Nilijiuliza bila kupata jawabu sahihi kwamba ugonjwa huwa niliupata wapi na nani aliyenipa?.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nikiwa nimelala nilihisi vidole laini zikitalii mwilini mwangu.Hata hivyo sikushituka kwani nilihiosi alikuwa mke wangu.Vidole hivi vilizunguka huku na kule bila kupumua,nilihisi kama kero ama mdudu fulani akinitembelea<span style=""> </span>akini kwarua. Sikuona raha zaidi za mateso tu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hallo Sweedy”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Na..a.amu”Nilikokoteza maneno,nikiwa nimetulia utadhani mbwa anayetolewa kupe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Unanipenda?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Saaana tu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwanini hunipi haki yangu kama kweli unanipenda?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haki ipi?.Si una jua matatizo yangu sasa unataka nini tena”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilihisi Getruda akinitibua akili yangu.Niliinukla na kutoka nje.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Getruda unanitesa. Tumepanga nini na wewe unataka nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilitulia kidogo nikaendelea, “Moyo wangu unasononeka sana. Laiti ningelijua nisingeoa, maisha gani haya yananitesa kiasi hiki?”Nilijikuta nikilia ovyo kama toto jinga lenye kudeka ovyo.Kilio changu lilikuwa rohoni.na aliyejua alikuwa muumba pekee.Getruda alikuja kunibembeleza kwa hofu kwamba ningechukua maamuzi ya kijinga tena. Aliniandalia chakula mezani.Tulisali kisha tukala .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Saa nane mchana baada ya kupata mlo wa mchana nilimuaga Getruda nikiwa naelekea ofisini kumueleza Mzee Jophu yaliyosibu katika unyumba wangu. Lakini cha kushangaza<span style=""> </span>Mzee Jophu baada ya kumueleza kila kitu,nilimuona uso ukiwa umejawa furaha badala ya kunionea huruma. Hali hiyo aliisubiri kwa hamu hata hivyo alishanga<span style=""> </span>kuona mimi kuchelewa kumuelezea shida zangu toka mwanzoni.Alijifanya kama hataki kuchangia mapenzi ilinimuone mtu mwema,<o:p></o:p></span></span></p> <h5 style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa Jophu<span style=""> </span>unakataa nini na wakati nimekuambia mke wangu hajaguswa”<o:p></o:p></span></span></h5> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Inamaana siku zote hizo mlikuwa mkilala tu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio”nilimjibu nikahisi machozi yakinilengalenga, hata hivyo nilijikaza kiume.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Matatizo haya yalikupata muda gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Siku ya kwanza toka nifunge ndoa na mke wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usinitanie Sweedy. Ulijaribu kwenda hospitali?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio.Nilichunguzwa kwa makini.Daktari alinieleza kwamba nilipigwa sindano yenye sumu.Nilikataa kwani sijawahi kupigwa sindando yeyote toka uliponiajiri. Na sasa ni miaka karibu ishirini na tano. Nakumbuka sindano ya mwisho nilichomwa nikiwa na<span style=""> </span>chuoni. Na siku nyingine niile nilipokuja kutolewa damu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kutolewa damu si kupigwa sindano labda una matatizo mengine kiafya.Vipi kuhusu<span style=""> </span>chango?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sina chango,mzee”Nilimjibu nikiwa nimetizama chini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mzee, naomba unisaidie kuokoa jahazi la ndoa yangu”Nilimweleza nikimpigia magoti.Sikuwa najua kwamba mzee Jophu ndiye aliyetuma watu wanipige sindano ya kuua uume wangu.Wakidai wana nitoa damu ilinikapimwe virusi vya ukimwi.Hata hivyo ilikuwa kazi kumgundua mbaya wangu,jinsi alivyoonyesha kutokutaka kuchukua jukumu<span style=""> </span>la kumridhisha<span style=""> </span>mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mkeo atakubali kwenda kupima damu zetu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sina uhakika<span style=""> </span>kama atakubali au laa. Ni vizuri kimpigie simu”Nilitoa simu yangu ya kiganjani na kubonyeza namba za Getruda, mke wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hallo, mpenzi”alipokea tu baada ya kuona namba zangu juu ya kioo cha simu yake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oooo!, vipi upo salama.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio. Sijui wewe”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shwari kabisa.Mmmm…utakubali kupima Virusi vya ukimwi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Tangu lini kigori akawa na Ukimwi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sijambo la ajabu kwani ukimwi unaambukizwa kwa kujamiana tu?”Getruda aitafakari akajiona kweli alibugi sana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa, nimekubali kupima afya<span style=""> </span>kwa manufaa yetu sote”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok, jiandae nakuja sasa hivi nyumbani”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok, bye bye”Alinaga na kukatasimu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nilimtizama mzee Jophu na kumwambia, “Amekubali kupima”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Kwambali niliona tabasamu la mzee Jophu lililonifanya nione meno yake ya rangi rangi, nafikiri kutokana kunywa maji ya<span style=""> </span>Arusha tokea utotoni mwake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa Sweedy”Alitulia kidogo na kukohoa kinafiki,nilimtizama kwa makini niwezekujua alichotaka kusema,aliendelea “Kwa vile wewe ni rafiki yangu sina budi kukusaidia.Ila nakuomba usimweleze mtu yeyote ‘Especial my wife’,Umenielewa. Narudia tena naomba iwe siri moyoni mwetu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa, mzee.Usihofu kitu”nilimjibu kwa upole kabisa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mzee Jophu aliongea moyoni akiwa amejawa furaha kubwa mno, “Kile nilichokitaka kimekamilika. Sasa kazi kwangu kurina asali nitakavyo””<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mzee Jophu kunajambo la muhimu nimelikumbuka. Nilimdanganya kuwa nilimwagikiwa na tindikali. Akikuuleza mueleze ni kweli”Nilitulia kidogo, ingawa alijaribu kuficha furaha niliiona , Nikatulia kama niliyewaza kitu ,Machozi yakaniwakia pale nilipokumbuka nguvu zangu nilipokuwa Nchini Thailand “Lakini boss na shindwa kujua ugonjwa huu niliupata wapi na nani aliyeniletea”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usijali muombe mungu akuondolee. Hatamimi ninafanya tu, kwa vile wewe rafiki yangu wa damdam, lakini kwa maulana ni dhambi kuzini nje ya ndoa,” Mzee Jophu aliongea ilinimuone mtu wa busara kama alivyoonekana<span style=""> </span>kuwa ni mtu wa busara kumbe ni muungwana wa ngozi tu, lakini rohoni ni muuwaji. Maneno yake ilikuwa vigumu kumgundua kuwa yeye ndiye mbaya wangu, aliyeamua kunitesa iliamfanye mke wangu wake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><span style=""> </span>Mazungumzo yetu ya ofisi yalikuwa ya muda mrefu. Tulipo maliza jioni iliwadia tuliongozana na Mzee Jophu moja kwa moja hadi nyumbani kwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Lakini Sweedy kama ameoa mke mwenye uso wa mbuzi mimi sitamkubali atakuwa wako mwenyewe”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“ Hakika mke wangu utamkubali. Amekamilika kila idara. Utamsahau mama Jacob nakuambia” Nilimueleza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Yote tisa, kumi tutaona. Nitaamini unajua kuchagua,” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Lako jicho, yanini ni kusifie?” Niliposema, nilitamani Mzee Jophu ardhike na ombo la Getruda, lakini kitu kilichoniuma zaidi ni jinsi gani ningemuunganisha mwanaume mwenzangu na mke wangu niliyemlipia mahari.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Inawezekana huyu mshenzi akamkataa mke wangu. Midomo yake<span style=""> </span>imejaa dharau”nilijisemea kimoyomoyo huku nikibonyeza kitufe cha geti.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Getruda Kimario alifika getini na kufungua, mtu wa kwanza kuingia akiwa Mzee Jophu.Shauku yake haikufichika ,alimtupia Getruda jicho la lilo jaa ubembe.Ni hapo ndipo nilipohisi Mzee Jophu kumkubali mke wangu. Alikuwa na shauku ya kumbusu Getruda, nikipindi kirefu toka wapoteane pale ofisini kwake, na Getruda alimkumbuka kuwa yule alikuwa yule aliyempa mama yake mzazi shilingi laki tano za kitanzania iliamuowe yeye. Walitupiana macho yaliyojaa furaha macho ya matamanio ya Getruda yalizidi kumchanganya Jophu. Aliyekuwa na shauku kuupitisha usiku mwanana na binti aliyemlipia shilingi laki tano. Aliamini alikuwa na haki yakujivinjari jasho lake. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mwanzoni nilihisi hawakumbukani,kumbe kumbukumbu alikuwa nazo na alishuhudia mama yake akipokea hizo hela.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ulifikia muda muafaka wakuweka mambo hadharani ili nitatuliwe shidayangu. Kabla sijazungumza chochote nilipandisha pumzi na kushusha kwa nguvu kama mtu aliyechoka<span style=""> </span>na pilika pilika za kutwa nzima ,”ooooooophhhh!”Kisha nikasema kwa sauti ya chini kama mgonjwa,ni kweli niliyotaka kusema yaliniuma sana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“ Nafikiri mke wangu nilisha wahi kukutajia jina la rafiki yangu kipenzi. Ila ni vema nikalirudia leo ukiwa una muona . Aliye kaa hapa mbele ndiye Mzee Jophu. Sio Mzee kweli ni kwaajili ya mali zake ndio maana watu wanampa jina la heshima<span style=""> </span>ya mzee. Huyu ndiye mwa ndani wangu ukimuona yeye ndio umeniona mimi. Shida zake ni zangu, zangu ni zake,”Nilikohoa kidogo ni kumgeukia mzee Jophu. Kijasho kilizidi kuchuruzika kwa kasi kuliko mwanzoni, nilihisi midomo kufa ganzi na kuwa mizito, nilijikuta sauti ikipotea ghafla pale nilipofikiria kumuachia mzee Jophu mke wangu.Tena hajawahi kuguswa na mtu yeyeto maishani. Kwa kweli inatia uchungu sana heri ningekuwa<span style=""> </span>nimezaliwa na udhaifu huo kuliko kunikuta<span style=""> </span>nikiwa mtu mzima. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mzee Jophu huyu ni mke wangu, kwa upande mwingine naweza kusema ni mkeo. Nina matatizo ya,,,,,,” hasira kali iliniingia moyo nikashindwa kumaliza, nilijikuta nikiangua kilio. Moyo uliuma sana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kweli kweli na muachia Jophu kigoli wangu?”Nilimtizama Getruda kama vile nikimuaga, sikuweza kukwepa jambo hilo tena.Kwa kuwa lilishakuwa kero katika familia yetu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naomba uwe karibu na mke wangu, kama ulivyo karibu na mkeo, lakini,,,,,,,,,,naomba unifichie siri yangu, heshima iwepo msije mkachukulia muda huo kunidharau, nami sikupenda kuwa hivi,,,”Nilikokoteza maneno kwa ujasiri . <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Ok, nashukuru kumfahamu mkeo, na nitaendelea kumfahamu vizuri, zaidi kadri siku zinavyo zidi kwenda” Mzee Jophu aliongea huku akinyanyuka kuelekea alipo Getruda. Alinishika mkono na kuunyanyua usawa wa midomo yake, hakuchelewa nilisikia sauti ya busu kwenye kiganja cha mke wake wangu. Busu hilo lilimchanganya mke wangu na kujikuta mwili ukimsisimka, vinyweleo na nywele zilisimama kwa shoti ya busu la mzee Jophu.Nilibaki nimeduwa, midomo ikiwa wazi kama sekunde kadhaa.Bila hofu wala haya, walijikuta wamekumbatiana na Mzee Jophu alisogeza midomo yake karibu kabisa na sikio akimnong’oneza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kweli kwenye miti hakuna wajenzi, nitakutunza kama mlima Kilimanajaro unavyotunza Seluji yake, nitakupa chochote unachotaka, ikiwezekana nitakuoa kabisa, nakupenda siko tayari kukuacha, naamini unanipenda” Sauti ya Mzee Jophu ilizidi kumtekenya Getruda, alijikuta akitikisa kichwa ishara ya kukubali.Alishindwa kujizuia kutoa sauti za kizizima, taratibu kwa jinsi maneno ya Jophu yaliyokuwa yakipenyeza<span style=""> </span>sikioni angali yana uvuguvugu, kwa wimbi lenye joto nadhifu.Mzee Jophu alimwachia na kuketi karibu nae.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mambo yote niliyaona. Kwa jinsi roho ilivyoguguna niliondoka sehemu ile na kuingi chumbani, nilimpenda sana mke wangu, sikupenda awe mke wa shirika wala sikupenda kuona akishikwa shikwa na mtu zaidi yangu. Japo nilikuwa na wivu lakini nilishindwa kwa sababu nilipata udhaifu, ikanilazimu kuvumilia na kuhamisha<span style=""> </span>macho, na kutizama pembeni.Pia hilo lilinishinda nikaamua kujiondokea kiunyonge kama kifaranga asiye na mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kuondoka kwangu, ulikuwa mwanya wa Jophu na mke wangu kupanga mambo yao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oke nimeamini umeumbika sawa, kama asingekuwa<span style=""> </span>Sweedy basi ningekuoa mimi. Bado sija chelewa. Nina nafasi kubwa ya kukuoa”Huo ndio ulikuwa mwanzo wa usaliti wa ndoa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hata mimi nakiri umbo lako ni zuri na lakuvutia. Najuta kuolewa na huyu mchovu asiye na umuhimu wowote ndani ya ndoa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mzee Jophu alidakia “Ni kweli, sio vyote ving’aavyo dhahabu. Vingine aluminiamu ama bati,”alitulia kidogo na kumkodolea macho yaliyojaa ubembe, kisha akanyanyua mkono wa Getruda na kumbusu kiganjani, akakohoa kidogo na kusema “Sawa, tupange tukutane wapi?”Ilikuwa ni sauti ya nzito ya Jophu ikinguruma varandani<span style=""> </span>kwangu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mimi naona tukutane Hoteli yake Sweedy mwenyewe, pale sea breez inn hotel ili tuwaonyeshe watu na hata wafanyakazi wake kuwa Sweedy ni dhaifu”Mke wangu alianza dharau akitaka wakutane kwenye hotel<span style=""> </span>yangu, ili kunidhalilisha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kesho saa kumi jioni, nafikiri utakuwa muda muafaka wa kujipumzisha,”Getruda alizungumza huku akimtolea Jophu macho ya kurembua na ya unyenyekevu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaa!, kesho mbali. Ok<span style=""> </span>kumbe saa hizo karibu giza. Sawa usikose mpenzi”Walipigana mabusu ya kuagana na Mzee Jophu alimalizia .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Niote njozi njema usiku. Tena zilizo jaa mahaba”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usijali mpenzi, zote nzuri zitakuwa juu yako”Mzee Jophu alitoka na mke wangu alirudi na<span style=""> </span>kunifuata kule chumbani, kwa kusema kweli moyo wangu ulipata sononeko la roho, nilibaki nikiyaganga maumivu ya moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Walipanga sehemu ya kukutana bila ya kukosa, wote walikuwa na shauku moja. Ilikuwa jioni tulivu watu walikuwa wana kunywa na kula. Alionekana Mzee Jophu akiingia na mke wangu SEA BREEZ INN HOTEL. Waliongozana hadi mapokezi, na kuandika jina la kunikashfu kwenye kitabu cha wageni, bila aibu mbele ya wafanyakazi wangu. Hata kama walifanya hivyo wasingefanya kwenye hoteli yangu, wangeenda sehemu wasio julikana.Yote<span style=""> </span>walionifanyia ni kunidhalilisha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Jina tuandike nani Mzee” muhudumu aliongea kwa wasiwasi, baada ya kumwona mke wangu, ambaye alikuwa kama bosi wake.Mzee Jophu aligeuza shingo kumtizama Getruda, Kabla hajajibu kitu mke wangu alidakia “Andika Sweedy dhaifu” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana bosi, anatakiwa kuandika jina lake kamili .Hilo sio jina kamili” aliongea kwa sauti ya chini huku akitetemeka. Alihisi<span style=""> </span>mawili, kupokea tusi ama<span style=""> </span>kibao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sio jina kamili.Unafahamu jina lake?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sifahamu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama hufahamu , mbona unasema si jina lake kamili?”Yule kijana akaanza kutizama chini kwa hofu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nimekuambia uandike jina nililokutajia,upesi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mama .Siwezi kuandika jina hilo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wee, mpumbavu nini!.Nimekuambia andika, kama hutaki huna kazi. Fungasha virago uondoke,”Getruda alizidi kumuamrisha sambamba na kidole alichoelekeza jichoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ilimbidi akubaliane na matakwa ya bosi wake, kwa kuwa hakuwa na sauti na alijua Getruda ni mke wangu, asingefanya hivyo kibarua kingeota nyasi haraka.Walichukua chumba, kila aina ya vinywaji<span style=""> </span>viliingizwa chumbani humo bila ya aibu.Kijana alishindwa kuvumilia yote aliyoyaona.Aliumia rohoni na kuona kama yaliyotendwa alitendewa yeye.Hakupenda kuona mke wa tajiri yake akifanya mambo ya kishenzi, tena ofisini kwake bila aibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Chumba changu kilijaa utulivu uliovunjwa na muziki wa taratibu uliosikika redioni.Nilikuwa nimejipumzisha kitandani chali, nikiwa nasikilisa mwambao ambao uliniwezesha kusikia mtu ambaye angeponyeza kitufe cha kengele getini. Mawazo yangu yalilenga matatizo yaliokabili mwilini mwangu.Hasa gonjwa ambalo limenifanya nimruhusu mke wangu awe na bosi wangu. Mara simu ilianza kuita,nilishituka na kutizama mahala nilipoiweka.Nilipoiona, nikanyoosha mkono kwenye droo ya kitanda na kuiokota upesi.Sikutizama hata kwenye kioo kuona namba za aliyepiga,niliipokea mara moja na kuipeleka sikioni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hallo Sweedy hapa. Nani mwenzangu?” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilisikia upande wa pili ukijibu kwa kuhemea juu juu.“Mimi John naongea, Mzee nimemuona mama amechukua chumba yupo na Mzee mmoja, ameandika jina la mgeni Sweedy dhaifu” sauti ya John iliingia lakini hata hivyo nilihisi masikio kuchuja herufi.Nilishituka na kubaki mdomo wazi nikiwa nimetoa macho kwa mshangaa mkubwa.Nilihisi mapigo ya moyo yakienda kasi zaidi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Umesema umemuona mke wangu wapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Sikuamini nilirudia kwa ukali kidogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapa hotelini kwako,mzee”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Khaa,nisubiri nakuja.Wala usiwashitue”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa,mzee”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilikata simu kwa ghadhabu kali.Sikupenda kupoteza muda, nilichukua bastola na kuificha kibindoni. Nilifungua mlango kwa upesi na kutoka varandani, nilionekana kuchanganyikiwa .Nilipofika varandani nikajikuta sikuwa nimevaa viatu.Ndipo niliporudi kuvaa.Nikiwa nje ya jengo ,nilimpigia simu dereva wa teksi niliyefahamiana nae aje kunichukua.Haikuchukua muda , niliona gari jeupe lililo pigwa msitari mweusi katikati likiegeshwa nje kwangu,nilitambua ni gari la bwana Jangala, yule dereva mashuhuri wa teksi pale soko kuu Arusha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Bw.Jangala naomba unifikishe hotelini kwangu.Nimesahau kidogo,hivi nikiasi gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mzee,umsahaulifu kweli.Unaonekana mwenye mawazo mengi.Kutoka hapa njiro mpaka pale Sakina ni sh,elfu tano tu,mzee”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hakuna tabu.Washagari twende.Samahani nina haraka,hivyo ikakupasa kutembea mwendo wa kasi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa, mteja kwangu ni mtukufu”Jangala alisema akikanyaga mafuta, wakati huo gari likizunguka ‘Kiplefti’ ya kwanza kutoka kijenge juu.Nilielekea moja kwa moja ilikushuhudia uzalilishaji.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ama zangu ama zao, heri niwaue nami nife”Nilitulia kidogo nikitafakari ,nimbinu gani nitumie ilikuwa kuwanasa wote kwa mpigo.Yaani kumkabidhi Jophu imekuwa nongwa.Ajabu ni kwamba hazijapita hata siku mbili ananidhalilisha? Kweli rafiki mkia wa fisi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">***********<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilionekana kuchanganyikiwa badala ya kuingia chumbani nilijikuta naingia chooni nilistuka ndipo akili ilipo rejea vema. Nilichomoa bastola yangu na kuelekezea mbela tayari kwa vitachumba walichochukua kilikuwa cha mwisho kabisa. Nilipokaribia chumba, nilisikia sauti za kilio kikubwa chumbani humo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oooooo! Jophu unaniumiza unaniua jamani!niachecheeeee!…nakufa!”Sauti ilikuwa nzito ilioitikia<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Tulia mpenzi niku………kuku…….tengeneze.Unana……najua….wewe ..ni mzuri sana lazima nikuoe”Mzee Jophu alikokoteza maneno kwa kigugumizi kikali akiwa kifuani mwa Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><span style=""> </span>Sauti hiyo ilinilegeza viungo,nikajikuta kuishiwa na nguvu.Machozi yalianza kuchururuzika kwa kasi nilijaribu kuyafuta kwa leso lakini bado haya kukoma.Nilipitisha mkono kuhakikisha kwenye mpini wa bastola kuhakikisha kwamba ipo.Nilipoigusa nikahisi ipo,nikaitoa na kuitizama kwa uchungu sana.Nikasogeza risasi kwanye kifyatuo cha kuruhusu itoke,ilipoitikia ‘Katan’g..katan’g’Nilitikisa kichwa kwa fuhara ya kukusudia kufanya lile nililofikiri kulifanya kwa wakati huo.Nilitembea kwa hadhari mpaka dirishani walimo Getruda na Mzee Jophu.Nilijaribu kuchungulia lakini sikufanikiwa kuona ndani kwakuwa kulikuwa na pazia nzito.Lakini kwa kelele zile ,nilifikiri nikipiga risasi kwa kuhisi ningewaua kwa pamoja.Nilipozidi kusikiliza kelele zao ,niligundua walikuwa karibu na lile dirisha niliposimama.Niliuelekeza mdomo wa bastola yangu aina ya G3 rafles dirishani.Nikaingiza kidole ambacho nilitegemea kuwaulia .Kabla sijafyatua risasi,nilishikwa mkono na mtu aliyekuwa nyuma yangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kaka usiwaue.Utajiingiza matatani bure.Nenda kapumzike nyumbani,hasira hasara kaka”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mtu huyo alinisihi akiwa ameing’ang’ania bastola.Kwanza aliniomba nitoe risasi zote zilizomo ndani ya bastola.Nilipofikiri nikaona hakukuwa na ulazima wa kubishana nae.Nilizitoa,akasema “Kaka naomba unipatie hizo risasi .Najua unahasira unaweza kufanya lolote”Nilimpatia nikijua kama ni kujiua basi naweza kutumia njia nyingine.Nilipompatia alizihifadhi mfukloni mwake. Kila nilipofikiria, niliona kuwa sio suluhisho heri kufa mimi kwa aibu niliondoka eneo lile, wahudumu walikusanyika wakinitazama kwa huruma, wengine waliniomba niende niachane nao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Waliendelea kuvuta raha na wote waliyafurahia mapenzi yao, hasa Getruda aliamini amepata mwanaume bora, ambaye asingemdhulumu haki ya unyumba. Alitumaini na alitamani kuzaa na mzee Jophu ili kuondoa maneno ya mtaani kuwa ni mgumba, alitegemea msaada mkubwa na juhudi za Mzee Jophu ili naye aitwe mama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Niliona<span style=""> </span>Dunia chungu mithili ya shubira, kila nilipo kumbuka maneno ya Getruda na Mzee Jophu<span style=""> </span>nilitamani<span style=""> </span>nisitishe uhai wangu, sikuwa njia nyingine ya kuwepuka aibu ile, wakati na waza nafasi nyingine ilininyima kufanya<span style=""> </span>uamuzi huo na kunitaka niwe na subira. Niliamua kunywa pombe ili kupunguza mawazo lakini mawazo yalizidi kutawala ubongo wangu kadri nilivyokunywa, niliamua kusitisha kilevi, Sononeko liliendelea kunitawala, nikajiona ni mtu dhaifu kuliko watu dhaifu wote duniani. Muda mwingine nilijaribu kufariji kuwa ipo siku mungu atasikia kilio changu na kunipa nguvu za ajabu,Maneno, “MUNGU UNAJUA MATESO YANGU” yakawa gumzo akilini kila siku.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Yaani mke wangu ananidhalilisha kiasi hiki? Kweli yote haya ni kwasababu ya udhaifu wangu,naamini mungu atasikia kilio cha mja wake na ataniponya gonjwa hili na kunipa nguvu ili kuinusuru ndoa yangu isivunjike”Niliongea huku nikiwa nimefumba macho, kichwa nikiwa nimekiinamisha, kikiwa kina saidiwa kushikiliwa na viganja vya mikono.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Pamoja na mawazo, hasira za kudhalilishwa. Bado nilikuwa na mpenda mke wangu, nilimsubiri aje tukajipumzisha chumbani na kuongea utofauti uliojitokeza. Kila nilipotizama<span style=""> </span>saa ya ukutani, niliona mshale kama unaenda mbele na kurudi nyuma, hali ile iliniadhiri kisaikolojia. Nilikuwa nikiingia chumbani na kutoka, chooni na kutoka bila kufanya chochote. Nilitamani kulala lakini sikupata hata tepe la usingizi. Nilijikuta kutomlaumu tena mke wangu,kwani yote ni kwa sababu sikuweza kumtimizia haki yake, nafsi nyingiune ilipinga na kusema “Matendo aliyofanya ni ukosefu<span style=""> </span>wa adabu na kutoheshimu unyumba, kwanini asifanye siri?”.Kila nilipokumbuka macho yalijaa machozi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">*****************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ulikuwa usiku wa saa sita na nusu, usiku mzito,Mwezi ukiwa umefunikwa na wingu zito na ukungu mkubwa ukiwa mbele yake, mwili wake ulionekana kuchoka mno!,akiwa anachechemea,mwendo ambao ulikuwa tofauti toka kumuoa.Alinyanyua mkono sambamba na jiwe alilookota na kuanza kugonga mlango kwa kishindo.Sikugonga tu pia kinywa chake kilipayuka maneno machafu bila kujali alionitende.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wewe mlinda nyumba umelala au upo macho?. Katika wasio na faida mmojawapo ni wewe,wajanja wameondoa boma la mapenzi. Wewe unafananishwa na shoga, mlinda nyumba. Funguaaaa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Dharau na maneno ya kashfa niliyasikia kwa usikivu wa masikio yote mawili, maneno yalikuwa angali ya moto, nilihisi homa kali ikinitetemesha mwili, nafsi ikakata tama ya kuishi kwa maisha ya manyanyaso, udhalilishaji na matusi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilifikiria na kumfungulia mlango na kumuamuru aingie ndani, Getruda aliingia kwa miondoko ya maringo huku akivumilia maumivu aliyoyasikia kwenye via vya uzazi. Macho ya dharau yalinitizama kuanzia unyayo hadi kichwani na kunipindulia midomo iliyojaa dharau kem! Kem!, hakuishia hapo alinisonya na kutema mate pembeni, akijifanya anasikia kinyaa kunitizama.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mambo baba wa nyumba”, akimaanisha mimi ni kama mlinzi wa kulinda nyumba, sina mamlaka na penzi lake wala siwezi kutia neno kuhusu kuchelewa kwake kufika nyumbani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Niliitikia salamu yake kwa shingo upande, sikupenda kumuudhi mke wangu, nilitambua jinsi gani mtu anavyoumia pindi apatapo sononeko la roho. Kwa sauti ya chini na ya upweke, hasira ikiwa imenikaba kooni. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mke wangu umetoka wapi saa hizi, na ulikuwa unafanya nini?” Nilijizuia ili mke wangu asijue kuwa nilikuwa na hasira, hata hivyo nilishindwa kujizuia kulia, mwili mzima ulitetemeka, macho yakabadilika rangi kuwa mekundu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nimetoka SEA BREEZ INN HOTEL kukagua mahesabu ya leo”. Getruda alijaribu kuongea uwongo mtupu!, bila kupepesa macho, mboni wala kope za macho, macho maangavu yasio na siri hata chembe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nakubali umetoka SEABREEZ INN, lakini sio kukagua mahesabu, bali umeenda kwa mambo ya ufuska.” Hasira ilizidi kupanda kila nilipomtizama, mwili ulizidi kutuna kwa hasira na jasho lilitoka kila sehemu yenye vitobo vya vinyweleo mwilini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana mume wangu sikuwa nafanya ufuska” maneno yake yalinichanganya, nikaamua kuchukua uamuzi ambao haukuwa akilini, niliamua kumuua mke wangu na nilikuwa na sababu za kumuua, sikuwa tayari kutupiwa jicho na jamii kwa udhaifu wangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilitoka nilipokuwa, nikaingia ndani upesi, sikupenda kupoteza muda niliokota jambia lenye makali kila upande, lenye kuwaka waka hata gizani, nililitizama na kuamini kwamba ningelipitisha mara moja ningeachanisha kichwa na kiwiliwili cha Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hakuna tena kumuuliza. Sio matangazo ya vifo.Nikifika ni kuachanisha kichwa chake”. Niliondoka nikimfuata alipo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Lazima nimuue Malaya huyu.Tukose wote, siwezi kujiua lazima nimuue leo leo”.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilipofungua mlango, aliniona nikiwa na jambia lenye makali, aliamini kunusurika na kifo ni asilimia mbili na zilobaki zilikuwa kifo, hapakuwa na upenyo wowote wa kukimbilia kujinasua na mauti, “Haaaa!” Alihamaki na kujikuta<span style=""> </span>anapiga kelele za kuomba msamaha.Ili nisitishe zoezi la kumuua bila mafanikio yoyote, sana sana niliongeza mwendo<span style=""> </span>nikimfuata, jambia nikiwa nimeliinua juu tayari kutawanyisha shingo na kiwiliwili.<span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu naomba unipe nafasi ya mwisho nikueleze yote yaliyotokea. Naomba unisamehe usitoe uhai wangu, naamini utaridhika na matokeo. Kumbuka kuna Mungu nae anayaona unayotaka kunifanyia” aliendelea kulia, akiomba msamaha huku akirudi kinyume nyume taratibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilikusudia kumuua na sura yangu ilibadilika na kuonyesha dalili za kuua tu!, moyo wa huruma uliondoka; kwania<span style=""> </span>ya kumchinja kama kuku anavyochinjwa na kisu chenye makali. Nilizidi kumfuata alivyokuwa anarudi nyuma, hasira ilitawala machoni. Ilikuwa si rahisi kumsamehe kamwe!.<span style=""> </span>Wakati Getruda anarudi nyuma aliikwaa kwa nyuma na kudondoka chini kwa chali, hakuwa na njia nyingine ya kujinasua na mauti, aliamua kusubiri mauti yamfike.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nililikamata jambia vizuri kwenye mpini wake kwa mikono miwili.Kitendo chakutakakulishusha Getruda alishituka na kuzirai pale pale, aligeuza macho, nilisitisha kumuua.Nilitaka kumuua akiwa na nguvu zake zote na nilitaka afe kifo cha mateso.Nikaweka jambia pembeni na kuinama kuhakikisha kama alizirai kweli ama ilikuwa janja ya nyani.Niliposikilizia<span style=""> </span>mapigo yake ya moyo yalikuwa mbali sana. Sikutaka kumpeleka hata hospitali<span style=""> </span>nilitaka afe mwenyewe, si tena kumtibu, nilimchukia Getruda kwa mambo<span style=""> </span>aliyonitendea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nililiokotajambia langu nakulirudisha chumbani.Nilimuacha pale sakaruni akiwa kalala chali.Nililitupa uvunguni kwa kitanda na kikajitupa kitandani kifudi fudi. Muda mfupi<span style=""> </span>usingizi ulinichukua, niliposhtuka ni ndege waliokuwa<span style=""> </span>wakiimba alifajiri. Niliamka na kufungua mlango waVarandani. Nilipochunguli niliona bado Getruda alikuwa vile vile alivyodondoka usiku. Nilishindwa kujua kuwa alikwisha kufa<span style=""> </span>au laa!.Kwa vile nilikuwa mbali kidogo. Sikupenda hata kumsogelea, nilifunga mlango, nikakiendea kitanda kuendelea na usingizi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nikiwa usingizini nilishituliwa na mlio wa simu, nilipoipokea nilisikia sauti ya mwanaume na sauti hiyo haikuwa ngeni masikioni mwangu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“ Hallo, vipi Bw. Sweedy?”alisema tu baada ya kusikianimepokea.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>“Poa, nani unaongea”Nilimwuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mimi Jophu, nauliza jana mkeo amerudi salama?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Sikujibu kitu zaidi ya kuikata simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Baada ya saa moja hasira ilipungua, moyo wa huruma uliniingia, nilitoka na kumfuata Getruda alipo,<span style=""> </span>hali yake ilizidi kuwa mbaya, damu zilimtoka puani, mapovu mdomoni. Nilimpigia simu mteja wangu Jangala aje nimpeleke Getruda hospitali,Kama kawaida Jangala hachelewi alifika na tukampakiza Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vipi?.Mkeo ana matatizo gani?”Jangala aliniuliza wakati akifunga mlango wa nyuma alipo Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Anasumbuliwa na shinikizo la damu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Oooo! Pole sana Bw, Kachenje”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nishapoa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Tunampeleka hospitali gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naona tumpeleke Hospitali ya rufaa Mount Meru”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Poa”Alijibu na kuondoa gari kwa kasi,huku likiwa limeacha vumbi zito nyuma.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilimfikisha hospitali ya Mount Meru kwa matibabu. Aliingizwa chumba maalum cha wagonjwa waliozidiwa ACU na muda mfupi aliwekewa mashine ya kumsaidia kupumua. Walipomaliza walimtundikia maji ya mwili. Daktari walijitolea kuokoa maisha ya Getruda kadri walivyoweza. Muda mfupi nikiwa kwenye benchi, niliona mlango ukifunguliwa, alitoka nesi mmoja mwenye asili ya kiarabu, kwa haraka nilijikuta moyo ukinipasuka. Nilimfananisha na Jenifer niliyekutana nae nchini Thailand. Alinifuata pale nilipokuwa, kitu kilichokuwa tofauti ni kwamba yeye alivaa magwanda meupe, “ Halo, kaka wewe ndiye muuguzi wa Getruda Kimario?” nilishindwa kumjibu midomo ilibaki wazi, niliamini kwa hali mbaya ya Getruda nesi aliniletea taarifa mbaya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani kuna nini nesi!…naomba unieleze!”niliongea mwili ukinitoka jasho pamoja na mambo mabaya Getruda aliyo nitendea lakini<span style=""> </span>nilimpenda sana. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usiogope kaka. Niambie wewe ni muhusika?” Alisema tena kwa sauti ya chini.Nibaki nimeduwaa kama sekunde kadhaa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ninani kwako?”Aliuliza tena ,lakini safari hii alionekana kukasirika. Nilishindwa kumwambi nilibaki machozi ya kinichuruzika, “Hata nikisema ni mke wangu sijawahi kukutananae kimwili, sasa ni mwambie mimi ninani wake?.Nikiwa nawaza, nikajikuta naropoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ni dada yangu” niliongopa<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok, pole sana<span style=""> </span>mungu amemsaidia. Sasa ananafuu”akatulia kidogo na kunitupia tabasamu pana lililoshiba midomoni mwake.Kisha akasema “Tunategemea kumpa ruhusa kesho. Mungu akipenda”Nilipandisha pumzi na kuishusha kwa nguvu”oooophhhh!” nikajifuta jasho.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kesho yake Getruda aliruhusiwa kurudi nyumbani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">*****************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Tukiwa sebuleni nilianza kumueleza Getruda. Moyo uliniuma kila nilipo kumbuka aliyonifanyia “Mke wangu kama ingenipasa kusema, nini kinacho ikera nafsi yangu ni kuni dhalilisha ndani ya kadamnasi, sio wafanyakazi wangu wa wageni, wote wanafahamu ulilolifanya, na isitoshe ile ni hotel yangu unadiriki kufanya mapenzi ukitoa kashfa ili kuinufaisha jamii, kumbuka aibu si yangu pekee, ni yetu wote.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Sijui ni mkate sikio au nimpe kilema kwenye via vya uzazi ni mchome na moto wa umeme (hita)asiweze kufanya tendo la ndoa maisha?.Ndio itakuwa fundisho,kiherehere<span style=""> </span>kitamuisha”wakati na waza cha kumfanyia, nilikatishwa na sauti.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu kumbuka wewe ndio uliyenitafutia mwanaume wa kuniridhisha kimapenzi, ilinijisikie nina mume, basi kama ni hivyo nami sitaki penzi la mtu mwingine wa nje. Nataka penzi lako nilikubali kwa kukuheshimu. Mwanamke kawaida hatafutiwi mume, anatafuta mwenyewe, hisia zote nilizoweka kama nipo na wewe, iweje useme na kudhalilisha, kama utashindwa leo kesho nataka talaka yangu,asubuhi na mapema, umenielewa?”Getrudaalinisemesha kwa ukali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sio nimekukataza usiwe naye, kinachonikera ni kunidhalilisha na kutoa siri ya unyumba wetu, sina wivu na mapenzi yako.Ninachotaka unihifadhie siri moyoni mwako”niliinamisha kichwa chini kama kobe.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume wangu nakutunzia heshima kuliko mtu yeyote duniani, nashangaa!unapo sema nainfaisha<span style=""> </span>jamii. Kama angekuwa msichana mwingine asinge vumilia hata wiki moja, na washukuru wazazi kunifundisha uvumilivu ndani ya nyumba”Aliendelea kuongea,asijue nina mawazo nini moyoni.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Tukiwa kwenye mazungumzo,nilisikia simu ikiita,nilijipapasa kama ilikuwa simu yangu.Nilipotizama pembeni nilimuona Getruda akitoa simu yake kwenye pochi ndogo ya rangi nyeusi iliyojaa nakishi nyingi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hallo, uko wapi?”Getruda alipokea tu,baada ya kuona jina juu ya kioo cha simu.Niligutuka nikahisi mtu huyo anamfahamu,ndio maana alimuuliza aliko.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaa..nipo Makutano bar hapa napata moja baridi moja moto.Vipi mume bwege yupo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Yupo anakusalimia”Getruda alisema na kunitupia jicho ,akacheka kidogo na kuendelea, “Utakuja kutusalimia?”Getruda aliongea akiniongoa wasi wasi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ninani huyo unaongea naye?”Nilijikuta nikisema wakati Getruda anaongea na simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wivu umekuzidi mume wangu.Kila kitu unataka kujua hebu chukua basi uongee naye”Getruda aliibadilikia kwa ghafla,alinyoosha mkono wake akitakakunikabidhi simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sihitaji kuongea nae,nimekuuliza kwani vibaya?.Nilifikiri ni mama amekupigia simu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana.Nirafiki yangu”Kisha akaendelea kuongea nae.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Samahani kwa usumbufu uliojitokeza.Mume wangu anwivu ilembaya”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa wivu wanini wakati hayawezi?”Sauti nzito upande wa pli ilisikika ikisema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hata mimi nashangaa!”Getruda alidakia na kuangua kicheko kikubwa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mpenzi sikia…..naomba ufike sasa hivi hapa Makutano bar”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mama anaumwa sana!.Ehhe mmempeleka hospitali?”Getruda aliongea maneno hayo akiwa tayari kesha kata simu.Aliendelea kuongea simu ikiwa imekatika ilimradi anipumbaze “Ana umwa na nini hasa?” alitulia sekunde mbili hivi akaendelea, “Ooo! My god .Kuna uwezekana wa kupona?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">alitulia tena sekunde kadhaa hivi, “Sawa.Ninakuja sasa hivi huko”Akajidai kukata simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vipi mbona jasho linakutoka?.Mama anaumwa na nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Nilimwuliza sekunde chache alipokata simu. “Mama alidondoka ngazi akiingia kanisani”Getruda aliongea kiupole kabisa, akionekana kujizuia kulia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kanisani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio.Na hivi sasa yupo amepelekwa hospitali ya Kcmc kwa matibabu” Safari hii alifura na alifanya kulalamika chini chini. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ooo! Pole sana mke wangu.Unaonaje nikaoga tukaenda wote?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Utanichelewesha sana”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi siogi tena. Ngoja nivae twende,tena nina siku nyingi sijaenda kumsalimu”Niliongea nikiamka kitini, tayari kwa safari.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana.Nitakuletea taarifa ya hali yake.Nyumba tutamuachia nani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hilo halina shida.Nisubiri”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sitaki bwana. Wee kila mahali unataka kuongozana na mimi.Nimeshachoka, ngoja niende kisha kesho nikirudi nitakuja kukuchukua kwani hata kupajua hupajui.Unapafahamu pale tulipokuwa tukiishi zamani” Nilisimama kama mlingoti ,nikavuta pumzi na kuzishusha kwa nguvu.Nikatikisa kichwa na kusema “Sawa.Kama hutaki nikapajua kwenu leo ….hata kesho nitapajua”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Niliona Getruda akitoa tabasamu kubwa ,hakuishia hapo alinifuata nakunibusu shavuni “Mwaaaa”Kisha akaokota kipima joto chake,na kutoka kwa haraka akionekana mwenye wasi wasi mkubwa.Alipofika mlangoni aligeuka na kunitizama kama akinihurumia vile,sikugundua kitu ,nilibaki nimeduwaa.Akanipungia mkono na kusema<span style=""> </span>“Bye bye”Nami nikapunga kono langu zito kigoigoi bila tabasamu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Getruda alimpigia simu mteja wetu wa kila siku katika usafi,si mwingine bali Jangala. “HalloJangala tafadhali naomba unichukue hapa nyumbani”alisema baada ya simu kupokelewa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa.Namshusha abiria hapa mjini nakuja”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok”Alijibu na kukata simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Kama kawaida yake Jangala huwa hakaidi na hana tamaa.Aliingia na kusimama mbele ya Getruda binti Kimario.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shem vipi.Wapi leo pa kula kuku.Si unaelewa wiki end”Jangala alimtania Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio. Wiki end lakini kwangu imenijia vibaya .Nimepata taarifa mama yangu mgonjwa.Naomba unifikishe karibu na Makutano bar nikampe taarifa shangazi yangu.Kisha utaendelea na safari yako.Mimi nitakupigia kama nitakuhitaji tena”Getruda alidanganya.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa.Riziki ndogo ndogo hizi usininyime shem.Pole sana kwa kuuguliwa na mama yako”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nishapoa shem”Alimjibu kiunyonge.Getruda hakuuguliwa wala nini.Alipokuwa akienda ni Makutano bar kukutana na Mzee Jophu Kundy.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Katika mazungumzo yao walijikuta kufika Makutano bar, “Tafadhali nishushe hapa.Kuna uchochoro<span style=""> </span>gari haliwezi kuingia huko.Shilingi ngapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Elfu nne zinatosha shem”Jangala alisema akimtizama Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Punguza shem.Hujui mimi mteja wako?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Petroli imepanda bei sana shem. ‘Any way’ nipe tatu unusu”Jangala alisema .<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Getruda alimpatia Jangala elfu tatu na mia tano,akashuka<span style=""> </span>garini. “Usihaike shem.Nitafunga mwenyewe mlango.Mteja kwangu ni mtukufu”Jangala alisema baada ya kumuona Getruda anataka kufunga mlango. Getruda alijidai kama anaingia uchochoroni ili Jangala aondoke zake.Alipogeuka aliona gari la Jangala likiishia bali kabisa.Aligeuka na kurudim kuelekea kule Makutano bar.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">*****************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Ndani ya makutano bar,alionekana mwanaume wa makamo.Kwa kumtizama ungeweza kukisia anamiaka hamsini ama hamsini na tano.Kichwa chake kilikuwa na mvi za kuhesabika.Uso wake ulisha anza kuwa na makunyanzi ya uzee.Alivaa suti ya kahawia,na viatu vya pembe nne ‘Four angile’.Shingoni alinyonga tai ya bluu iliyozidi kumfanya maridadi.Mkononi alivaa saa ya seiko 5 ya dhahabu.Meza aliyoketi ilijaa vyakula na vinywaji.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mara kwa mara aliinua mkono wake wa kushoto akitizama muda,alipomaliza aligugubia glasi ya bia mdomoni na kuirudishia glasimezani.Pia muda wa kuiacha pombe ishuke vema tumboni alitupa macho yake lako la kuingilia wateja.Safari hii ilikuwa mara ya kumi kutizama lango hilo,alipohamisha macho aliyapeleka kwenye glasi ya kinywaji,akaona kama bia ilishaisha glasini,alikamata chupa ya bia na kumimina kiasi kwenye glasi ya bia.Hakuchelea aligugubia kama mikupuo miwili bila kuishusha mezani,alipomaliza akacheua kama mara tatu hivi,alihisi kilevi kikipanda vema ndani ya ubongo.Akajikuta akicheka mwenyewe<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mimi ndiye.Mwingine hakuna”Alisema nakutizama simu yake.Aliiokota nakujaribu kupiga,simu aliyopiga iliita bila kupokelewa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Shiit.Kwanini hapokei?”alipayuka kwa ghadhabu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Hakuchoka akapiga mara ya pli,iliita tena,akasikia ikipokelewa “Hallo Prety girl.Uko wapi mbona hupokei simu yangu?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nakaribia jengo la Makutano hapa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa. Nakusubiri kwa hamu wa moyo”Walikata simu.Mzee Jophu akawa habandui macho lango la kuingilia,alitaka kumwona Getruda akiingia kwa madaha.Ghafla aliona mlimbwende akiingia kwa mapana na kumfanya kila aliyeko mle ndani kumtupia jicho.Getruda hakuwa mzuri sana wa sura,lakini umbo lake na makalio ndio kichochezi kwa wanaume rijali.Kila alipovuta hatua ,makalio yake yalitikisika mithili ya mawimbi baharini.Nafiki jambo hilo ndilo lililomfanya Mzee Jophu ammezee mate mke wangu.Si kwamba na msifia kwa vile ni mke wangu,hapana.Njoo kwangu Arusha ushuhudie, ukweli wangu.Lakini kwa sasa ni mzee sana.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kaaaa, kakaka!”alionekana kijana mmja aliyeko nyuma ya mzee Jophu akihamaki,mfdomo ukiwa wazi kwa mshangao na mkono ukiwa umeshika<span style=""> </span>mdomo wa chini,Jicho likiwa limemtoka kama ndulele iliyoiva.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mkindu wavona ilo ibora ledha aho”Kijana huyu alimwambia mwenzake kwa kilugha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Akimaanisha “Mkindu umeona lisichana hilo linalo kuja hapo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikirumo ilo!”Mkindu alijibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hilo ni balaa!” Wakacheka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mzee Jophu alimsindikiza Getruda kwa macho ya matamanio hadi alipomkaribia kabisa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vipi.Mbona umechelewa ?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mume bwege alikuwa akinichelewesha”Getruda aliongea akivuta kiti kilicho wazi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Achana nae.Ukisha mkabidhi fisi bucha unamatarajio gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kuokota mifupa”Getruda alidakia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hakuna kinachobaki.Fisi gani anakuachia mfupa!”Wakacheka na kupigana mabusu.Kisha akagonga meza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Muhudumuuu”aliita.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nakuja”sauti ilisikika kwa mbali kidogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kuja haraka.Watu wanapesa zao hazina pakwenda”Alisema akijiamini kabisa.Getruda alimtizama akagundua mzee Jophu alishaanza kulewa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mpati wa moyo wangu kinywaji chochote anachotaka upesi”Muhudumu akaitikia sawa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Dada nikupatie kinywaji gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoHeading7" style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Henken ya kopo.Usisahau mrija tafadhali”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ya baridi au moto?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaaa! Vuguvugu.Nitapata?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usihofu,utapata”Muhudumu aliondoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mpenzi nimekuita nina jambo muhimu la kukueleza,hivyo basi naomba uwemsikivu”Alitulia kidogo na kuokota glasi ya bia,hakuchelewa alimimina bia yote na kurudisha glasi tupu.Akacheua mara mbili nakuendelea “Kwanza kabla ya yote. Napenda unihakikishie kwamba unanipenda”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nakupenda sana mpenzi inamaana hujagundua bado?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoHeading7" style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ninyi wanawake mnabadilika sana.Lazima kila tunapokutana tuulizane jambo hili”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Si wote bwana.Unajua ninyi wanaume mkionyeshewa kama mnapendwa sana vichwa huvimba na kujiona mna matilaba ya kufanya lolote juu ya mwanamke”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ni baadhi ,si mimi Jophu”Akasema na kusogeza kiti jirani na Getruda.Kabla hajaendelea tayari vinywaji vililetwa,Henken ya Getruda na safari ya Mzee Jophu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Karibuni”Muhudumu alisema.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ahsante”Getruda akajibu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Wee binti mwite mchoma nyama tafadhali”Hakukawia kufika mchoma nyama. “Kata nyama ya kidari,ile laini…umeelewa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio,bosi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haya futikaa”Alisema kiulevi ulevi.Akamgeukia Getruda, “Wife,sasa tuendelee na mazungumzo yetu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kama umenidhihirishia unanipenda utakuwa upande wangu kwa lolote lile,si ndivyo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndivyo”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikisema kitu kwa manufaa yetu lazima tusaidiane,sivyo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndivyo”alijibu kiupole hakujua ni jambo gani anataka kuelezwa wakati huo.Kwa sasa Mzee Jophu akapunguza sauti akamweleza Getruda kwa sauti ya chini kabisa.Nafikiri alihofu watu kung’amua maneno yake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Getruda naomba iwe siri kubwa sana.Nataka tumuondoe Sweedy Duniani”Getruda alishituka sana kama aliyeamshwa usingizini. “Heee!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usishituke laazizi wangu.Nimeamua hivyo kwa manufaa yetu pia.Kila siku kujiiba iiba ,tutajiiba mpaka lini?.Heri afe tupate uhuru….”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haiwezekani Jophu.Unajua dhambi ya kuua lakini?”Getruda aliuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Acha ujinga, nani kakuambia kuna dhambi.Nani aliyeenda akarudi akasema kuna adhabu kali?.Niambie”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwenye maandiko takatifu,maneno hayo yapo.”Getruda alijibu akimtizama Jophu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kumbe nimaandiko yaliyotungwa kama hadithi tu.Nitajie nani alikufa akafufuka na kutuonyeshea adhabu alizopata ahera?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Bwana acha mizengwe yako.Uhusiano wetu hauwezi kuzuilika kwa sababu ya Sweedy”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nitakupa chochote lakini tumuue Sweedy.Uko tayari?”Getruda alikaa kimya,safari hii alishindwa kijibu. “Nijibu basi?”Mzee Jophu alimhimiza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nikujibu nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kwani hujui.Sina jibu lolote.”Akamtizama Mzee Jophu ,na kuvutakumbukumbu ya siku ya kwanza tulipokuwa kanisani,alikumbuka maneno mengi ya mchungaji.Akanikumbuka nilipompiga busu la kwanza nikiwa namvisha pete ya ndoa.Pia akakumbuka maneno ya mama yake akimweleza juu ya unyumba wetu.Machozi yakamtiririka mashavuni bila kujijua.Akapandisha mkono wa kuume ulioshika leso na kujifuta. Mzee Jophu alinyoosha mkono na kumpatia funguo Getruda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kuanzia dakika hii.Land cruiser iliyoko nje ni mali yako.”Getruda alishangaa hakuamini kile alichokuwa akikiona wakati huo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mpenzi ni kweli ama ni mipombe inakusumbua akili?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sijalewa wa moyo.Ninachohitaji sasa hivi, ni kutoa uhai wa huyu hanithi”Akatulia kama nukta tano hivi ,kisha akasema,“Sawa sawa?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa”Getruda alijibu mapigo ya moyo yakimwenda mbio.Alifikiri na kuona kwanza alishachoka kukodi teksi kila siku.Naye alitaka kutembelea gari la kifahari.Alitamani akawatambishie mabinti wenziye aliosoma nao pale Mkuu Rombo.Watajuaje kwamba naye nitajiri pasipo kutembea na gari la kifahari?.Aliamini mtu akiwa na pesa huheshimika kuliko hata kitu chochote duniani.Akajikuta moyo ukipamba na furaha kali, “Acha afe bwana kwani nini bwana. Mtu kama furushi la nguo, heri afe , wangapi wameuawa na kuwaacha wake zao na mapesa kibao.Mungu nisamehe”aliwaza akilini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Waliendelea kunywa na kula nyama choma pale.Getruda alimaliza<span style=""> </span>bia yake na kuongezwa zingine mbili,tayari ubongo ukafa ganzi.Alianza kuongea sana,tena bila kujali kwamba alisikiwa na watu. “Mpenzi wangu nasema hivi…nitamuua kwa mikono yangu mwenyewe.Haina haja ya kuishi wakati hana sifa ya kumfanya hai. Eti mume, mume gani bwege kilasiku hapandi kitandani mpaka nishikwe na usingizi ndio nae apande!!!!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hatakama ingelikuwa mimi.Ningetumia akili hiyo hiyo.Unafikiri ni kazi ndogo hiyo…fedheha bwana!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mzee Jophu na Getruda alikunjwa na kuondoka zao.Walielekea nyumba moja ya wageni ambako waliingiza gari la Gertuda na kujipumzisha.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">**************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Katika maisha yangu nina kijitabia fulani cha kutotoka siku za mwisho wa wiki,isipokuwa<span style=""> </span>jioni tena nikiwa na mke wangu ,Getruda. Huwa natoka katika matembezi mafupi na kurudi nyumbani.Juma pili hii ilikuwa ngumu kwangu.Kwanza mke wangu hakuwepo,usishangae nikimuita mke wangu japo sikufanikiwa kufanya tendo la ndoa.Ni mke wangu kwa sababu nimefunga ndoa kanisani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Mawazo bado yalinizonga sana akilini,niliwaza safari ya ghafla ya mke wangu.Nilitamani sana nijue maendeleo ya wazazi wake huko mkuu Rombo.Kingine ni tatizo linaloniletea utata ndani ya ndoa yangu.Nilizidi kuwaza ,kwanini ugonjwa huo uwe kwangu tu.Kwanini usiwe kwa fulani?.Nilitamani kunywa bia lakini lakini nikaona si kutatua tatizo zaidi ya kuliongeza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nikiwa kwenye dimbi la mawazo,nilisikia simu ikiita,nilishituka sana.Kwa haraka nikaiendea simu ambayo niliiacha Varandani juu ya meza.Nilifikiri mambo mengi ,nikahisi aliyepiga simu alikuwa mke wangu akinipa habari za mama yake,nilitegemea kupata habari mbaya kutokana na maneno aliyoniacha nayo Getruda jana alipokurupuka akionekana wazi kuchanganywa na hali ya mama yake.Nilipofika nikaiokota simu upesi na kuipokea , “Hallo mume wangu.Umzima ?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio.Vipi kuhusu hali ya mama.Anaendeleaje?”Nilimwuliza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kidogo<span style=""> </span>amepata ahueni.Kuna uvimbe gotini unamsumbua”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Utakuja lini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Aaa kesho jioni.Namsaidia kumuuguza hospitalini”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa.Nimebaki mwenyewe kama mkiwa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usijali mpenzi.Upo nyumbani, na hutoki leo?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndio,nipo sitoki bila wewe.Kwanza najisikia vibaya kabisa sijui ni kwanini mpenzi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Pole sana mume wangu,bye”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Getruda akakata simu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">*********************<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Kulikuwa na kundi la patao watu<span style=""> </span>watano,aliyekuwa msemaji mkuu akiwa mzee Jophu.Pembeni aliketi Getruda na kushoto kwake mwanaume mmoja mwanye umbo kubwa,unaweza ukamfananisha na mcheza mweleka.Mikono yake minene iliyojaa na kujengeka misuli.Kushoto kwa mwanaume yule alikuwepo kijana mwingine,mrefu mwembamba lakini anasura ya kukatili.Ukimuona lazima ungemtambua kama ni muuaji.Huyu aliweka bastola kibindoni,bastola aina ya Revolver.Aliyebaki alionekana mdogo sana,ukitadhimini umri wake ni miaka kumi na tano,alionekana alikulia mitaani.Huyu ni kibaka mzoefu ,achilia mbali bangi ,sigara na dawa za kulevya, kuvuta petroli na gundi ya viatu kwake si tatizo.Mtoto huyu walimtumia sana katika matukio ya ujambazi na upelelezi wa wapi kuna pesa ,wapi tukaibe leo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Walicheka muda mfupi tu baada ya Getruda kukata simu, “Anasemaje huyo maiti”Mzee Jophu aliuliza akiwa anamtizama Getruda kwa udadisi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Anasema leo yupo nyumbani hatoki,ni jambo ambalo liko wazi bila mimi habandui mguu wake.Hivyo kazi yake imeisha”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Patamu sana hapo.Naomba vijana wangu waingie kazini.Kama nilivyo waelekeza na mfanye kwa tahadhari sana msije kubainika kama ninyi ndio mlioua.Mmenisikia?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Mzee usitufundishe hii ndio kazi yetu kama kazi nyingine.Tumeua sana na tutaendelea kuua.Pesa<span style=""> </span>ya kazi mbele”Alisema jambazi mmoja nene lenye kifua kama pipa,lilitambulika kwa jina moja tu ‘Man Kaugo’Man Kaugo ana kasumba moja hataki kufundisha kazi ya uuaji,nasema anaielewa vema<span style=""> </span>na ujuzi huo kwake ume komaa.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Naona mchukue lita arobaini za petroli.Mzungushie nyumba yake yote na muitie kiberiti”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Eeee!kuna vitu vyangu vya muhimu.Kwanini msimuue bilakuchoma nyumba”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Vitu vyako nitakulipa.Tatizo ni nini?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nyumba yamgu.Nilitaka mumuue nibaki na nyumba”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nyumba nitakununulia njiro”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Haya, usinidanganye mpenzi”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sikudanganyi.Mimi na wewe kwani wa tani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Hapana”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sasa kumbe…” akatulia kidogo kisha akasema, “Nafikiri tumemaliza makomando wangu”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Pesa zetu bado.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Kiasi gani ?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Milioni tatu kwa kichwa kimoja”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ok,subirini kidogo nakuja.”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mzee jophu alitia gari moto na kuondoka zake.alielekea benki ambako alichukua milioni tano na kuzihifadhi.Hakuchelewa alirudi. “Kamata milioni tatu hizi.Naomba mharakishe tafadhali”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Sawa mzee.Utasikia mwenyewe mambo yakijibu”Wale vijana waliondoka zao.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF"><span style=""> </span>Nilisikia kama watu wakiongea nje ya jengo langu,kila nilipojaribu kutega sikio kwa makini,nilishindwa kun’gamua mazungumzo yao.Nilitunguza redio kabisa ,japo nilikuwa macho lakini nilihisi bado kiko usingizini,watu hao walinikaribia dirishani ,kwambali nikasikia mmoja wapo akisema “Hili ndilo dirisha lake”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Mwingine akasema “Basi hapa tumwage petroli nyingi iliafe haraka”kilikuwa kitendo cha haraka nilisikia petroli ikimwagwa dirishani,nilikurupuka na kushituka ,nilipofungua macho kumbe nilikuwa nikiota njozi mabaya kabisa.Kukurupuka kwangu hata mke wangu Suzan ambaye tulibahatika kupata mtoto wa kiume aitwaye Samji ,alinisikia nikipiga kelele, “Nakufaaaaa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nini mume wangu?”Suzan, mke wangu aliniuliza akiwa na masalio ya usingizi.Nilihisi mapigo ya moyo yakinienda mbio utadhani nilikimbia<span style=""> </span>umbali mrefu bila kupumzika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Baba samji,ni nini mbona umepiga kelele kiasi hicho?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndoa yangu inanitesa”Niliropoka nikipikicha macho, sikuamini yale niliyoyaona nikiwa usingizini.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndoa yako inakutesa kivipi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Nafikiri nilikuwa nikiota ndoto ya mateso kabisa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Ndoto?.Nilikusikia hata wakati mwingine ukilia ukiwa usingizini.Nilikutingisha lakini huku shituika, ulikuwa ukisema Getruda Getruda .Getruda ninani?”Nilitulia kidogo nikajaribu kumkumbuka, “Getruda ni huyo mwanamke niliyemuoa, akawa ananitesa”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Usinidanganye mume wangu.Madhambi unayofanya na mahawara wako ,ndio unayaota usiku?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">“Basi nisamehe mke wangu,ni ndoto tu.Sina mtu nimpendaye zaidi yako.Sijui njozi ya ajabu namna hii imetokea wapi.Yote niliyoota hakuna hata kimoja kilichowahi kunitokea”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: justify; font-family: verdana; color: rgb(102, 51, 255);"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 9pt;" lang="AF">Ilikuwa usiku ,majira ya saa kumi na moja.Suzan, mke wangu alinisamehe na tukaanza kusali.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoHeading8" style="text-align: justify; page-break-after: avoid; font-family: verdana;"><span style="font-size: 9pt; color: black;" lang="AF"><span style="color: rgb(102, 51, 255);font-size:100%;" ><o:p> </o:p><span style="font-weight: bold;">MWISHO</span></span><o:p></o:p></span></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-61134747680592875652008-04-11T00:54:00.000-07:002008-04-11T00:57:27.723-07:00BEMBELEZEKA...<p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:130%;"><b style=""><span style="font-size: 24pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"> </span></b><span style="font-size: 48pt; font-family: verdana; color: fuchsia; font-weight: bold;" lang="AF">Siri chumbani</span></span><b style=""><span style="font-size: 48pt; font-family: "Eras Bold ITC"; color: fuchsia;" lang="AF"><o:p></o:p></span></b></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span></span><span style="font-size: 14pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""></span></span><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><span style="font-size:100%;">Huyu ni Manka, mmh jamani Manka anawachanganya akina kaka, wajomba na hata wazee, oshiii! Kwa kifupi hana kasoro, ukibahatika kumuona na kumchambua ungeweza kudhani ukikufuru kuwa pengine mama yake aliamua kumuumba mwanaye mwenyewe na kuhakikisha amekuwa mzuri lakini ukweli kazi hii kubwa ya uumbaji ilifanywa na Mwenyezi Mungu pekee, mtoto ana kisura kilaini kama cha mtoto mchanga, ngozi nyororoo...sijui ana kula nini, meno meupe yenye mwanya wa wastani, akicheka hakika utapenda, wasichana wenziye wanamtamani, wanataka awe na umbo kama lake, wanaume wanaotaka kuoa wanaweke wazuri waliomuona wanachukulia mfano wa Manka, hana maringo hiyo ndiyo sifa yake kuu, ana umbo la kuwateka watu wa kila rika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Siku hiyo alibaki mwenyewe, nyumbani kwake maeneo ya Sinza kwa Remmy, alikuwa alifanya usafi na baadaye akaendea bafuni kuoga, alijisugua na alipomaliza aliingia chumbani <span style=""> </span>na taulo laini akajifuta maji mwilini na kuanza kupakaa mafuta ya kuirutubisha ngozi yake, <span style=""> </span>kila alipojiona kiooni alimsifu mwenyezi Mungu kwa kazi nzuri ya uumbaji. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><span style=""> </span>Mbele ya Dressing table yake iliyojaa vipodozi vya dharama, alitoa manukato ya J- Lo na mafuta ya Max Clare na<span style=""> </span>St Elizabeth Aden, alipomaliza akapakaa uso wake ‘poda’ kidogo kisha akavaa sketi fupi inchi 12 na kitopu kilichoacha wazi kitovu chake kilichoingia ndani nusu inchi, hali iliyomfanya avutie sana, juu ya kitovu alikuwa na matiti makubwa kiasi yenye kuleta yaliyojaa na kusimama kwa kujitegemea ingawa alivaa sidiria.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Simu ikaita, akatembea kivivu na kuiokota, hakujua ni nani, zilikuwa namba mpya kutoka nje ya nchi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Haloo! Manka...Habari za Tanzania!” Sauti ya upande wa pili ilisikika.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nzuri, shikamoo!” Manka alishaijua sauti ya mtu aliyepiga. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Jamani, si nilikuambia sipendi shikamoo, ok, unaendeleaje?” Ilikuwa sauti ya mzee Alex Ganza, mfanyabiashara maarufu jiji la New York na Afrika mashariki, ni mtanzania aliyezaliwa Kilimanjaro na kununua uraia <span style=""> </span>Marekani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Safi! Nimekumisi sana Anko!” Manka alipenda kuita Anko, ingawa siri halisi hakuwa Anko.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mi’zaidi, naomba uniite mpenzi...Manka hukumbuki nilikulea ili uwe mke wangu!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Najua na nakuheshimu kama baba yangu, umenilea na nilikuwa nataka upate mkwe siku za karibuni!” Manka alisema , lakini kauli hiyo ikamtibua Alex.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mkwe! Nooo! Usiolewe na mwanaume mwingine, nitakuoa mimi, nakupenda Manka, toka ukiwa na siku moja duniani nilikulea, nataka nile matunda yangu..”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Sijui kama itawezekana, tayari ninaye mwanaume ninayempenda!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mwanaume gani mzuri kuliko mimi, mwanaume<span style=""> </span>gani tajiri kushinda mimi, mwanaume gani ambaye angeweza kukuokota jalalani na kukusomesha hadi leo una elimu ya juu na unasimamia mali zangu? Wewe ndiye mke wangu, Manka...nakupenda!”Alilalaimika kimapenzi, Manka akajikuta akimuonea huruma, lakini bado alikuwa ana ampendaye. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Ok, nimekuelewa, njoo basi tuongee vizuri, nakupenda wewe pamoja na huyo mpenzi wangu anayeitwa Boy...” Kauli hiyo ilimrufahisha nusu na kumuudhi nusu, iliyomchukiza ni kwamba anampenda pia Boy.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Sawa, nimeota ndoto ya ajabu, usiku wa kuamkia leo!” Akabadili mazungumzo mzee Alex Ganza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Ndoto gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Siri ya Chumbani!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Unamaanisha nini, sijakuelewa mpenzi!” Naye akaamua kumfurahisha kwa kumuita mpenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nikija nitakueleza, mapumziko mema mpenzi wangu!mmwaaa!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Na wewe pia! Mmmwaaaa!” Alimaliza na kukata simu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">******<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Alipokata simu, akatafuta jina la mpenzi wake anayetingisha mtima wake na kumpigia, huyo ndiye aliyetaka kumkabidhi mwili wake auendeshe anavyotaka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Boy, njoo basi unipeleke kiwanja, ninazo hela za kutumia mpenzi wangu, njooo! Nipo nyumbani peke yangu,” alilalamika kikike akizungusha jicho la mahaba, jicho ambalo akikukata lazima apagawe na kudhani anakutamani, mtoto huyu! Mmh!.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Poa, upo wapi?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Njoo nyumbani, msaidizi wangu wa kazi za ndani hayupo, nakupenda sana na usichelewa!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nakuja usijali!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mwili mzima unachemka, naomba ujiandae, kuna zawadi nitakupatia kwanza, ndipo twende zetu viwanja..njoo naumia!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Heeh! Unaumia kitu gani sweet!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nakusubiri, usichelewa damu inachemka, natamani joto la karibu ...” kumbe Boy hakuwa mbali alikuwa maeneo ya Sinza madukani, akashuka kwenye daladala na kuelekea mtaa wa pili alikokuwa akiishia Manka, jumba la kifahari lililojengwa na Alex Ganza, alipofika alifungua mlango na kuingia hadi sebuleni ambako alimkuta Manka amejilaza sofani akiwa mweupe pee! Loh! Macho yakamtoka si kidogo, ilikuwa ni maajabu ambayo hakuwahi kukutana nayo, mtoto alifumba macho sijui alihisi baridi ama vipi, alikuwa amemtega si kidogo. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:100%;"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 26pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Siri Chumbani- 2</span><span style="font-size: 24pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Baada ya kutoka bafuni, Manka msichana mwenye sifa zaidi ya mrembo anapigiwa simu na Alex Ganza, anamtaarifu kuwa anataka kurejea nchini huku akimuomba Manka asimuite anko na badala yake amuite mchumba, Manka anakataa akidai tayari anayealiyemchagua na kwamba anampenda sana.Je, ni mwanaume gani anayemchanganya Manka, Alex atafanya nini? Kumbuka huu ni mwanzo wa chombezo hilo la kusisimua......<o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Neno hili likapita tena akilini mwa Alex, “Sijui kama itawezekana, tayari ninaye mwanaume ninayempenda! Pole sana Alex!” Akauma meno na kukunja ndita, kuliko kumkosa Manka ilikuwa afadhali kufa, alimdharamikia sana na kumlea mpaka alipofikia hapo anatamaniwa na mwanaume mwingine, siri kubwa ya Manka aliifahamu. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Sekunde kadhaa alizokaa kimya, akazinduka mithili ya mtu aliyetoka katika ndotoni ya kutisha na kusema jasho likimtoka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mwanaume gani mzuri kuliko mimi, mwanaume<span style=""> </span>gani tajiri kushinda mimi, mwanaume gani ambaye angeweza kukuokota jalalani na kukusomesha hadi leo una elimu ya juu na unasimamia mali zangu? <span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Wewe ndiye mke wangu, Manka...nakupenda!”Alilalamika kimapenzi, Manka akatulia akimsikiliza kwa makini, ingawa hakuwa na uhakika kama aliokotwa jalalani lakini mwanaume huyo ndiye aliyemlea kama mzazi wake, alimsomesha na kumkabidhi mali zake azisimamie, siku zote alimheshimu na asingependa kuolewa na mtu toka utotoni mwake alimuita Anko.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Roho ya huruma ikamuingia, akabaki njia panda kuendelea na mwanaume huyo ama kuendelea na kipenzi chake, moyo ukakataa na kudai kuwa, “Umemchagua John Mule, basi huyo ndiye unayetakiwa kuwa naye,” sauti kutoka moyoni iliendelea kumsihi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Manka...nisikilize basi mpenzi!” Sauti ya Alex ilisikika, lakini ya chini na ya kubembeleza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mmh! Sawa nimekuelewa, njoo basi tuongee vizuri, nakupenda wewe pamoja na huyo mpenzi wangu anayeitwa John...” Kauli hiyo ilimrufahisha Alex nusu na kumuudhi nusu, iliyomchukiza ni kwamba anampenda pia John.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Sawa, nimeota ndoto ya ajabu, usiku wa kuamkia leo!” Akabadili mazungumzo mzee Alex Ganza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Ndoto gani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Siri ya Chumbani!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Unamaanisha nini, sijakuelewa mpenzi!” Naye akaamua kumfurahisha kwa kumuita mpenzi, na kweli Alex alifurahi sana, pesa kwake zilikuwa hazina maana bila Manka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nikija nitakueleza, mapumziko mema mpenzi wangu!mmwaaa!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Na wewe pia! Mmmwaaaa!” Alimaliza na kukata simu, Manka akamuwaza tena muhibu wake, kila alipomuwaza alikosa hamu ya kula na kuhisi kama vile mgonjwa. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">******<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Alipokata simu, akatafuta jina la mpenzi wake anayetingisha mtima wake na kumpigia, huyo ndiye aliyetaka kumkabidhi mwili wake auendeshe anavyotaka, alitaka kula raha za dunia akiwa na John Mule.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“John, njoo basi unipeleke kiwanja sasa hivi, ninazo hela za kutumia mpenzi wangu, njooo! Nipo kitandani peke yangu,” alilalamika kikike akizungusha jicho la mahaba, jicho ambalo akikukata lazima apagawe na kudhani anakutamani, mtoto huyu! Mmh! Jamaniii anamvuto kila mahala.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Poa, upo wapi?” Sauti nzito ya kiume na iliyopoa ilisikika, moyo wa Manka ukapasuka paaa’ hizia za huba zikamuingia mara moja.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Njoo nyumbani, msaidizi wangu wa kazi za ndani hayupo, nakupenda sana usichelewa mpenzi!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nakuja usijali!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Dakika ngapi?” Manka alihoji, ili ajiandae haraka na kuonekana mpya, si unajua tena wawili wawapo faragha lazima wajiandae fresh?.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Robo saa,” alimjibu akihisi moyo ukimdunda.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mwili mzima unachemka, naomba usichelewe kuna zawadi nitaka nikupatie kabla hatujatoka OUT..njoo dear naumia!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Heeh! Unaumia kitu gani sweet!”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nakusubiri, usichelewa damu inachemka, natamani joto la karibu ...” kumbe John hakuwa mbali alikuwa maeneo ya Sinza madukani, akashuka kwenye daladala na kuchukua teksi mara zote Manka alimuonya kutopanda daladala, hiyo akajua ni sooo kuingia jumba la Manka na kumi na moja zake.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Jumba hilo juu lilikuwa na mnara uliandikwa Alex Ganza, walinzi walikuwepo wa kutosha kabisa, alipofika na kwakuwa alifahamika na walinzi, alifungua mlango pua zake zikakubwa na gharika la manukato yaliyopoa na yenye kuvutia, akatembea taratibu sebuleni ambako alimkuta Manka amejilaza sofani akiwa mweupe pee! Loh! Macho yakamtoka si kidogo, ilikuwa ni maajabu ambayo hakuwahi kukutana nayo, mtoto alifumba macho sijui alihisi baridi ama vipi, alikuwa amemtega si kidogo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Alipofika John alipiga magoti na kuisogeza kichwa chake katika kitovu cha Manka, akatasua midomo iliyojaa mate ya huba na kumbusu mara mbili akapata taratibu huku akimwita Manka jina lake, kumbuka sauti hiyo iliendelea kuwa nzito la kimapenzi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mankaa...unaniga mamaaaa...sweeetii naomba nikufunike...” Ndani ya sebule hiyo ya kifahari kulikuwa na kiyoyozi cha kotosha kabisa, wote wakawa wanapigwa na ubaridi fulani.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Taratibu mkono usio na adabu wenye kutekenya ulipita ukitalii taratibu na kufikia hatua ya kumfanya Manka afumbue macho ya ya kurembua.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Hey sweet umekuja mpenzi wangu, nashukuru karibu,” Manka aliinuka na kumkaribisha John aketi sofani, baadaye akakibamba kila mmoja alimbamba mwenye kiuno wakaingia chumbani ambako Manka hakutaka kitu kingine zaidi ya zawadi aliyomwandalia mpenzi wake kwa muda huo.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mbona unazima simu mpenzi...” Manka alimuuliza, akijitupa kitandani, naye John akafuatia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Si unajua mambo haya hayahitaji usumbufu, hivi simu ikiita nikawa katikati ya bustani napalilia mboga mboga, si itanikata ‘stimu’,”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Poa, <span style=""> </span>si unaiacha iite mpaka ikatike, naona wivu!” Alisema akipitisha mikono yake kifuani mwa John aliyeanza kuongea kwa sauti nzito huku Manka sauti yake ikiwa nyororo zaidi, kila mtu alikuwa na shauku ya palilia bustani na kuhakikisha bustani yao inakuwa bora, kwani walihitaji kupanda mmea, wenye rutuba na utakao mfariji kila mmoja aibuke na faraja moyoni, mmh! Sijui mwiye nahadhia.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“John...taratibu, mashuka meupe...” ilikuwa sauti ya Manka akijipindua upande wa kaskazini baada ya kuona mwenyeye ana kasi katika kucheza mduara.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mashuka meupe.. taulo inachafuka wakati mtu ametoka bafuni kuoga, acha yachafuke baby...”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Nina zawadi nyingine...” Manka alisema kwa sauti ya kitetemeshi mapigo ya moyo yakienda kasi.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Ipi!” <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Subiri, ulishawahi kukutana na mwanamke mwenye mapengo ya mbele...” Alisema Manka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Hapana!” Manka akainuka kwenda bafuni alipotoka alikuwa amefanya usafi, mapengo yake ya mbele katika meno manne yalionekana safi na yakupendeza.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Hakujua, kumbe meno ya dhahabu ya Manka yalikuwa si urembo bali hakuwa na meno, akasogeza midomo yake na kugusanisha na midomo ya John. Hapo alikuwa mambo mengine kabisa, usijaribu! John alipagawa na kuchanganyikiwa, kwani ulimi wake haukupata tabu katika kutalii na kubadilishana mate.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Baadaye wakati John akiwa hoi taabani, Manka akatoa choculate kwenye jokofu na kummegea John kisha kumlisha na John akammegea Manka kipande kidogo, wakaanza kumumunya taratibu hali iliyowachanganya na kuwafanya warukwe na akili. Kuanzia siku hiyo, wote walichanganywa katika penzi na kutamani kukutana kila mara. <o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Tulale kwanza kisha baadaye twende Club Billicanas” <span style=""> </span>Alishauri Manka lakini mambo aliyopewa ya muda mfupi na Manka yalimchanganya. John hakutaka kulala alitaka kuendelea kurina asali. </span><b style=""><span style="font-size: 6pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span><o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><b style=""><span style="font-size: 6pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><o:p> </o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal" style="text-align: center;" align="center"><span style="font-size:100%;"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">********<o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><span style=""> </span>Siku alipozaliwa Manka, ndipo mama yake<span style=""> </span>kwa bahati mbaya alifariki na kumuacha Manka aliyelelewa hospitalini, na baadaye akachukuliwa na baba yake hadi nyumbani akaletewa wasichana watatu wa kumlea, hiyo yote ilifanywa na Alex Ganza, baba yake Manka.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Siku zote, Alex alihakikisha mwanaye wa pekee hajui siri hiyo, wasichana hao wa<span style=""> </span>kazi aliwafahamisha kuwa wasije kuifichua siri hiyo,<span style=""> </span>akiwa chekechea mzee Alex alionekana kumtamani sana mwanaye aliyefanana na marehemu mchumba wake, Angela. </span><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">Msichana Angela alikuwa ni mchanganyiko wa mzungu na mwafika, kila kitu Alex<span style=""> </span>alikifanya siri. Manka alipofikisha umri wa miaka saba<span style=""> </span>alijaribu kumuuliza Alex kama mama yake alikuwa wapi na yeye ni nani wake, kwa hisia Alex akamweleza Manka kuwa siku moja usiku wa manane akiwa anatembea alisikika mtoto akilia jalalani, aliposimama aliweza kugundua mahala alipo, alichokifanya ni kutembea hadi jalalani na kumuokota mtoto aliyekuwa amebabuka mwili kwa joto na kuhifadhiwa kwenye mfuko wa plastiki.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Mmh! Mtoto huyo alikuwa nani?”<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF">“Huwezi kuamini, wewe ndiye niliyekuakota na kwa vile sikuwa na mke wala mtoto nilihakikisha nakulea vizuri na baadaye uwe mke wangu!” Alisema Alex kwa hisia kali, alimdanganya mwanaye mpendwa. Alikuwa mzuri sana na kumfanya aingiwe na hisia za ajabu.<o:p></o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black; font-weight: bold;" lang="AF">Itaendelea</span><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;" lang="AF"><o:p></o:p></span></b></span></p> <p class="MsoNormal"><span style="font-size:100%;"><span style="font-size: 10pt; color: black;"><o:p> </o:p></span></span></p> <p class="MsoNormal"><b style=""><span style="font-size: 10pt; font-family: "Maiandra GD"; color: black;"><span style="font-size:100%;"><span style=""> </span><span style=""> </span></span><span lang="AF"><o:p></o:p></span></span></b></p>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com1tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-80322530214943292062008-04-11T00:07:00.001-07:002008-12-08T21:51:23.106-08:00MAMBO YOTE HUMU...HUU NI UKURASA WA KUMI WA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA. HII NI SEHEMU MOJAWAPO NINAYOENDELEZA MAKAMUZI. CHINI YA LOVE AND MARRIAGE NAKAMUA CHOMBEZO KALI!! LINAKWENDA KWA JINA LA BADO GOLI MOJA, UMEWAHI KUISOMA? TAFUTA NAKALA YAKO..<br />ZAIDI YA CHAMPIONI PIA NAKAMUA KATIKA GAZETI LA IJUMAA (NASIKIA RAHA NIPE RAHA) AMANI (MREMBO WA PWANI), RISASI JUMAMOSI (UTAMU WA HAMU). PIA HUWA NAANDIKA MAKASA WA KUSISIMUA KATIKA GAZETI LA UWAZI (MENEJA ALIVYONIBAKA NA KUNIAMBUKIZA UKIMWI) RISASI MCHANGANYIKO (AKILIMIA'S SEX TALK) NA MENGINEYO... KAMA MACHO YAKO YANAONA VIZURI, HEBU ANZA KUIPITIA...<br /><br /><br /><a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhlRC08r-AdTNYTCmTcw99gDr_6NRDLPff1owFtUwax-d4RqMYGIEY9n1-NEWmK8zrR71a-vegQTNGJDouUqkZdzlAhRd2usouziQqXk1r5y0ev3FAtIbyzAZZVx2mr6Ed1_rNd5Xil28/s1600-h/PAGE-1-WEB.jpg"><img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhhlRC08r-AdTNYTCmTcw99gDr_6NRDLPff1owFtUwax-d4RqMYGIEY9n1-NEWmK8zrR71a-vegQTNGJDouUqkZdzlAhRd2usouziQqXk1r5y0ev3FAtIbyzAZZVx2mr6Ed1_rNd5Xil28/s400/PAGE-1-WEB.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5187881143487780802" border="0" /></a>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-49222750224812059192008-04-11T00:05:00.001-07:002008-12-08T21:51:23.384-08:00POZI KALI!!!UTUNDU WANGU HAUSHII KWENYE KUTUNGA MACHOMBEZO TU, HATA KUPOZI NAWEZA. IMETULIA EH!??<br /><br /><a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjehKIf65jbaGKxtss7L0vsdA8JPvY9lvM_bljr8n1Pr8v9q4-lPWIuNg0DsyDy5AOi9W1huejgMK-G_PMWsdWD-aEWU85Y_Du6w6Czn6MD8o9XEWtvXDh_0WlERNXqCGhb2rNxunzPGD8/s1600-h/AKILISABA-4.jpg"><img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjehKIf65jbaGKxtss7L0vsdA8JPvY9lvM_bljr8n1Pr8v9q4-lPWIuNg0DsyDy5AOi9W1huejgMK-G_PMWsdWD-aEWU85Y_Du6w6Czn6MD8o9XEWtvXDh_0WlERNXqCGhb2rNxunzPGD8/s320/AKILISABA-4.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5187880546487326642" border="0" /></a>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-7928593715832011163.post-67825781448294558172008-04-10T23:43:00.000-07:002008-12-08T21:51:23.550-08:00HII BWANA HAIFUTIKI...KUTOKA KUSHOTO NI BOSI WANGU ERIC SHIGONGO AMBAYE NI MTUNZI MAARUFU WA HADITHI NCHINI. MOJA KATI YA SIMULIZI ZAKE ILIYOWAHI KUTIKISA NI LAST DAYS OF MY LIFE (SIKU ZA MWISHO WA UHAI WANGU) NA PRESIDENT LOVES MY <span style="font-family: trebuchet ms;font-size:100%;" ><span style="font-weight: bold;">WIFE (RAIS AMPENDA MKE WANGU) SIMULIZI HIZI ZIPO KATIKA VITABU AMBAVYO VIPO MITAANI HIVI SASA. NYINGINE INAYOTESA NI SHE IS TOO YOUNG TO DIE (NI MDOGO MNO KUFA) INAYOCHAPISHWA NA GAZETI LA IJUMAA. ANAYEFUATA NI AMANDUS MTANI, MDAU MWENYEWE NILIYEVAA T.SHIRT YA IJUMAA PAMOJA NA RAFIKI YANGU JOSEPH SHALUWA. HAPO MTANI ALIKUWA AKITUONYESHA TATOO ALIZOCHORA MIAKA MINGI ILIYOPITA. EBWANAE HIZI BWANA HUWA HAZIFUTIKI.</span></span><br /><br /><a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZJ03v4ERtRJPtw7pWPVyr1lyngUf9Kj9jU2VpoSs9SkNXJiIEJqsZWJuF2d-XzZmVNoKLtmavfjnsmyLFeRbEetjPY5Qetq5Gv9qEsE0Z3cI4EM73gisOvLymJzwsmRTwzXLOUx87tdM/s1600-h/AKILISABA-2-WEB.jpg"><img style="margin: 0px auto 10px; display: block; text-align: center; cursor: pointer;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZJ03v4ERtRJPtw7pWPVyr1lyngUf9Kj9jU2VpoSs9SkNXJiIEJqsZWJuF2d-XzZmVNoKLtmavfjnsmyLFeRbEetjPY5Qetq5Gv9qEsE0Z3cI4EM73gisOvLymJzwsmRTwzXLOUx87tdM/s320/AKILISABA-2-WEB.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5187878433363416994" border="0" /></a>Zubagy Akilimiahttp://www.blogger.com/profile/04735671407089015253noreply@blogger.com0